THE LUCIFERIAN MINDSET: Ni kwa jinsi gani wamefanikiwa kupandikiza dogma yao kutawala ulimwengu kwa karne nyingi pasipo kushtukiwa wala kupingwa?

Mungu yupo
Sijajua wewe waamini katika imani gani kuweza kujustify hilo? Ila kama ni mkristo unakubaliana nami kuwa Mungu wako ni huyu hapa;
Yohana 1:1-14 "Hapo mwanzo kulikuwako NENO, naye NENO alikuwako kwa MUNGU, naye NENO alikuwa MUNGU."

1.Huyu Neno ni nani?
Nategemea utanijibu Yesu=Emanueli 'Mungu yu pamoja nasi'

2. Kwanini Yesu anakana kuwa Mungu kama kweli yeye ndiye Neno?

3. Kwanini Yesu anajihita mwana wa Mungu na siye pia akitujulisha ni miungu tukilipokea NENO?

4. Je, uoni kama kuna uwezekano kwamba NENO ni ujumbe wa MUNGU na Yesu pia ni mfuasi kama sisi ambaye ni benchmark kwetu kujifunza na kuiga mfano mwema kwake namna yakuenenda na NENO?

5. Mwisho kama NENO ni ujumbe wa MUNGU unaotakiwa tuuishi na uwepo ndani yetu kama Mwangaza na Uzima na UJUMBE huo ndiyo MUNGU.

Je, uzi huu unakupa picha gani kuhusiana na possibility juu ya kuwepo na kile nilichoandika?
 
Sijajua wewe waamini katika imani gani kuweza kujustify hilo? Ila kama ni mkristo unakubaliana nami kuwa Mungu wako ni huyu hapa;
Yohana 1:1-14 "Hapo mwanzo kulikuwako NENO, naye NENO alikuwako kwa MUNGU, naye NENO alikuwa MUNGU."

1.Huyu Neno ni nani?
Nategemea utanijibu Yesu=Emanueli 'Mungu yu pamoja nasi'

2. Kwanini Yesu anakana kuwa Mungu kama kweli yeye ndiye Neno?

3. Kwanini Yesu anajihita mwana wa Mungu na siye pia akitujulisha ni miungu tukilipokea NENO?

4. Je, uoni kama kuna uwezekano kwamba NENO ni ujumbe wa MUNGU na Yesu pia ni mfuasi kama sisi ambaye ni benchmark kwetu kujifunza na kuiga mfano mwema kwake namna yakuenenda na NENO?

5. Mwisho kama NENO ni ujumbe wa MUNGU unaotakiwa tuuishi na uwepo ndani yetu kama Mwangaza na Uzima na UJUMBE huo ndiyo MUNGU.

Je, uzi huu unakupa picha gani kuhusiana na possibility juu ya kuwepo na kile nilichoandika?
Kwanza Uwepo wa mungu sio possibility!.lucifer alimwambia yesu nisujudie nikupe vyote hivi fahari ya dunia. Mbona huulizi lucifer vitu hivo alivitoa wapi na kwa mamlaka gani ya umiliki???
 
Kwanza Uwepo wa mungu sio possibility!.lucifer alimwambia yesu nisujudie nikupe vyote hivi fahari ya dunia. Mbona huulizi lucifer vitu hivo alivitoa wapi na kwa mamlaka gani ya umiliki???
Nimejiuliza maswali mengi yenye lengo la kumbaini Mungu anayezungumzwa ni nani hasa kiuhalisia kupitia maandiko unayoyaamini, ila ujanijibu ipasavyo mkuu, kwa maana ujakanusha wala ujakubaliana kama nilichokieleza siyo sahihi kuhusu Mungu ni nani?

Badala yake wewe wadhani napinga uwepo wake au nasimama upande wa shetani. Hapa hoja ni 'Mungu' kuwa 'Neno' na Neno la Mungu ambaye ndiye Mungu tunajua limehifadhiwa kupitia biblia what if bible ni kitabu cha kughushi na wanadamu kama wewe na mimi?
 
