The power of God for those unemployed!

The power of God for those unemployed!

ombeni nanyi mtapewa,bisheni hodi nanyi mtafunguliwa!
 
nimetafuta sana kazi bira mafanikio tukaamua mimi na mchumba wangu tuwe tuna amshana saa9 usiku kwa maombi maalum,ndugu zangu Mungu kajibu haraka nimeitwa kama sehemu tatu amakweli binadamu anateseka kwa kukosa maarifa kidogo,try the power of lord

Ni kweli ndugu.nakumbuka mm pia nilikuwa nimemaliza chuo katika shahada ya uzamili na nilikuwa nimefanya vizuri sana.nikawa naomba kazi hadi kwenye taasisi za kawaida sana lakini wananizungusha.
Basi mchumba wangu akaamua kuingia kwenye maombi ya mzigo sana juu ya swala langu na mm nika mwamini Mungu kuwa ameshafanya.
Ndugu zangu kweli Mungu alinihurumia nikaja kupata kazi nzuri sana ambayo nilikuwa nikiiota kwa siku nyingi. Yaan nikiitwa kwenye taasisi kubwa mbili za serikalini na nikaamua kuchagua moja
Nimeona nami niwashuhudie ndugu zangu kwan najua kuwa kuna watu pia wanapitia wakati mgumu katika maisha. Muamini Mungu kuwa hata km huna mtu anayekujua bt Mungu ambaye Yeye ni baba wa yatima anaweza kuwa referee wako kwenye ofisi yeyote hile.
 
Muhusika kasema Amemuomba "MUNGU" akapata kazi.

We unamsifia yesu!

kwanini usiseme "MUNGU ASIFIWE?

Yohana 14:1 Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu,niaminini na mimi. 14;7 Yesu akamwambia,mimi ndimi njia,na kweli na uzima; mtu haji kwa baba, ila kwa njia ya mimi. 8 kama mngalinijua, mngalimjua Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.10 Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi sisemi kwa shauri langu;lkn baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.
 
Yohana 14:1 Msifadhaike mioyoni mwenu; mnamwamini Mungu,niaminini na mimi. 14;7 Yesu akamwambia,mimi ndimi njia,na kweli na uzima; mtu haji kwa baba, ila kwa njia ya mimi. 8 kama mngalinijua, mngalimjua Baba; tangu sasa mnamjua, tena mmemwona.10 Husadiki ya kwamba mimi ni ndani ya Baba na Baba yu ndani yangu? Hayo maneno niwaambiayo mimi sisemi kwa shauri langu;lkn baba akaaye ndani yangu huzifanya kazi zake.

Umeweka andiko hilo kuonyesha kuwa YESU NDIO BABA SIO!?

Sasa soma hili hapa halafu ujiulize huyo BABA umeshamuona! Au kumsikia??

YOHANA 5:37

-Naye Baba-aliyenituma-hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake.

Mshukuruni MUNGU sio YESU!

Na msimfanye Yesu kama Dalali wa kukaa ktkt baina yenu na MUNGU!
Muombeni MUNGU moja kwa moja.
 
Umeweka andiko hilo kuonyesha kuwa YESU NDIO BABA SIO!?

Sasa soma hili hapa halafu ujiulize huyo BABA umeshamuona! Au kumsikia??

YOHANA 5:37

-Naye Baba-aliyenituma-hunishuhudia. Ninyi hamjapata kamwe kusikia sauti yake, wala kuuona uso wake.

Mshukuruni MUNGU sio YESU!

Na msimfanye Yesu kama Dalali wa kukaa ktkt baina yenu na MUNGU!
Muombeni MUNGU moja kwa moja.

Sipo kwaajili ya kubishana na wewe ndugu samahani....nilikuwa najaribu kufafanua tu maana hata huyo aliyeomba nina hakika ameomba kwa jina la Yesu.....sasa kama tunaomba kwa jina lake na tunapata kile tulichokiomba where is the problem?.....mutuwache...!!!
 
Sipo kwaajili ya kubishana na wewe ndugu samahani....nilikuwa najaribu kufafanua tu maana hata huyo aliyeomba nina hakika ameomba kwa jina la Yesu.....sasa kama tunaomba kwa jina lake na tunapata kile tulichokiomba where is the problem?.....mutuwache...!!!

Na mimi sina wakati wa kubishana.
Nakupeni ushauri ambao hata Yesu mwenyewe Aliutoa!
Na kama wewe unampenda na kumfuata Yesu basi ungeomba kama alivyo omba yeye!
Yesu akiomba husema"Ee Baba ulioko mbinguni, jina lako........" mpaka mwisho wa Dua!

YESU alikuwa ANAMUOMBA MUNGU!
Na wewe MUOMBE MUNGU! sio Yesu!

