Huyo hamnaga kitu. Kubinua tu kiuno.Uchawi wa PEP ukiacha kufanya kazi wachezaji wengi wa city wanakuwa takataka mmojawapo ni Rahim Stearling
Ulijua unamtoa Madrid?Yaan hii city ndo nn sasa khaaah,![]()
Yaan anaboa sana huyu kocha sometime, sijui yukoje khaaaah.Guardiola atajuta Sana kumtoa mahrez na debruney
Nakutafuta 🤣🤣🤣🤣🤣Yaan hii city ndo nn sasa khaaah,![]()
Aaaaah wee game ilishaisha hii, yaan Pep anamtoa KDB na mahrez, anawaingiza wajukuu wa bibi elizabeth? Ndo nn khaaah.Ulijua unamtoa Madrid?
Dada bhana hii game kipara katutoa kusudi.Nakutafuta![]()
Nilikuambia uweke akiba za maneno, ukajifanya kushupaza shingo
Kiko wapi!!!?





Jamaa anakibinua kiuno aiseeHuyo hamnaga kitu. Kubinua tu kiuno.



Daaaaah acha tyuuh.kwani kuna nini?
Underdogs
Ndio muone kuwa tim yenu ni ndogo sana, Pain killer njoo mpeane faraja basi.Dada bhana hii game kipara katutoa kusudi.
Nwei hatuna bahati na UEFA.![]()
Na kutochukua mara zote ni ujingaKucheza uefa fainali mara 2 mfululizo sio rahisi wachache ndio wanaweza