The power of God for those unemployed!

The power of God for those unemployed!

theoka

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2013
Posts
374
Reaction score
100
nimetafuta sana kazi bira mafanikio tukaamua mimi na mchumba wangu tuwe tuna amshana saa9 usiku kwa maombi maalum,ndugu zangu Mungu kajibu haraka nimeitwa kama sehemu tatu amakweli binadamu anateseka kwa kukosa maarifa kidogo,try the power of lord
 
naaam ni kweli kabisa ukiomba kwa mwenyezi Mungu hakika utafanikiwa si katika kazi tu bali hata mengine lakini inakubidi uombe kwa imani kuwa utafanikiwa
 
thats true,ilikuta hali hiyo,niligraduate 2011,2012 nikaona hola,2013 hola hamna tempo,volunteer or internship,jan 2014 nikatenga siku 10 za maombi ,3kati ya hizo nilifunga,ndani ya mwezi huo niliitwa kwa aptitude test,oral interview na mwezi huo huo nilipata ajira,tuongeze maombi!
 
nimetafuta sana kazi bira mafanikio tukaamua mimi na mchumba wangu tuwe tuna amshana saa9 usiku kwa maombi maalum,ndugu zangu Mungu kajibu haraka nimeitwa kama sehemu tatu amakweli binadamu anateseka kwa kukosa maarifa kidogo,try the power of lord

Mkuu huja elezea kama umeitwa kwa interview hizo sehemu tatu au ushapata tiyari and ts tru Mungu anaweza yote tumshirikishe kwa yote.
 
thats true,ilikuta hali hiyo,niligraduate 2011,2012 nikaona hola,2013 hola hamna tempo,volunteer or internship,jan 2014 nikatenga siku 10 za maombi ,3kati ya hizo nilifunga,ndani ya mwezi huo niliitwa kwa aptitude test,oral interview na mwezi huo huo nilipata ajira,tuongeze maombi!

Umenipa moyo sana mkuu nami ntaingia kwenye maombi kama hayo na kufunga pia
 
Nimehamasishwa na mm, nimuombee mchumba wangu apate kaz. Till now hajapata. Naamin Mungu muweza wa yote atamsaidia. Ngoja nikazane kuomba.
 
Nimehamasika! Sina kazi mpaka nanuka shida!
sasa basi, mbele za Mungu naahidi! Nitafanya maombi kuanzia sasa mpaka napata kazi na sitachoka kamwe! Daima…
Kwa ratiba ya kabla ya kulala usiku na saa 9 usiku halafu baada ya kuamka asubuhi…
Nadhani ntaleta ushuhuda hapa hapa…
 
Back
Top Bottom