The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Mlikuwa mnasema kuwa Villarreal hatuna uhakika hata wa sare , saiv unaniambia mmesha hata hilo kombe?
Sisi tungekua na villareal mbna final mapema kabisaa.

Nyie mngekutana na madrid mngetusua? Haya mkakutane final tutawasubir wembley kuwapokea na kombe la 7.
 
mzee hio ndio football,haijalishi sio CL materials lakin kashatupa mafanikio ,Sasa nadhni ni muda wa yeye mwenyewe kusema hadhari kuwa kafeli kubeba CL


Maana mpaka Sasa Hana kisingizio kingine

We jamaa rudi kwenye jukwaa la madrid kule tunakuulizia
 
Mechi ilopita mlisingizia Walker hayupo.

Leo yupo ila kakimbizwa mchaka mchaka na vinicius mpk misuli imemkaza akaomba sub mwenyewe
 
Sisi tungekua na villareal mbna final mapema kabisaa.

Nyie mngekutana na madrid mngetusua? Haya mkakutane final tutawasubir wembley kuwapokea na kombe la 7.
Sisi Liverpool pamoja na Chelsea kwa msimu huu tunakombe moja moja , je nyie? Alafu bado funapambania FA, UCL plus League.
 
Rafiki nimevurugwa hapa wee acha tyuuh. Kesho chuo nitatafunwa mzima mzima na watu, hapa text na call zinaingia tyuuh, natazama hata kupokea na kujibu siwezi.
Hamia Liverpool wewe, acha kuteseka na tim za uchochoroni
 
Back
Top Bottom