The Power of One night stand! I like it!

The Power of One night stand! I like it!

Aisee... Kimebaki kitu hapo?sio mshimo tu!!too many....hao wote wameshachukua sugar hamna kitu hapo,hadi utapokufa kwa speed hiyo utakuwa umetembea na 500

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Atleast umekuwa mkweli,Retired Sister,afterall 12 sio number kubwa sana na ni experience nzuri ila baada ya ndoa tulia sasa ufaidi na mwanandoa mwenzio.Wanaokutupia madongo waulize wawe wakweli wao ni wangapi.Sex life ni kila mtu anavyotaka kufanya as long as haikuletei madhara,psychologically,socially or economilcally.Chotara sakapal hebu njoo utoe ushuhuda wako huku kabla ya ku-graduate pale Oxford ulikuwa umetimiza wangapi,achilia mbali wazungu,lol
 
Ukiona demu anasema ametembea na wanaume 10 hawana we elewa anamaanisha 100 . Madem webgi waongo saaaaana.
 
nimewahi kutembea na wanaume 12
je wewe?
kwa sasa nimetulia.nina ujauzito na december ninafunga ndoa

Tupe uzoefu zaidi wa unavyojisikia baada ya kuchokonolewa na wanaume kumi na mbili. Je baada ya ndoa utaendelea kuvunja mifupa na vidume wengine?
 
Atleast umekuwa mkweli,Retired Sister,afterall 12 sio number kubwa sana na ni experience nzuri ila baada ya ndoa tulia sasa ufaidi na mwanandoa mwenzio.Wanaokutupia madongo waulize wawe wakweli wao ni wangapi.Sex life ni kila mtu anavyotaka kufanya as long as haikuletei madhara,psychologically,socially or economilcally.Chotara sakapal hebu njoo utoe ushuhuda wako huku kabla ya ku-graduate pale Oxford ulikuwa umetimiza wangapi,achilia mbali wazungu,lol

Msema ukweli ni mpenz wa mungu, ni kweli numbers bare just numbers it doesn't matter, ni kawaida ya wanadamu kukebehi au kufurahia zuri moja katika mabaya 100 ul;iyofanya wataona mabaya tu kumbe hawajua madam sister mstaafu katubu kwa kukiri ukweli na kuhalalisha sasa yuko kwenye njia kamili wakati huo wanaokukashifu ya kwao wameyaficha nyuma ya makalio yao yanatoa uvundo. Mie huwa sishuhuliki na uvundo wa mtu hata akiuanika natabasamu tuu zaidi nahangaika na kusafisha uvundo wangu ili kupunguza mabaya na niwe safi way forward.
Best KIKUNGU mie bana kabla sijapata shahada ya ndoa nilivunja vibubu 8 na baada ya ndoa niliongeza vibubu vingine 2 ndo niko navo hadi now na maisha yanaendelea kama kawa. Haya mwagika na wewe ulikula sambuisa ngapi kabla na baada ya ndoa?
 
Last edited by a moderator:
Nimempenda sana Retired Sister amekua mkweli sana na ni mtu mwenye huruma nyingi sana seems hata akishafunga hio ndoa atakau aua ataendeleza huruma, keep it up Sissy, hope na mimi utakuja nihurumia pia. I like it

Kuna wenzio hapa wametembea nao kapu nzima ila hawataki kusema ukweli ndio maana watakuja faster faster kukuswaga hapa

Elli jipeleleze tangu umejua ulimwengu wa mapenzi umeshalala wangapi? I see wengine tunajaza YOTONG bila kusimama ubungo wala nini, hizo ni level sit, ukija kwenye msaada tutani du! asante retired sister!
 
Back
Top Bottom