Nimejiuliza maswali mengi yenye lengo la kumbaini Mungu anayezungumzwa ni nani hasa kiuhalisia kupitia maandiko unayoyaamini, ila ujanijibu ipasavyo mkuu, kwa maana ujakanusha wala ujakubaliana kama nilichokieleza siyo sahihi kuhusu Mungu ni nani?

Badala yake wewe wadhani napinga uwepo wake au nasimama upande wa shetani. Hapa hoja ni 'Mungu' kuwa 'Neno' na Neno la Mungu ambaye ndiye Mungu tunajua limehifadhiwa kupitia biblia what if bible ni kitabu cha kughushi na wanadamu kama wewe na mimi?
Biblia imeandika na wanadam kama mm na ww. Husia wa mtu anae karibia kufa ushike sana wanaona mbali.
 
Sijajua wewe waamini katika imani gani kuweza kujustify hilo? Ila kama ni mkristo unakubaliana nami kuwa Mungu wako ni huyu hapa;
Yohana 1:1-14 "Hapo mwanzo kulikuwako NENO, naye NENO alikuwako kwa MUNGU, naye NENO alikuwa MUNGU."

1.Huyu Neno ni nani?
Nategemea utanijibu Yesu=Emanueli 'Mungu yu pamoja nasi'

2. Kwanini Yesu anakana kuwa Mungu kama kweli yeye ndiye Neno?

3. Kwanini Yesu anajihita mwana wa Mungu na siye pia akitujulisha ni miungu tukilipokea NENO?

4. Je, uoni kama kuna uwezekano kwamba NENO ni ujumbe wa MUNGU na Yesu pia ni mfuasi kama sisi ambaye ni benchmark kwetu kujifunza na kuiga mfano mwema kwake namna yakuenenda na NENO?

5. Mwisho kama NENO ni ujumbe wa MUNGU unaotakiwa tuuishi na uwepo ndani yetu kama Mwangaza na Uzima na UJUMBE huo ndiyo MUNGU.

Je, uzi huu unakupa picha gani kuhusiana na possibility juu ya kuwepo na kile nilichoandika?
Mkuuu unanitisha sana
 
Sasa wakuu Undava King na Ushindi victory hebu mnifafanulie kitu hapa.

Nyie hizi taarifa mnazitoa wapi na je ni kipi kinawafanya muamini kua hizo ni za kweli 100% na nyingine ni uongo. Siongelei uislam na ukristo tu lakini kuna dini nyingi na nadharia nyingi mno kuhusu imani. Sasa je ni kipi hicho kilichofanya muamini hicho ni kweli?? Ni kuoanisha maandiko tu, miujiza flani, masimulizi mnayoyaamini au ni lipi??

Kuna uzi humu jamaa anaelezea eti binadamu tumetoka na viumbe toka anga za juu, hivyo viumbe ndo vinacontrol kila kitu, wengine wanasema hakuna Mungu. Na wote hao wanashawishi kua wao ndio wakweli zaidi. Au ni ishu ya utashi binafsi tu kuamua ni kipi uamini wakuu na sio kua na maarifa mengi au lah!!??
 
Sasa wakuu Undava King na Ushindi victory hebu mnifafanulie kitu hapa.

Nyie hizi taarifa mnazitoa wapi na je ni kipi kinawafanya muamini kua hizo ni za kweli 100% na nyingine ni uongo. Siongelei uislam na ukristo tu lakini kuna dini nyingi na nadharia nyingi mno kuhusu imani. Sasa je ni kipi hicho kilichofanya muamini hicho ni kweli?? Ni kuoanisha maandiko tu, miujiza flani, masimulizi mnayoyaamini au ni lipi??

Kuna uzi humu jamaa anaelezea eti binadamu tumetoka na viumbe toka anga za juu, hivyo viumbe ndo vinacontrol kila kitu, wengine wanasema hakuna Mungu. Na wote hao wanashawishi kua wao ndio wakweli zaidi. Au ni ishu ya utashi binafsi tu kuamua ni kipi uamini wakuu na sio kua na maarifa mengi au lah!!??
Wakikujibu utani tag mkuu
 
Sasa wakuu Undava King na Ushindi victory hebu mnifafanulie kitu hapa.

