Herzogg
JF-Expert Member
- Apr 17, 2024
- 4,573
- 1,389
Hii game ilikua yetu kabisa yani daaahunakumbuka ile comment yangu kuwa Madrid hawapendi mazoea mazoea na kombe lao
Hii game ilikua yetu kabisa yani daaahunakumbuka ile comment yangu kuwa Madrid hawapendi mazoea mazoea na kombe lao
Kule muandae sheikh ubani mapema unapita tunawaoa 🤣🤣🤣🤣ndiwoooo!!!
Wacha tuone au tubet?? 😅madrid hanaga mpira wa kuvutia huwa anapaki basi, utashtukia ananyanyua kombe
Kaka kalale mpira ushaisha 😂😂😂Hii game ilikua yetu kabisa yani daaah
Yeah tumepambana sema daah 😥😥😥Hii imejirudia km majuzi liver alivyonyooshwa halafu baadae naye Arsenal akachezea vitasa 🤣🤣🤣🤣🤣
Sema nini city mmekufa kiume wanetu 🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 Mngepenya mngetusumbua sana humu, mmerudisha goli ghafla mkahamia uzi wa Arsenal na kejeli kibao!!!! Haya kiko wapi?? 😂😂😂😂kwendraaaaa!!!!
Mazoea gani? Kwa mpira upi? Hizo penalties za ndondokelaa,? Huko kupaki bus muda mwingi ndo hamtaki mazoea woiiiiii
![]()
Ngoja niangalie marudio kwanza.Kaka kalale mpira ushaisha 😂😂😂
Mngepenya mngetusumbua sana humu, mmerudisha goli ghafla mkahamia uzi wa Arsenal na kejeli kibao!!!! Haya kiko wapi??
Baba Jane bye bye![]()




uduguu ntakubondaaa.bet wakati huu atakayequalify kuanzia sem-fainal mpaka fainal.Wacha tuone au tubet?? 😅
Hata Liverpool final vs madrd 20/21 alisemaga hivo hivoHii game ilikua yetu kabisa yani daaah