Somalia huna hela toka nyumbani nenda kenya huko, sisi kila nyumba Ina jobless aka MarioSomalia na Eritrea hazipo. I don't buy it.
Middle economy ya akina Dr Abbas iko wapi?
Mabaya ni kuuana, kutekana, kubambikia watu makesi ya uongo, kunyima watu maendeleo kwa sababu walichagu mgombea asiyependwa na Rais.Dunia inashuhudia upinzani wa ajabu kuwahi kutokea.
Kulitakia mabaya Taifa na kulisema vibaya ndio akili na uzalendo kwa wapinzani hapa nchini.
Sasa Kama Taifa letu ni baya namna hii, kwanini mnahangaika tuwape uongozi.
HahahaMakelele ya Tundu lissu yametuchomoa uchumi wa kati, ona sasa
Makelele ya Tundu lissu yametuchomoa uchumi wa kati, ona sasa
Akina nani wamepika?HIVI HAIWEZEKANI KUWASHTAKI HAO WANAOPIKA DATA ZA UONGO KIASI HIKI
Tupeni ili tuliinue taifa, haki huinua taifa bali uovu ni aibu ya watu woteDunia inashuhudia upinzani wa ajabu kuwahi kutokea.
Kulitakia mabaya Taifa na kulisema vibaya ndio akili na uzalendo kwa wapinzani hapa nchini.
Sasa Kama Taifa letu ni baya namna hii, kwanini mnahangaika tuwape uongozi.
Uchumi wa Kati then upo miongoni mwa Nchi Maskini?Makelele ya Tundu lissu yametuchomoa uchumi wa kati, ona sasa
Soma hiyo "link" ya taarifa kujua maana ya Tanzania kuwekwa kwenye nchi maskini duniani. InaelezaTanzania si imetajwa kuwa katika uchumi wa kati wa chini? How comes ni among the poorest?