Mbu
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 12,753
- 7,845
...Utakuta baba akirudi toka kazini na kumkuta mkewe nyumbani humsalimia na kwenda zake chumbani kubadilisha nguo za kazini.
After that anapata chakula cha usiku (Dinner) then anaanza kutazama TV au kupitia magazeti yake na kuyasoma.
Muda wa kulala umefika anaenda kuoga na kuvaa pajama zake; mke naye anaenda kuoga na kufanya sawa na mume. Wanapanda kitandani, mume anampapasa mke, mke naya anajua mzee anataka maana ndiyo sex code yake akinigusa kwa mtindo huu maana yake anataka tuwe mwili mmoja na anajisikia kama kusumbuliwa maana alikuwa hajui kama mzee atataka kutokana na kutowasiliana hata hivyo anamkubalia.
Baada ya dakika chache wamemaliza, wapo kimya na mzee anapiga usingizi.
Mke anajiona kama ametumiwa tu kwani hakukuwa na raha yoyote ni kuumizwa tu kwani mwili haukuwa connected hisia...
..Mj1 kwa ushauri wako (kwa lugha laini) hiyo 'pasi' iwashweje na izimwe vipi?
Matokeo yake mahusiano yakidorora utasikia lawama kwa wife oh umezembea sana, mara mwanamke ubunifu asa huo ubunifu si kwa mwanamke tu jamani hata wanaume!!
Nachelea nsijepigwa ngumi hapa akija Mbu, Fidel, Msanii, Bonnie e.t.c ntashambuliwa mie hadi nikome. Jamani si wanaume wote wanajisahau auh baadhi.
Hivi ukisoma hapo inaonyesha kama huwa ni mwanaume tu ndie anapataga hisia, je mdada akitaka kuwasha pasi yake usiku ni ishara gani anatakiwa atoe ili kumjulisha mwenzie kuwa usiku kuna overtime? Au wao haijalishi?
...hayo ya 'usiku kuna overtime' ndiyo yanayoondoa maana nzima ya sex mchana uhenyeke kazini, usiku nako uhenyeke nyumbani, khaaaaaaaa... adhabu?