Nyie hizi taarifa mnazitoa wapi na je ni kipi kinawafanya muamini kua hizo ni za kweli 100% na nyingine ni uongo. Siongelei uislam na ukristo tu lakini kuna dini nyingi na nadharia nyingi mno kuhusu imani. Sasa je ni kipi hicho kilichofanya muamini hicho ni kweli?? Ni kuoanisha maandiko tu, miujiza flani, masimulizi mnayoyaamini au ni lipi??

Kuna uzi humu jamaa anaelezea eti binadamu tumetoka na viumbe toka anga za juu, hivyo viumbe ndo vinacontrol kila kitu, wengine wanasema hakuna Mungu. Na wote hao wanashawishi kua wao ndio wakweli zaidi. Au ni ishu ya utashi binafsi tu kuamua ni kipi uamini wakuu na sio kua na maarifa mengi au lah!!??

Nikubaliane nawe kwenye hili kuwa kuna nadharia nyingi mno kuhusiana na haya mambo ya kiroho kiasi kwamba usipokuwa makini unaweza kuchanganyikiwa ufuate lipi na uache lipi.

Siku zote katika kujua huwa hamna short cut umiza akili na tumia gharama na muda kufuatilia na kutafuta maarifa katika vyanzo mbalimbali as possible ikiwa una interest na kitu hakuna kisichowezekana.

Kingine jua kila mtu hapa duniani ana maarifa na kipawa alichojaaliwa hivyo heshimu mawazo ya wengine hata kama nitofauti na ujuavyo ila kwenye kuyakubali au kuyakataa itategemea zaidi na kiwango cha ukwasi na uthabiti wa taarifa ulizonazo juu ya kile unachoambiwa.

Kulingana na uzi wangu nimeweka bayana na kukuonesha jinsi gani dini za dunia hii ujiendesha chini ya mwamvuli wa luciferian na hivyo hazina uhalali wowote, na nikaelezea kinagaubaga nini ufanyika mpaka mwisho, labda swali hapa ni kuwa nimejuaje? hili pia nimeshakujibu kirefu hapo juu.

Kuna mengi sana sijayazungumzia kwa maana naamini wasomaji na wafuatiliaji wengi watakerwa au nitazidi kugusa imani za watu na matokeo hayawezi kuwa mazuri kijamii na nitakuwa nimekiuka maadili ya JF

Tambua kuwa katika mambo haya kuna aina kuu tatu za mitizamo/misimamo;

1. Wanaitikadi
I/Waamini katika dini zote zinazoamini juu ya uwepo na ukuu wa Mungu na viumbe vya kiroho
II/ Waamini katika mafundisho ya siri juu ya uumbaji na uwepo wa ulimwengu
III/ Waamini katika Shetani na viumbe vya kiroho
IV/Waamini katika nguvu yeyote ya kiroho na kimazingira
V/ Washirikina
VI/ Wapagani

2. Wasio-unga itikadi

I/ Atheists (hawaamini au kujihusisha na masuala ya kiroho)
II/ Watafiti, wadadisi au wafuatiliaji wa mambo ya kiroho (uchimba pasina itikadi kuthibitisha au kugundua ukweli)

3.Wapo kote kote/Vuguvugu(undecided)

Binafsi wakati naleta uzi huu nilijikita hapo kwenye namba mbili kipengele cha pili, sijuhi kama nitakuwa nimekujibu swali lako ilivyotakiwa.
 
Nikubaliane nawe kwenye hili kuwa kuna nadharia nyingi mno kuhusiana na haya mambo ya kiroho kiasi kwamba usipokuwa makini unaweza kuchanganyikiwa ufuate lipi na uache lipi.

Siku zote katika kujua huwa hamna short cut umiza akili na tumia gharama na muda kufuatilia na kutafuta maarifa katika vyanzo mbalimbali as possible ikiwa una interest na kitu hakuna kisichowezekana.

