Namimi nashindwa kuelewa tunakwama wapi.Tumekimbia dili la Wirtz, sasahivi bado tunajivuta kutoa £30 million tu kwa mtu talented kama cherki, tumekuwaje sikuhizi?
Kesi za financial fair play zimetuandama!Namimi nashindwa kuelewa tunakwama wapi.
Hamna progress yeyote kwenye hili dili la cherki.
Hii nayo inaweza kuwa sababu lakini ukija kufikiria tuli spend karibia £200m dirisha la January utajiuliza kuna ugumu gani kukamilisha hizo deals.Kesi za financial fair play zimetuandama!