Saharavoice
JF-Expert Member
- Aug 30, 2007
- 3,882
- 2,374
Bora hii thread irudi, msimu tulipoteana humu.
Kweli mvumilivu hula mbivu. Mimi ni mmoja wa mashabiki wa Man City nilikuwa nimekata tamaa msimu uliopita na nilitamani Pep afukuzwe.
Lakini sasa, ile Man City Magoli imerudi tena
Kweli mvumilivu hula mbivu. Mimi ni mmoja wa mashabiki wa Man City nilikuwa nimekata tamaa msimu uliopita na nilitamani Pep afukuzwe.
Lakini sasa, ile Man City Magoli imerudi tena