Kingine jua kila mtu hapa duniani ana maarifa na kipawa alichojaaliwa hivyo heshimu mawazo ya wengine hata kama nitofauti na ujuavyo ila kwenye kuyakubali au kuyakataa itategemea zaidi na kiwango cha ukwasi na uthabiti wa taarifa ulizonazo juu ya kile unachoambiwa.

Kulingana na uzi wangu nimeweka bayana na kukuonesha jinsi gani dini za dunia hii ujiendesha chini ya mwamvuli wa luciferian na hivyo hazina uhalali wowote, na nikaelezea kinagaubaga nini ufanyika mpaka mwisho, labda swali hapa ni kuwa nimejuaje? hili pia nimeshakujibu kirefu hapo juu.

Kuna mengi sana sijayazungumzia kwa maana naamini wasomaji na wafuatiliaji wengi watakerwa au nitazidi kugusa imani za watu na matokeo hayawezi kuwa mazuri kijamii na nitakuwa nimekiuka maadili ya JF

Tambua kuwa katika mambo haya kuna aina kuu tatu za mitizamo/misimamo;

1. Wanaitikadi
I/Waamini katika dini zote zinazoamini juu ya uwepo na ukuu wa Mungu na viumbe vya kiroho
II/ Waamini katika mafundisho ya siri juu ya uumbaji na uwepo wa ulimwengu
III/ Waamini katika Shetani na viumbe vya kiroho
IV/Waamini katika nguvu yeyote ya kiroho na kimazingira
V/ Washirikina
VI/ Wapagani

2. Wasio-unga itikadi

I/ Atheists (hawaamini au kujihusisha na masuala ya kiroho)
II/ Watafiti, wadadisi au wafuatiliaji wa mambo ya kiroho (uchimba pasina itikadi kuthibitisha au kugundua ukweli)

3.Wapo kote kote/Vuguvugu(undecided)

Binafsi wakati naleta uzi huu nilijikita hapo kwenye namba mbili kipengele cha pili, sijuhi kama nitakuwa nimekujibu swali lako ilivyotakiwa.
Mkuu umenijibu vyema sana sana.

Sema tu nishukuru JF kwa kuleta watu wenye mitazamo tofauti tofauti.

Mwanzo hata mimi nilikua kama wachangiaji wengi humu wasiotaka kujifunza mambo mapya. Ila nilivyojua kuna bna kuna mengi siyajui ningeendelea kukaza ubongo 😂😂 ningekosa mengi .

Umenipa chachu ya kutafuta mengi kuhusu imani yangu.
 
Mkuu umenijibu vyema sana sana.

Sema tu nishukuru JF kwa kuleta watu wenye mitazamo tofauti tofauti.

Mwanzo hata mimi nilikua kama wachangiaji wengi humu wasiotaka kujifunza mambo mapya. Ila nilivyojua kuna bna kuna mengi siyajui ningeendelea kukaza ubongo ningekosa mengi .

Umenipa chachu ya kutafuta mengi kuhusu imani yangu.

Asante Mkuu kwa feedback nzuri, tuendelee kujifunza pamoja ndo njia pekee yakujitwalia maarifa kupitia jukwaa letu pendwa la JF.
 
Sina budi kusema kuwa inawezekana tumedanganywa sana au nimepotoka pia kuamini hili. Kupitia speculations zangu nimekuja kung'amua kuwa hatupaswi

kuwa na ugomvi wa kidini na kimadhehebu kwa kuwa wote tunachezeshwa na ka kikundi ka watu wachache wajiitao luciferian hivyo hili kuakikisha siwi na bias katika judgement zangu nimeamua kuweka hisia/mihemuko ya kidini kando nakuamua kuchimba kujua chanzo cha yote haya ni nini na haya ndo majibu nilokuja nayo;

The luciferian Mindset yaani fikra au mtizamo wa ki-ibilisi ambao ni chambo au mtego ambao ukishanasamo kutoka ni vigumu unakuwa humo kwenye cage ambako uoni mlango wakuchomokea wala mwangaza wa kujinasua na dogma hii yenye nguvu kuu ulimwenguni ambayo imefanikiwa kuteka fahamu za mabilioni ya watu duniani nakuwafanya kuwa watumwa wake kwa miaka mingi sasa.

