The Power of One night stand! I like it!

The Power of One night stand! I like it!

sio bure utakuwa umerogwa!!!!!!
kama una ujauzito so what!!!!!!!
kama umetembea na wanaume 12 so what!!!!!!!!!!!!

kaa ulee kijacho wako sio kupost ujinga huu
unashangaa maana wewe umetembea na mia sio?
 
kwanza nikusabahi, Honestly Dada mstaafu nakutakia ujifungue kwa salama na ndoa yako idumu, kila la heri....maisha mazuri
Tafdhali usiisahau timu yako !!
 
du kwahiyo bado unahitaji mwingine wa one night stand au??
 
Unakebehi vibaya, mie nikajua uko upande wake for real?

Hahahahaaaa Mpwa umenichekesha hadi basi, sasa kama bidhaa iko available kwanini usiombe ukapewa Mpwa? unataka nije kujilaumu? Hahahahaaaaa Dada poa huyu ameamua kujilipua. JF bhana
 
^^
Kwa uzoefu wako huu au ushuhuda huu,
Je,,mwanamke atimize idadi ipi ya kulala na wanaume ili aolewe?
Je,,kati ya hao ni wa ngapi ulijutia kumkosa?
Je,,nini kilikusukuma kuishi maisha ya aina hii?
Je,,ni kwa kiasi gani unadhani utawamiss wanaume,ukiwa na mume mmoja tu?
^^
Retired Sister
Nisaidie,nina nia ya kujifunza.
^^
 
Last edited by a moderator:
Hongera sana kwa kufikisha idadi hiyo ila usiache kuendele baada ya Ndoa
 
^^
Kwa uzoefu wako huu au ushuhuda huu,
Je,,mwanamke atimize idadi ipi ya kulala na wanaume ili aolewe?
Je,,kati ya hao ni wa ngapi ulijutia kumkosa?
Je,,nini kilikusukuma kuishi maisha ya aina hii?
Je,,ni kwa kiasi gani unadhani utawamiss wanaume,ukiwa na mume mmoja tu?
^^
Retired Sister
Nisaidie,nina nia ya kujifunza.
^^
ilikuwa awesome life experience u know! wachina .wazungu .waarabu hadi wamasai.
kila mtu na maisha yake ukiamua kutembea na mmoja ni wewe ila mimi niliwafaidi
 
your perception will never be my reality!!!!!!!

mind you match za Libolo na wanaume wengine tofauti
na baba wa mtoto zitamuathiri mtoto!!!!!!
kwa kukuangalia tu hapa upo above 50. ila wory not ni maisha tu
 
Back
Top Bottom