Undava King
JF-Expert Member
- Aug 11, 2017
- 3,181
- 5,321
Sina budi kusema kuwa inawezekana tumedanganywa sana au nimepotoka pia kuamini hili. Kupitia speculations zangu nimekuja kung'amua kuwa hatupaswi
kuwa na ugomvi wa kidini na kimadhehebu kwa kuwa wote tunachezeshwa na ka kikundi ka watu wachache wajiitao luciferian hivyo hili kuakikisha siwi na bias katika judgement zangu nimeamua kuweka hisia/mihemuko ya kidini kando nakuamua kuchimba kujua chanzo cha yote haya ni nini na haya ndo majibu nilokuja nayo;
The luciferian Mindset yaani fikra au mtizamo wa ki-ibilisi ambao ni chambo au mtego ambao ukishanasamo kutoka ni vigumu unakuwa humo kwenye cage ambako uoni mlango wakuchomokea wala mwangaza wa kujinasua na dogma hii yenye nguvu kuu ulimwenguni ambayo imefanikiwa kuteka fahamu za mabilioni ya watu duniani nakuwafanya kuwa watumwa wake kwa miaka mingi sasa.
Katika ngazi za juu kabisa za maamuzi wanakaa waanzilishi wa dogma hii yaani kikundi cha wachache au wapigaji wa ngoma then sisi tumeachiwa tuingie kucheza staili yeyote tuitakayo maadamu lengo lao wao litimie, wao utambua kuwa "THERE IS NO SUPREME GOD" hakuna Mungu mkuu mwenye mamlaka yote.
Isipokuwa umoja mmoja wa wapotoshaji wa kishetani waliojifanisha kana kwamba ni miungu Mungu na shetani. A CABAL yaani wala njama dhidi yetu wanadamu.
Likitoka daraja hili la watunga sera, miongozo na taratibu zakufuatwa yanakuja madaraja makuu mawili ya mrengo wa kukinzana yaani wale wanaoonekana kana kwamba wanatuambia ukweli ila
uthibitisho ni kwa njia ya kiroho na wale tunaowashuku kuwa wanatudanganya ila wao ufanya mengi kimwili zaidi. (THOSE APPEARS AS TRUTH AND SPIRITUAL and THOSE APPEARS AS LIES AND PHYSICAL) Lengo hapa nikutengeneza confusion nakuacha mfumo ujiendeshe wenyewe kwa kuwafanya walengwa wajitwalie upande wowote kati ya hiyo miwili huku wakijuzwa kuwa ndiyo hatima ya maisha yao (karma/destiny/hatima)
Kazi kubwa nikuwalisha dogma na kuwaaminisha kuwa upande walipo kila mmoja wao ni sahihi na salama zaidi kuliko upande walipo wale wengine, hivyo kwa maana hii
DIVIDE AND RULE haiepukiki lazima ifanikiwe na kama ni biashara tiyari imepata competitor hivyo haiwezi kufa tena na vitu kama chuki,kurogana,mabifu, kujiona bora kiimani, kutengana,kuuana, n.k haviwezi koma na urithishwa kizazi mpaka kizazi.
Sasa ni jukumu la wavuvi wa binadamu kuhakikisha kila mmoja alipo anajipatia waamini wengi kwa njia yeyote nakujiimarisha zaidi kiuchumi, kisiasa na kinguvu na hivyo kujipatia sehemu katika utawala wa wachache katika kujitwalia
ufalme wa ulimwengu huu kwa kuwa wanajua nguvu ya utawala ni watu na watu uongozwa kupitia fikra, ukishawadhibiti kwenye akili zao basi unawaweka bandani kama kuku wa kisasa jambo ambalo wamefanikiwa kwa asilimia kubwa.
Sasa katika hatua hii makundi haya ugawanishwa katikati katika pande mbili na ideology ya THE CREATOR OF DUALITY yaani concept inayohold uwepo wa pande mbili katika kila jambo ambalo lengo nimeshalifafanua tiyari na chini yake ujengwa idea ya THE CREATOR OF HEAVEN AND EARTH.
Sasa tuzitizame pande hizi mbili moja ikiwa ni ile ambayo mambo yake ni ya kiroho na ya pili yakifizikia zaidi.
