The power of God for those unemployed!

The power of God for those unemployed!

AMEN,sio hapo tuh hataukipata kazi endelea kuomba songa mbele...
 
Sio kwenye shida tu ndipo umwombe Mungu, ila ukimfanya Mungu kama rafiki yako hata ukae miaka ishirini hujapata kazi utaendelea kuwa na amani moyoni. A good idea is to make strong relationship with God na sio kumfanya mungu kama ATM machine.
 
Ni kweli ndugu.nakumbuka mm pia nilikuwa nimemaliza chuo katika shahada ya uzamili na nilikuwa nimefanya vizuri sana.nikawa naomba kazi hadi kwenye taasisi za kawaida sana lakini wananizungusha.
Basi mchumba wangu akaamua kuingia kwenye maombi ya mzigo sana juu ya swala langu na mm nika mwamini Mungu kuwa ameshafanya.
Ndugu zangu kweli Mungu alinihurumia nikaja kupata kazi nzuri sana ambayo nilikuwa nikiiota kwa siku nyingi. Yaan nikiitwa kwenye taasisi kubwa mbili za serikalini na nikaamua kuchagua moja
Nimeona nami niwashuhudie ndugu zangu kwan najua kuwa kuna watu pia wanapitia wakati mgumu katika maisha. Muamini Mungu kuwa hata km huna mtu anayekujua bt Mungu ambaye Yeye ni baba wa yatima anaweza kuwa referee wako kwenye ofisi yeyote hile.
Ni kweli kabisa, Mungu ni tajiri, dunia yote na kila kitu kilichomo ni chake, kama ukiwa na mahusiano mazuri na yeye ukimwomba hata kupa? La hasha, cha msingi ni kuwa na imani isiyotetereka.
 
umetutia moyo sana, inabid tuombe na tukipata kazi tushukuru,pia tusipige vifua mbele kwamba tuna kazi cauz sio kwa uweza wetu, finaly, hata tukipata kazi tuendelee kuomba.God is good always;
 
sasa ninyi mlizani wachawi na wanga kufanya mambo yao usiku walikuwa wajinga wanajua siri za mafanikio ni kuanzia saa ngapi hadi jua likichomoza ONE MAN MUST GO DOWN.
imeandikwa mtatazama msione, mtasikia msielewe, mengine utajua mwenyewe umiza kichwa
 
mungu hapendi misisimko,ila jitahidi sana kumfahamu naye atatembelea mahitaji yako.........shuhuda zni muhimu kwani zinampa BWANA WA MAJESHI UTUKUFU.....
 
nimetafuta sana kazi bira mafanikio tukaamua mimi na mchumba wangu tuwe tuna amshana saa9 usiku kwa maombi maalum,ndugu zangu Mungu kajibu haraka nimeitwa kama sehemu tatu amakweli binadamu anateseka kwa kukosa maarifa kidogo,try the power of lord

Amen,endelea kuombea tatizo la ajira kwa ujumla na wale wote ambao bado hawana ajira,ubarikiwe zaid
 
Back
Top Bottom