The Power of One night stand! I like it!

The Power of One night stand! I like it!

Retired Sister

Senior Member
Joined
Jan 11, 2013
Posts
182
Reaction score
234
nimewahi kutembea na wanaume 12
je wewe?
kwa sasa nimetulia.nina ujauzito na december ninafunga ndoa
 
Hahahahhaaaaa utakua mzoefu vya kutosha, I wish ningekuoa wewe? Thank you
 
Kabla ya dec atakuacha kwenye mataa,ungefunga ndoa kwanza kabla ya mimba.wana jf wengi hawatafunguka maana kuna night stands zinafika chalinze
 
Nimempenda sana Retired Sister amekua mkweli sana na ni mtu mwenye huruma nyingi sana seems hata akishafunga hio ndoa atakau aua ataendeleza huruma, keep it up Sissy, hope na mimi utakuja nihurumia pia. I like it

Kuna wenzio hapa wametembea nao kapu nzima ila hawataki kusema ukweli ndio maana watakuja faster faster kukuswaga hapa
 
Last edited by a moderator:
siikioni kitufe cha LIKE, pokea tu manually Mpwa wangu
Kabla ya dec atakuacha kwenye mataa,ungefunga ndoa kwanza kabla ya mimba.wana jf wengi hawatafunguka maana kuna night stands zinafika chalinze
 
Nimempenda sana Retired Sister amekua mkweli sana na ni mtu mwenye huruma nyingi sana seems hata akishafunga hio ndoa atakau aua ataendeleza huruma, keep it up Sissy, hope na mimi utakuja nihurumia pia. I like it

Kuna wenzio hapa wametembea nao kapu nzima ila hawataki kusema ukweli ndio maana watakuja faster faster kukuswaga hapa
kweli kabisa mti wenye matunda ndo unaorushiwa mawe
 
Nimempenda sana Retired Sister amekua mkweli sana na ni mtu mwenye huruma nyingi sana seems hata akishafunga hio ndoa atakau aua ataendeleza huruma, keep it up Sissy, hope na mimi utakuja nihurumia pia. I like it

Kuna wenzio hapa wametembea nao kapu nzima ila hawataki kusema ukweli ndio maana watakuja faster faster kukuswaga hapa

kumsifia kote huko kumbe na wewe unataka kuhurumiwa!!!!!!!!!
 
Hahahahaaaa Mpwa umenichekesha hadi basi, sasa kama bidhaa iko available kwanini usiombe ukapewa Mpwa? unataka nije kujilaumu? Hahahahaaaaa Dada poa huyu ameamua kujilipua. JF bhana
mi sijiuzi nilikuwa natoa free of charge
 
Back
Top Bottom