Kwa hiyo perfomance ya villa hii city yangu ya kuungaunga sijui tu.Villa wakifanya hiki wanachokifanya kwa Newcastle kwa Man City pia itapendeza sana.
Acheni wawafunge tu kwa kweli. Mmeanza kuamka na sisi tunatamani mmalize ligi katika nafasi ya 6 au chini zaidi. Mwakani Champions League itakuwa na timu 5 za Premier League na timu zote duniani na mashabiki wote duniani hawataki nyie muwepo miongoni mwa hizo 5.Kwa hiyo perfomance ya villa hii city yangu ya kuungaunga sijui tu.
Champions league football kwetu ni inevitable, hebu ona hii scenario.Acheni wawafunge tu kwa kweli. Mmeanza kuamka na sisi tunatamani mmalize ligi katika nafasi ya 6 au chini zaidi. Mwakani Champions League itakuwa na timu 5 za Premier League na timu zote duniani na mashabiki wote duniani hawataki nyie muwepo miongoni mwa hizo 5.