Upande mmoja usimamiwa na SPIRITS (Roho) na upande mwingine ni DEMONIC (Mapepo/Majini) huku pande zote mbili zikifanya kazi kama pande mbili za shilingi.
Tuanze na components za upande wa spirits hapa katika ngazi za juu kabisa tunaye MUNGU ambaye utambulika kwa MEMA na MAZURI chini yake wapo MALAIKA WAZURI au WEMA kisha ufuatia nguzo ya kwanza katika imani yaani BOAZ ambalo si jina geni kwa wale wanaoifahamu imani kumhusu masihi na uzao wake kabla ya kuzaliwa kwake.
BOAZ "In strength of" kwa nguvu ya au 'In him (is) strenght' ndani yake kunamo nguvu, hivyo boazi uwakilisha nguzo moja ya portico(ukumbi) wa hekalu (1wafalme 7:21) pia waweza ita 'sharp mind' yaani enye akili nyingi.
Chini yake ni mamlaka ya agizo la ROSE(agizo la kuangaza au kuchomoza na kung'aa) uwakilishwa mara kwa mara na celestial bodies mfano jua linalochomoza,holo disk,sayari,
nyota,jicho,mwezi,n.k hivi uchorwa au kunakishwa kama nembo muhimu za utambulisho wa madhehebu, juu ya misahafu au kwenye vipeperushi vyao,katika mavazi,miongozo na ishara katika ibada n.k
Hili kulifanikisha hilo basi njia mbalimbali utumika ila njia iliyokuu ni kuficha uhalisia kwa kuonesha alama, ishara na kuwasilisha taswira zenye ufanano sawia na vitu halisi hili kuzuia kushtukiwa juu ya uasili wa kile kinachofanywa.
Kundi hili lenye wafuasi wengi zaidi duniani utambulika kama washriki uchawi MWEUPE au kwa kimombo WHITE WITCHCRAFT.
Kundi linalofata ni lile la Demonic lenyewe linajiendesha kwa kificho nakuacha wengi wadoubt kama lipo kweli au ni uongo na pia mambo yake uhusisha sana kimwili (physical) hivyo matokeo yake huwa ni ya haraka ndiyo maana upande huu
umechaguliwa sana na watu wanaopenda shortcut zaidi nakutimiza malengo makubwa kwa haraka au wasiyo na dhamira ya ubinadamu au utu, au wanaoweza ku-risk chochote kupata chochote.
Katika daraja la juu zaidi inaanza title au cheo cha DEVIL yaan shetani, amefanywa kutambulika kwa sifa ya UBAYA au MAOVU, wafuasi wake huitwa DEMONS yaani Mapepo, chini yao tunakuwa tumevuka nguzo kuu ya pili ya hekalu yaani
JACHIN "He that strengthens and makes stead fast" yeye aimarishaye na kufanya uthabiti.
Hapa tunakumbana au kukabiliana na agizo la mauti au kifo (the order of DEATH), hawa ufanikisha lengo hili kupitia duplicating(kujifananisha/kuiga), the temple(hekalu), tabernacle ( mwili ni hekalu au hema takatifu ambalo uhifadhi nafsi) above here below (kama ilivyo juu basi na chini pia ni sawa)
Hawa matendo yao uhusisha zaidi taratibu, ishara na alama zinazoashiria mauti au uhusisha mauti katika uhalisia kama njia ya kutoa dhabihu na kufunguliwa milango ya maarifa,kinga,ujuzi au mafanikio.
Kwa lugha nyingine hawa utambulika kama wafuasi wa uchawi MWEUSI yaani BLACK WITCH.
Sasa tujikite kwenye sehemu ya mwisho yaani demonic entities yenyewe inafanyaje kazi baada ya kuzichambua pande zote mbili zinazosimamiwa/kuratibiwa na section hii ya demonic entities.
Hawa utumia mfumo wa EGREGORE THOUGHT FORM yaani mjumuiko/muunganiko wa ideas za kichawi au kishirikina katika kutenda au kufanikisha SIGIL MAGIC (kutenda miujiza)
Cabala, Kabalam ambayo ni imani ya kiyahudi (secret doctrine or esoteric; occultism) ambayo inatekelezwa kulingana na tafsiri ya misahafu iliyoshamiri zaidi mwishoni mwa karne ya 12th.
