Mkuu, biblia inatuonyesha kuwa shetani ndiye mwana wa asubuhi, nyota ya alfajiri.
Taz
Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe Nyota
ya Alfajiri, mwana wa asubuhi!" Isa. 14:12.
"Akawaambia, Nilimwona Shetani, akianguka
kutoka mbinguni kama umeme." Luka
10:18. "Ukawa juu ya mlima mtakatifu wa
Mungu." Eze. 28:14.
Shetani alikuwa akiishi
mbinguni alipoasi. Jina lake alikuwa
Lusifa, yaani, "Nyota ya Alfajiri".
Haya maelezo ya nyota ya asubuhi na jina lucifer nitayafuatilia mpaka kieleweke, kata issue mkuu.