Lamomy
JF-Expert Member
- Sep 4, 2023
- 36,235
- 86,945
Madrid kombe lao hilihapa ni dhahiri Madrid anakwenda kukutana fainal na Psg.
kombe la madrid tena hili.
Madrid kombe lao hilihapa ni dhahiri Madrid anakwenda kukutana fainal na Psg.
kombe la madrid tena hili.
Basi inatosha mtani pole 🤣🤣🤣Pili tumefungwa voli la kininga na kipuuxi kabisa ambalo hatukutakiwa kufungwa
Mazoea gani? Kwa mpira upi? Hizo penalties za ndondokelaa,? Huko kupaki bus muda mwingi ndo hamtaki mazoea woiiiiiiunakumbuka ile comment yangu kuwa Madrid hawapendi mazoea mazoea na kombe lao






Bayern na Psg wote wanachechemea, kombe kwa madrid tenaMadrid kombe lao hili
Nilikwambia lazima tupande mshkaki ukakaza fuvu 🤣🤣🤣🤣Wee uduguu, kaa tuondokeee![]()
Bado tar 20 😂😂😂😂
Wanayoijua Madrid wanafahamu hanaga mpira wakusema wakukutisha ila utawashtukia wapo final na wamebeba kombe laoMazoea gani? Kwa mpira upi? Hizo penalties za ndondokelaa,? Huko kupaki bus muda mwingi ndo hamtaki mazoea woiiiiii
![]()
Owaaa kaa twendee bablaiiiNilikwambia lazima tupande mshkaki ukakaza fuvu![]()




Nimechukia sana mpaka vidole vinanikataa 😂😂Hadi umeshindwa kuandika vzuri,![]()
Sema game linaweza kuchange time yoyote madrid sometimes hawaeleki ohh!!Bayern na Psg wote wanachechemea, kombe kwa madrid tena
Uefa huwa ni tactical not innovationMazoea gani? Kwa mpira upi? Hizo penalties za ndondokelaa,? Huko kupaki bus muda mwingi ndo hamtaki mazoea woiiiiii
![]()
Wapiiii bhanaa weweee? Mwaka jana mbona hawakua huko final?Wanayoijua Madrid wanafahamu hanaga mpira wakusema wakukutisha ila utawashtukia wapo final na wamebeba kombe lao
work smarter not harder





Poleeeh, tujipange mwakaniii.Nimechukia sana mpaka vidole vinanikataa
Ujinga kabisa




Dah! Twenzetu tukamalizane tar 20 🤣🤣🤣🤣Owaaa kaa twendee bablaiii![]()
Sasa hata hizo tactical mbona hawana hao Madrid? Penalties hazina mwenyewee. Wamebahatisha bas.Uefa huwa ni tactical not innovation
madrid hanaga mpira wa kuvutia huwa anapaki basi, utashtukia ananyanyua kombeSema game linaweza kuchange time yoyote madrid sometimes hawaeleki ohh!!