Subliminal messaging yaani kutumia technique ya kufanya matangazo au kufikisha ujumbe kwenye fikra za mtazamaji,muumini,shabiki au mtumiaji wa mitandao au chombo cha habari
pasipo yeye kung'amua kuwa anatumiwa au anapandikizwa idea nyingine au
kuoneshwa jambo lililofichwa kupitia jumbe,alama,katuni,muvi,miziki, michezo, watu mashuhuri na maarufu,mambo ya kidini n.k
Njia nyingine ambayo inaweza kutumiwa na pande zote mbili yaani white na black witches kukamilisha kuadaa au kuwafanya mateka wafuasi wao nikupitia kufanya MANUIZI (CASTING SPELLS) hapa nguvu ya maneno ufanya jambo lolote kuwezekana.
Hivyo manuizi haya hayaishii tu hapo kuna pia yale ya the HEX ambayo lengo lake huwa ni kudhuru na INCANTATIONS ambayo hutumika kuongea au kuimbwa kama sehemu ya kufanya maajabu.
Na mwisho ni kuhalalisha 3D ambayo umficha mwanadamu kujua zaidi ya hapo au kuona uhalisia uliopo nje ya kile alichoaminishwa kujua au kukiishi kwa mazoea kuwa ndivyo ilivyo na zaidi ya hapo atamkosea supernatural being nakukumbana na chamtema kuni.
Mathayo 7:13 "ingieni kupitia mlango mwembamba, kwa maana lango ni pana na njia ni pana ielekeayo upotevuni nao ni wengi waingiao kupitia lango hili."
Tamati; Ujumbe tunaoupata hapa kwa kifupi ni kuwa haya mambo ni idea za watu wachache ambao kwa mapenzi yao wameamua kuficha wanachokijua kwa malengo yao binafsi ambayo ni wazi kuwacontrol wanadamu wenzao kwa kuwa
wanasiri za ulimwengu na nguvu zinazosababisha cause and effect hivyo uzitumia kumunipulate fikra zetu nakututawala kirahisi, kwa lugha nyingine utawala huu ndiyo serikali ya kimabavu inayoongoza ulimwengu huu nakuanguka kwake ndiyo kujikomboa kwa human races duniani.
kuwa na ugomvi wa kidini na kimadhehebu kwa kuwa wote tunachezeshwa na ka kikundi ka watu wachache wajiitao luciferian hivyo hili kuakikisha siwi na bias katika judgement zangu nimeamua kuweka hisia/mihemuko ya kidini kando nakuamua kuchimba kujua chanzo cha yote haya ni nini na haya ndo majibu nilokuja nayo;
The luciferian Mindset yaani fikra au mtizamo wa ki-ibilisi ambao ni chambo au mtego ambao ukishanasamo kutoka ni vigumu unakuwa humo kwenye cage ambako uoni mlango wakuchomokea wala mwangaza wa kujinasua na dogma hii yenye nguvu kuu ulimwenguni ambayo imefanikiwa kuteka fahamu za mabilioni ya watu duniani nakuwafanya kuwa watumwa wake kwa miaka mingi sasa.
Katika ngazi za juu kabisa za maamuzi wanakaa waanzilishi wa dogma hii yaani kikundi cha wachache au wapigaji wa ngoma then sisi tumeachiwa tuingie kucheza staili yeyote tuitakayo maadamu lengo lao wao litimie, wao utambua kuwa "THERE IS NO SUPREME GOD" hakuna Mungu mkuu mwenye mamlaka yote.
Isipokuwa umoja mmoja wa wapotoshaji wa kishetani waliojifanisha kana kwamba ni miungu Mungu na shetani. A CABAL yaani wala njama dhidi yetu wanadamu.