Katika ngazi za juu kabisa za maamuzi wanakaa waanzilishi wa dogma hii yaani kikundi cha wachache au wapigaji wa ngoma then sisi tumeachiwa tuingie kucheza staili yeyote tuitakayo maadamu lengo lao wao litimie, wao utambua kuwa "THERE IS NO SUPREME GOD" hakuna Mungu mkuu mwenye mamlaka yote.

Isipokuwa umoja mmoja wa wapotoshaji wa kishetani waliojifanisha kana kwamba ni miungu Mungu na shetani. A CABAL yaani wala njama dhidi yetu wanadamu.

Likitoka daraja hili la watunga sera, miongozo na taratibu zakufuatwa yanakuja madaraja makuu mawili ya mrengo wa kukinzana yaani wale wanaoonekana kana kwamba wanatuambia ukweli ila

uthibitisho ni kwa njia ya kiroho na wale tunaowashuku kuwa wanatudanganya ila wao ufanya mengi kimwili zaidi. (THOSE APPEARS AS TRUTH AND SPIRITUAL and THOSE APPEARS AS LIES AND PHYSICAL) Lengo hapa nikutengeneza confusion nakuacha mfumo ujiendeshe wenyewe kwa kuwafanya walengwa wajitwalie upande wowote kati ya hiyo miwili huku wakijuzwa kuwa ndiyo hatima ya maisha yao (karma/destiny/hatima)

Kazi kubwa nikuwalisha dogma na kuwaaminisha kuwa upande walipo kila mmoja wao ni sahihi na salama zaidi kuliko upande walipo wale wengine, hivyo kwa maana hii

DIVIDE AND RULE haiepukiki lazima ifanikiwe na kama ni biashara tiyari imepata competitor hivyo haiwezi kufa tena na vitu kama chuki,kurogana,mabifu, kujiona bora kiimani, kutengana,kuuana, n.k haviwezi koma na urithishwa kizazi mpaka kizazi.

Sasa ni jukumu la wavuvi wa binadamu kuhakikisha kila mmoja alipo anajipatia waamini wengi kwa njia yeyote nakujiimarisha zaidi kiuchumi, kisiasa na kinguvu na hivyo kujipatia sehemu katika utawala wa wachache katika kujitwalia

ufalme wa ulimwengu huu kwa kuwa wanajua nguvu ya utawala ni watu na watu uongozwa kupitia fikra, ukishawadhibiti kwenye akili zao basi unawaweka bandani kama kuku wa kisasa jambo ambalo wamefanikiwa kwa asilimia kubwa.

Sasa katika hatua hii makundi haya ugawanishwa katikati katika pande mbili na ideology ya THE CREATOR OF DUALITY yaani concept inayohold uwepo wa pande mbili katika kila jambo ambalo lengo nimeshalifafanua tiyari na chini yake ujengwa idea ya THE CREATOR OF HEAVEN AND EARTH.

Sasa tuzitizame pande hizi mbili moja ikiwa ni ile ambayo mambo yake ni ya kiroho na ya pili yakifizikia zaidi.

Upande mmoja usimamiwa na SPIRITS (Roho) na upande mwingine ni DEMONIC (Mapepo/Majini) huku pande zote mbili zikifanya kazi kama pande mbili za shilingi.

Tuanze na components za upande wa spirits hapa katika ngazi za juu kabisa tunaye MUNGU ambaye utambulika kwa MEMA na MAZURI chini yake wapo MALAIKA WAZURI au WEMA kisha ufuatia nguzo ya kwanza katika imani yaani BOAZ ambalo si jina geni kwa wale wanaoifahamu imani kumhusu masihi na uzao wake kabla ya kuzaliwa kwake.

