MJUMBE SIJAPIGWA BAN ni masuala madogo madogo tu...........so nikaona kukaa nje bila kufaidi hili jamvi ni sawa na kutembea uchi.:yo::yo::lalala:Mkuu, ukipigwa ban ni adhabu na unatakiwa kuitumikia kwakuwa hukufuata vigezo na masharti ya humu. Kuanzisha ID nyingine ni kinyume cha taratibu!
ID yako ya mwanzo imekuwaje? Karibu sana.HODIIIIIIIIIII Wanajamvi, nimekuja na ID TOFAUTI ingawa hapa ni mwenyeji kama matatizo na serikali ya CCM.IMENIBIDI kukaa nje ya JAMVI hili kwa ID yangu mpaka pale ntakaporekebishiwa na admn.:amen:
HODIIIIIIIIIII Wanajamvi, nimekuja na ID TOFAUTI ingawa hapa ni mwenyeji kama matatizo na serikali ya CCM.IMENIBIDI kukaa nje ya JAMVI hili kwa ID yangu mpaka pale ntakaporekebishiwa na admn.:amen:
Sijui sheria za jf zinasemaje kuhusu multiple Id!!
kwahiyo we unataka niwe naudhuria jamvini kama guest ili nisipate ma nutrition ya jf?