Likitoka daraja hili la watunga sera, miongozo na taratibu zakufuatwa yanakuja madaraja makuu mawili ya mrengo wa kukinzana yaani wale wanaoonekana kana kwamba wanatuambia ukweli ila
uthibitisho ni kwa njia ya kiroho na wale tunaowashuku kuwa wanatudanganya ila wao ufanya mengi kimwili zaidi. (THOSE APPEARS AS TRUTH AND SPIRITUAL and THOSE APPEARS AS LIES AND PHYSICAL) Lengo hapa nikutengeneza confusion nakuacha mfumo ujiendeshe wenyewe kwa kuwafanya walengwa wajitwalie upande wowote kati ya hiyo miwili huku wakijuzwa kuwa ndiyo hatima ya maisha yao (karma/destiny/hatima)
Kazi kubwa nikuwalisha dogma na kuwaaminisha kuwa upande walipo kila mmoja wao ni sahihi na salama zaidi kuliko upande walipo wale wengine, hivyo kwa maana hii
DIVIDE AND RULE haiepukiki lazima ifanikiwe na kama ni biashara tiyari imepata competitor hivyo haiwezi kufa tena na vitu kama chuki,kurogana,mabifu, kujiona bora kiimani, kutengana,kuuana, n.k haviwezi koma na urithishwa kizazi mpaka kizazi.
Sasa ni jukumu la wavuvi wa binadamu kuhakikisha kila mmoja alipo anajipatia waamini wengi kwa njia yeyote nakujiimarisha zaidi kiuchumi, kisiasa na kinguvu na hivyo kujipatia sehemu katika utawala wa wachache katika kujitwalia
ufalme wa ulimwengu huu kwa kuwa wanajua nguvu ya utawala ni watu na watu uongozwa kupitia fikra, ukishawadhibiti kwenye akili zao basi unawaweka bandani kama kuku wa kisasa jambo ambalo wamefanikiwa kwa asilimia kubwa.
Sasa katika hatua hii makundi haya ugawanishwa katikati katika pande mbili na ideology ya THE CREATOR OF DUALITY yaani concept inayohold uwepo wa pande mbili katika kila jambo ambalo lengo nimeshalifafanua tiyari na chini yake ujengwa idea ya THE CREATOR OF HEAVEN AND EARTH.
Sasa tuzitizame pande hizi mbili moja ikiwa ni ile ambayo mambo yake ni ya kiroho na ya pili yakifizikia zaidi.
Upande mmoja usimamiwa na SPIRITS (Roho) na upande mwingine ni DEMONIC (Mapepo/Majini) huku pande zote mbili zikifanya kazi kama pande mbili za shilingi.
Tuanze na components za upande wa spirits hapa katika ngazi za juu kabisa tunaye MUNGU ambaye utambulika kwa MEMA na MAZURI chini yake wapo MALAIKA WAZURI au WEMA kisha ufuatia nguzo ya kwanza katika imani yaani BOAZ ambalo si jina geni kwa wale wanaoifahamu imani kumhusu masihi na uzao wake kabla ya kuzaliwa kwake.
BOAZ "In strength of" kwa nguvu ya au 'In him (is) strenght' ndani yake kunamo nguvu, hivyo boazi uwakilisha nguzo moja ya portico(ukumbi) wa hekalu (1wafalme 7:21) pia waweza ita 'sharp mind' yaani enye akili nyingi.
Chini yake ni mamlaka ya agizo la ROSE(agizo la kuangaza au kuchomoza na kung'aa) uwakilishwa mara kwa mara na celestial bodies mfano jua linalochomoza,holo disk,sayari,
nyota,jicho,mwezi,n.k hivi uchorwa au kunakishwa kama nembo muhimu za utambulisho wa madhehebu, juu ya misahafu au kwenye vipeperushi vyao,katika mavazi,miongozo na ishara katika ibada n.k
Hili kulifanikisha hilo basi njia mbalimbali utumika ila njia iliyokuu ni kuficha uhalisia kwa kuonesha alama, ishara na kuwasilisha taswira zenye ufanano sawia na vitu halisi hili kuzuia kushtukiwa juu ya uasili wa kile kinachofanywa.
Kundi hili lenye wafuasi wengi zaidi duniani utambulika kama washriki uchawi MWEUPE au kwa kimombo WHITE WITCHCRAFT.
Kundi linalofata ni lile la Demonic lenyewe linajiendesha kwa kificho nakuacha wengi wadoubt kama lipo kweli au ni uongo na pia mambo yake uhusisha sana kimwili (physical) hivyo matokeo yake huwa ni ya haraka ndiyo maana upande huu
umechaguliwa sana na watu wanaopenda shortcut zaidi nakutimiza malengo makubwa kwa haraka au wasiyo na dhamira ya ubinadamu au utu, au wanaoweza ku-risk chochote kupata chochote.
