The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

The returns of Jack Bauer in 24 Live Another Day

kazi zaidi ni kufatilia kwa kuyasoma yale maandishi, mda mwingine hata picha huoni unaangalia maandishi tu na yakikupita tu lazima urudishe nyuma sasa ndo mambo gn haya
Hilo nalo neno... manake kv mie nimeziangalia sana hizi, hadi nikalemazwa na subtitles to the point hata kama naangalia movie/series kwenye TV, nikipitwa na kitu nakimbilia remote na "ku-rewind" kabla ya kushituka kwamba it's TV!
 
The best series nilizoona

  1. 24 hrs
  2. Prison break
  3. Lost

  • One Tree Hill
  • The Unit
  • Hawaii 5-o
  • Covert Affair
  • Nikita
  • Heroes
  • Revolution
  • Crisis
  • Blacklist
  • Scanda

Na zingine mingi...
Panga zote lkn 24hrs ni No 1 halafu PB ndio Lost
 
Im dying waiting for Homeland Season 4 though am still mourning the death of Sargent Brody...fu'ck CIA, ---- Senator Lockhart.

dah hata me ckutegemea aisee,,,kila nikisubiri labda hakufa lakini wapi, hapo ndipo ambapo tunakosa kupata picha ya Season 4 itakuwaje
 
dah hata me ckutegemea aisee,,,kila nikisubiri labda hakufa lakini wapi, hapo ndipo ambapo tunakosa kupata picha ya Season 4 itakuwaje
Ngumu kutabiri hasa ukizingatia Langley Key Staffs wamesambaratishwa huku na huko!!! Hata hivyo, am afraid Majid Javadi lazima awageuke CIA hasa ukizingatia Lockhart's ambition ya kui-control Iran... now with full power from IRGC, and probably, presidential office, Majid can do anything against CIA and US as a whole. Na since, Senator Lockhart ambae ni new CIA Director, was not happy with Carrie Mathison and Saul... Majid atakavyowageuka CIA ndipo Senator Lockhart atakapokuja kugundua umuhimu wa Carrie... by that time, with her kid... sipati picha itakuwaje... ni kama namuona mtoto wa Carrie akiwa kidnapped na Majid's men na kuwa kama bargaining chip... it's hard to tell but time will display everything out!
 
hivi Tony amelda...bado yupo vileee kma nimesahauuu hebu nikumbusheni maana mwishoni jack aliokoka kutokana na president mama allyson tyalor kujikubali kuwa amekosa
then akampa option ya kukimbia....na kumwambia hatokomee .....!


can't wait....plzzzzzzz

see u there.....kickas.com with ma U-TORRENT.....guess wat next .... Downloading
 
Last edited by a moderator:
hivi Tony amelda...bado yupo vileee kma nimesahauuu hebu nikumbusheni maana mwishoni jack aliokoka kutokana na president mama allyson tyalor kujikubali kuwa amekosa
then akampa option ya kukimbia....na kumwambia hatokomee .....!


can't wait....plzzzzzzz

see u there.....kickas.com with ma U-TORRENT.....guess wat next .... Downloading

Almeida mara ya mwisho alionekana season 7,nadhani walimpeleka Guantanamo kabisaa baada ya kuwa mshe.nzi, probably watamrudisha,he was a badass pia,keshooo mwendo wa torrent
 
Last edited by a moderator:
The best series nilizoona
Prison break
24
Lost
One Tree Hill
The Unit
Hawaii 5-o
Covert Affair
Nikita
Heroes
Revolution
Crisis
Blacklist
Scanda

Na zingine mingi...

BLACKLIST...........IS ANOTHER SERIES KILL'S ......hope itakuja kuwa kali mbayaaaaa

hope z the next to 24....!
 
Almeida mara ya mwisho alionekana season 7,nadhani walimpeleka Guantanamo kabisaa baada ya kuwa mshe.nzi, probably watamrudisha,he was a badass pia,keshooo mwendo wa torrent

haaaahaaahaaa @torrent in de work
 
best actor humu ni ma men men SAWYER .....!

"SON OF THE BITCH....SON OF THE BITCH.........SON OF THE BITCH"........ndo neno lililokuwa mdomoni mwake...!

Sawyer ananifurahisha sn namna anavyoongea huwa ananiacha hoi sn
 
hivi Tony amelda...bado yupo vileee kma nimesahauuu hebu nikumbusheni maana mwishoni jack aliokoka kutokana na president mama allyson tyalor kujikubali kuwa amekosa
then akampa option ya kukimbia....na kumwambia hatokomee .....!


can't wait....plzzzzzzz

see u there.....kickas.com with ma U-TORRENT.....guess wat next .... Downloading

Almeida mara ya mwisho alionekana season 7,nadhani walimpeleka Guantanamo kabisaa baada ya kuwa mshe.nzi, probably watamrudisha,he was a badass pia,keshooo mwendo wa torrent


jack alipata kumuamini sn huyu mtu sema ndo akazingua,,,,Tony Ameilda alikuwa akifanya yote ili aweze kupata uaminifu kwa yule jamaa Wilson aweze kupata nafasi ya kuonana nae, ili apate nafas ya kumuua kulipiza kisasi cha Wilson kumuua mkwe wa tony(Michelle)
Masaa yanapungua tu, tukutane http://kickass.to/
 
24 hours namba nyingine, hakuna series inatia mguu hapo. Mkumbuke ile series ni ya early 2000's na ile katika ile series chloe, moris, Edgar walifanya vitu vya hatari sana kiteknolojia kwa miaka hiyo. Ukija kwa jack bauer zile torture skills ni za hali ya juu sana hope walikuwa na consultation nzuri sana. Huku ukija kwa David palmer, dah yaani ile series waliua. Though uongo mkuu ulikuwa ni kwa jackbauer kumaliza seasons zote nane pasipo kupigwa risasi hata moja ilhali yeye ndio alikuwa kiongozi wa field opps.
 
jack alipata kumuamini sn huyu mtu sema ndo akazingua,,,,Tony Ameilda alikuwa akifanya yote ili aweze kupata uaminifu kwa yule jamaa Wilson aweze kupata nafasi ya kuonana nae, ili apate nafas ya kumuua kulipiza kisasi cha Wilson kumuua mkwe wa tony(Michelle)
Masaa yanapungua tu, tukutane http://kickass.to/

haaahaahaa hicho kipande ni kizurii sana alicho-act Tony amelda hope watu wengi walishangaa...kwa nn alibadirikaaa

yote ilikuwa ni njia ya kumpata mtu ambaye yupo behind the murder of Michelle (mke wa almelda)

kickass.com....@torrent
 
Last edited by a moderator:
Siichokiiii hii series nimeangalia kila season 1-8 sio chin ya mara 4 kila moja.


Haya ndo maneno anayopenda kuyatumia jack bauer..
“ dont even think about it“


“ dammit we had him“

“this bauer the suspect is in custody, i repeat the suspect is in custody.“
 
Back
Top Bottom