Herzogg
JF-Expert Member
- Apr 17, 2024
- 4,573
- 1,389
Yeah, ukizingatia City tupo kwenye rebuild, kutoa hiyo pesa maana yake tutaishia kusajili mchezaji mmoja tu, huku kukiwa na wimbi kubwa la wachezaji watakaoondoka.Paun m300 for wirtz ni ridiculous