Hayo ndio mafundisho ya YESU MWANA WA MARIA.

Haleluyah mkuu.
 
Naunga mokono hoja,ukiomba Mungu anakupa,inabidi uwe patient sana lakini
 
"Angalia, utakapokuwa umekula na kushiba, na kujenga nyumba nzuri na kukaa ndani yake;
na makundi yako ya ng'ombe na kondoo yatakapoongezeka, na fedha yako na dhahabu yako itakapoongezeka, na kila kitu ulicho nacho kitakapoongezeka;
basi hapo moyo wako usiinuke, ukamsahau Bwana, Mungu wako, aliyekutoa katika nchi ya Misri, katika nyumba ya utumwa;
aliyekuongoza katika jangwa lile kubwa lenye kitisho, lenye nyoka za moto na nge, nchi ya kiu isiyokuwa na maji; aliyekutolea maji katika mwamba mgumu,
aliyekulisha jangwani kwa mana, wasiyoijua baba zako; apate kukutweza, apate kukujaribu, ili kukutendea mema mwisho wako"
Hapo usiseme moyoni mwako, Nguvu zangu na uwezo wa mkono wangu ndio ulionipatia utajiri huo.
Bali utamkumbuka Bwana, Mungu wako, maana ndiye akupaye nguvu za kupata utajiri; ili alifanye imara agano lake alilowapa baba zako, kama hivi leo.

Kumbukumbu 8:12-18
 
Nimehamasika! Sina kazi mpaka nanuka shida!
sasa basi, mbele za Mungu naahidi! Nitafanya maombi kuanzia sasa mpaka napata kazi na sitachoka kamwe! Daima…
Kwa ratiba ya kabla ya kulala usiku na saa 9 usiku halafu baada ya kuamka asubuhi…
Nadhani ntaleta ushuhuda hapa hapa…

Ameeeen,na iwe hivyo utauona UShindi
 
Ni kweli ndugu.nakumbuka mm pia nilikuwa nimemaliza chuo katika shahada ya uzamili na nilikuwa nimefanya vizuri sana.nikawa naomba kazi hadi kwenye taasisi za kawaida sana lakini wananizungusha.
Basi mchumba wangu akaamua kuingia kwenye maombi ya mzigo sana juu ya swala langu na mm nika mwamini Mungu kuwa ameshafanya.
Ndugu zangu kweli Mungu alinihurumia nikaja kupata kazi nzuri sana ambayo nilikuwa nikiiota kwa siku nyingi. Yaan nikiitwa kwenye taasisi kubwa mbili za serikalini na nikaamua kuchagua moja
Nimeona nami niwashuhudie ndugu zangu kwan najua kuwa kuna watu pia wanapitia wakati mgumu katika maisha. Muamini Mungu kuwa hata km huna mtu anayekujua bt Mungu ambaye Yeye ni baba wa yatima anaweza kuwa referee wako kwenye ofisi yeyote hile.

ila naona si kwa wote kuna watu nahisi amewachagua
 
Muhusika kasema Amemuomba "MUNGU" akapata kazi.

We unamsifia yesu!

kwanini usiseme "MUNGU ASIFIWE?

Kamwambieni yohana yale mliyoyaona na kuyasikia, viwete wanatembea,viziwi wanasikia,vipofu wanaona na wafu wanafufuliwa...heri mtu yule asiye chukizwa nami (Yesu).
 
Ni kwa kila anayemuamini. Yote yanawezekana kwake yeye aaminiye

mungu huwa ameshapanga mtiririko mzima wa maisha kuanzia ukiwa tumboni hadi utakufa lini na matukio katika maisha ni kopi ya kile alichokipanga ili neno litimie mfano yuda hata ingekuwa vp ilikuwa ni lazima amkane yesu
 
mungu huwa ameshapanga mtiririko mzima wa maisha kuanzia ukiwa tumboni hadi utakufa lini na matukio katika maisha ni kopi ya kile alichokipanga ili neno litimie mfano yuda hata ingekuwa vp ilikuwa ni lazima amkane yesu

Mungu hajapanga mtiririko mbaya wa maisha kwa mtu.anasema kwenye mwanzo 1:26 kuwa kila Mungu alichokiumba kilikuwa ni chema sana. Aliyeharibu hayo yote ni shetani bt bado Mungu alirudisha mpango wake kwa kumtoa mwanawe wa pekee (yoh 3:16)
Bado Neno linasema kuwa Mungu anawawazia mawazo mema wanadamu.
Sio lengo langu kubishana. Nia yangu ni kuherimishana bt km hutaki kuamini it is ok bt kutokuamini kwako hakupunguzi kitu kwa Mungu na wala hakuchange ukweli.
 
Back
Top Bottom