Sasa kama tuliweza kutoa £50+ million kwa mtu kama Nico Gonzalez tunashindwa nini kutoa €30 million kwa cherki?Kesi za financial fair play zimetuandama!
Hii ndio best kasoro hio rangi ya nyumbu.
Inabidi tuuze ili kuweka balance, maana huu msimu tumetoka trophyless, pesa zilizopatikana zimetumika Jan transfer window n.kSasa kama tuliweza kutoa £50+ million kwa mtu kama Nico Gonzalez tunashindwa nini kutoa €30 million kwa cherki?
Hiyo orange miyeyushoHii ndio best kasoro hio rangi ya nyumbu.
PUMA designers wanakula tu pesa za city bure! jezi mbovu kinoma.Hiyo orange miyeyusho
Kuna zile nyingine za mistari myekundu na nyeusi, aisee ule uzi ni wa hovyo sijawahi kuona.PUMA designers wanakula tu pesa za city bure! jezi mbovu kinoma.
Huu mwaka tumefeli kwenye kitsKuna zile nyingine za mistari myekundu na nyeusi, aisee ule uzi ni wa hovyo sijawahi kuona.


Hizo zilikuwa za misimu miwili iliyopita.Huu mwaka tumefeli kwenye kits![]()