Katika daraja la juu zaidi inaanza title au cheo cha DEVIL yaan shetani, amefanywa kutambulika kwa sifa ya UBAYA au MAOVU, wafuasi wake huitwa DEMONS yaani Mapepo, chini yao tunakuwa tumevuka nguzo kuu ya pili ya hekalu yaani
JACHIN "He that strengthens and makes stead fast" yeye aimarishaye na kufanya uthabiti.
Hapa tunakumbana au kukabiliana na agizo la mauti au kifo (the order of DEATH), hawa ufanikisha lengo hili kupitia duplicating(kujifananisha/kuiga), the temple(hekalu), tabernacle ( mwili ni hekalu au hema takatifu ambalo uhifadhi nafsi) above here below (kama ilivyo juu basi na chini pia ni sawa)
Hawa matendo yao uhusisha zaidi taratibu, ishara na alama zinazoashiria mauti au uhusisha mauti katika uhalisia kama njia ya kutoa dhabihu na kufunguliwa milango ya maarifa,kinga,ujuzi au mafanikio.
Kwa lugha nyingine hawa utambulika kama wafuasi wa uchawi MWEUSI yaani BLACK WITCH.
Sasa tujikite kwenye sehemu ya mwisho yaani demonic entities yenyewe inafanyaje kazi baada ya kuzichambua pande zote mbili zinazosimamiwa/kuratibiwa na section hii ya demonic entities.
Hawa utumia mfumo wa EGREGORE THOUGHT FORM yaani mjumuiko/muunganiko wa ideas za kichawi au kishirikina katika kutenda au kufanikisha SIGIL MAGIC (kutenda miujiza)
Cabala, Kabalam ambayo ni imani ya kiyahudi (secret doctrine or esoteric; occultism) ambayo inatekelezwa kulingana na tafsiri ya misahafu iliyoshamiri zaidi mwishoni mwa karne ya 12th.
Subliminal messaging yaani kutumia technique ya kufanya matangazo au kufikisha ujumbe kwenye fikra za mtazamaji,muumini,shabiki au mtumiaji wa mitandao au chombo cha habari
pasipo yeye kung'amua kuwa anatumiwa au anapandikizwa idea nyingine au
kuoneshwa jambo lililofichwa kupitia jumbe,alama,katuni,muvi,miziki, michezo, watu mashuhuri na maarufu,mambo ya kidini n.k
Njia nyingine ambayo inaweza kutumiwa na pande zote mbili yaani white na black witches kukamilisha kuadaa au kuwafanya mateka wafuasi wao nikupitia kufanya MANUIZI (CASTING SPELLS) hapa nguvu ya maneno ufanya jambo lolote kuwezekana.
Hivyo manuizi haya hayaishii tu hapo kuna pia yale ya the HEX ambayo lengo lake huwa ni kudhuru na INCANTATIONS ambayo hutumika kuongea au kuimbwa kama sehemu ya kufanya maajabu.
Na mwisho ni kuhalalisha 3D ambayo umficha mwanadamu kujua zaidi ya hapo au kuona uhalisia uliopo nje ya kile alichoaminishwa kujua au kukiishi kwa mazoea kuwa ndivyo ilivyo na zaidi ya hapo atamkosea supernatural being nakukumbana na chamtema kuni.
Mathayo 7:13 "ingieni kupitia mlango mwembamba, kwa maana lango ni pana na njia ni pana ielekeayo upotevuni nao ni wengi waingiao kupitia lango hili."
Tamati; Ujumbe tunaoupata hapa kwa kifupi ni kuwa haya mambo ni idea za watu wachache ambao kwa mapenzi yao wameamua kuficha wanachokijua kwa malengo yao binafsi ambayo ni wazi kuwacontrol wanadamu wenzao kwa kuwa
wanasiri za ulimwengu na nguvu zinazosababisha cause and effect hivyo uzitumia kumunipulate fikra zetu nakututawala kirahisi, kwa lugha nyingine utawala huu ndiyo serikali ya kimabavu inayoongoza ulimwengu huu nakuanguka kwake ndiyo kujikomboa kwa human races duniani.