RUSTEM PASHA
JF-Expert Member
- Jan 26, 2016
- 3,590
- 8,476
Nilikuwa najiuliza uzi wa city hivi kweli haupo?.
Ntatoa update mechi zote za city.
Ntatoa update mechi zote za city.
teh teh teh.My Advice: Kamtafuteni Roberto Mancini Popote Alipo Mumrudishie Timu... Vinginevyo Pep atawanyima Usingizi....
Usicheze na EPL aiseee hatari kubwa.
Khe khe khe kheeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee
Leo hii manager na wachezaji wa Man. City walilalamikia njaa na Everton waliamua kuwapikia milo 4 ingawaje Everton hawana shamba. Walipata wapi chakula cha kuwalisha Man. City.
Baada ya mlo, Guardiola ameishukuru Everton kwa ukarimu wao.
heshima ya guardiola nikuuleta mpira wa tik tak epl.Unawapa pole ya nini? Guordiola anafundishwa heshima ya EPL. Na wale wanaompenda Guordiola na Man. City ni lazima wampende Vardy.
Vardy amewamwagia hasira zote alizozikusanya tokea msimu uanze vijana wa Manchester, jirani zake Bw. Mpayukaji. Sasa anasubiriwa "Domokaya" na yeye apewe "dose" yake ya asali.
Link Leicester City 4-2 Manchester City
Guardiola best coacher in epl.Manfongo,Man city dugu moja.
Timu ilikuwa inajengwa vuta subira mambo matamu yatakuja .Nikweli aise....inaonekana tim imemshinda,arudi barca tu tunamhitaji... then city tupate mbadala wake hata huyo mancini anatufaa sana tu...
teh teh teh.
heshima ya guardiola nikuuleta mpira wa tik tak epl.
Guardiola best coacher in epl.
Timu ilikuwa inajengwa vuta subira mambo matamu yatakuja .
Hapana mkuu nilikuwa napitia comment zenu zilizopita.Bado mapema na asubuhi tuvute subira lakini mwanga umeshaanza kuonekana nani anataka kuchukua ndoo.Watu Wengine Wakipata bhana.....
Na baada msimu kuisha sijui utaongeaje...Tayari kwa kumtumia kijana wa Chelsea,kalivunja daraja kwa missile moja tuuu.
Niongee nini,mimi timu yangu ni Liverpool wala sitegemei kombe au kushuka daraja,yaani siko kwenye mbio zozote.Na baada msimu kuisha sijui utaongeaje...
Hapana mkuu nilikuwa napitia comment zenu zilizopita.Bado mapema na asubuhi tuvute subira lakini mwanga umeshaanza kuonekana nani anataka kuchukua ndoo.
ule msako wa leo ni noma aisee...aguero angekuwepo ingetoka zozi ya 4G kama cku zote
Kuna kilaza atakuja kukupinga hapa we subiriNdan ya cku 7 unakutana na Stock City,Atletico Madrid zen Man city katk point 9 umechukua 6.....hapohapo anatokea mtu mwny IQ ndogo anakuja kuiponda Chelsea
Asante kwa taarifa ila naona ilitumiaka miaka 3 iliyopitaMkuu. Thread ya man city mbona ipo kitambo