Ni kweli ndugu.nakumbuka mm pia nilikuwa nimemaliza chuo katika shahada ya uzamili na nilikuwa nimefanya vizuri sana.nikawa naomba kazi hadi kwenye taasisi za kawaida sana lakini wananizungusha.
Basi mchumba wangu akaamua kuingia kwenye maombi ya mzigo sana juu ya swala langu na mm nika mwamini Mungu kuwa ameshafanya.
Ndugu zangu kweli Mungu alinihurumia nikaja kupata kazi nzuri sana ambayo nilikuwa nikiiota kwa siku nyingi. Yaan nikiitwa kwenye taasisi kubwa mbili za serikalini na nikaamua kuchagua moja
Nimeona nami niwashuhudie ndugu zangu kwan najua kuwa kuna watu pia wanapitia wakati mgumu katika maisha. Muamini Mungu kuwa hata km huna mtu anayekujua bt Mungu ambaye Yeye ni baba wa yatima anaweza kuwa referee wako kwenye ofisi yeyote hile.