The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

The Manchester City (The Citizens) | Special Thread

Nilikua nimesahau kwamba tuna ubingwa wa dunia wa kutetea mwezi ujao.
 
Marmoush couldn't believe it
IMG-20250517-WA0031.jpg
 
How the hell hii haikuwa red? kipa kagusa mpira kwa mkono nje ya box lake.
IMG-20250517-WA0030.jpg
 
Henderson kasema alipoona Marmoush kapewa penati apige alijua kabisa anaenda kupiga upande gani, hivyo aliamini anaenda kuipangua.
 
Tumalizie game zetu mbili zilizobaki twende USA kwenda kutetea ubingwa wetu wa dunia, hapo tayari tushamleta Wirtz na Reijnders.
 
Back
Top Bottom