BOAZ "In strength of" kwa nguvu ya au 'In him (is) strenght' ndani yake kunamo nguvu, hivyo boazi uwakilisha nguzo moja ya portico(ukumbi) wa hekalu (1wafalme 7:21) pia waweza ita 'sharp mind' yaani enye akili nyingi.

Chini yake ni mamlaka ya agizo la ROSE(agizo la kuangaza au kuchomoza na kung'aa) uwakilishwa mara kwa mara na celestial bodies mfano jua linalochomoza,holo disk,sayari,

nyota,jicho,mwezi,n.k hivi uchorwa au kunakishwa kama nembo muhimu za utambulisho wa madhehebu, juu ya misahafu au kwenye vipeperushi vyao,katika mavazi,miongozo na ishara katika ibada n.k

Hili kulifanikisha hilo basi njia mbalimbali utumika ila njia iliyokuu ni kuficha uhalisia kwa kuonesha alama, ishara na kuwasilisha taswira zenye ufanano sawia na vitu halisi hili kuzuia kushtukiwa juu ya uasili wa kile kinachofanywa.

Kundi hili lenye wafuasi wengi zaidi duniani utambulika kama washriki uchawi MWEUPE au kwa kimombo WHITE WITCHCRAFT.

Kundi linalofata ni lile la Demonic lenyewe linajiendesha kwa kificho nakuacha wengi wadoubt kama lipo kweli au ni uongo na pia mambo yake uhusisha sana kimwili (physical) hivyo matokeo yake huwa ni ya haraka ndiyo maana upande huu

umechaguliwa sana na watu wanaopenda shortcut zaidi nakutimiza malengo makubwa kwa haraka au wasiyo na dhamira ya ubinadamu au utu, au wanaoweza ku-risk chochote kupata chochote.

Katika daraja la juu zaidi inaanza title au cheo cha DEVIL yaan shetani, amefanywa kutambulika kwa sifa ya UBAYA au MAOVU, wafuasi wake huitwa DEMONS yaani Mapepo, chini yao tunakuwa tumevuka nguzo kuu ya pili ya hekalu yaani

JACHIN "He that strengthens and makes stead fast" yeye aimarishaye na kufanya uthabiti.

Hapa tunakumbana au kukabiliana na agizo la mauti au kifo (the order of DEATH), hawa ufanikisha lengo hili kupitia duplicating(kujifananisha/kuiga), the temple(hekalu), tabernacle ( mwili ni hekalu au hema takatifu ambalo uhifadhi nafsi) above here below (kama ilivyo juu basi na chini pia ni sawa)

Hawa matendo yao uhusisha zaidi taratibu, ishara na alama zinazoashiria mauti au uhusisha mauti katika uhalisia kama njia ya kutoa dhabihu na kufunguliwa milango ya maarifa,kinga,ujuzi au mafanikio.

Kwa lugha nyingine hawa utambulika kama wafuasi wa uchawi MWEUSI yaani BLACK WITCH.

Sasa tujikite kwenye sehemu ya mwisho yaani demonic entities yenyewe inafanyaje kazi baada ya kuzichambua pande zote mbili zinazosimamiwa/kuratibiwa na section hii ya demonic entities.

Hawa utumia mfumo wa EGREGORE THOUGHT FORM yaani mjumuiko/muunganiko wa ideas za kichawi au kishirikina katika kutenda au kufanikisha SIGIL MAGIC (kutenda miujiza)

Cabala, Kabalam ambayo ni imani ya kiyahudi (secret doctrine or esoteric; occultism) ambayo inatekelezwa kulingana na tafsiri ya misahafu iliyoshamiri zaidi mwishoni mwa karne ya 12th.

Subliminal messaging yaani kutumia technique ya kufanya matangazo au kufikisha ujumbe kwenye fikra za mtazamaji,muumini,shabiki au mtumiaji wa mitandao au chombo cha habari

pasipo yeye kung'amua kuwa anatumiwa au anapandikizwa idea nyingine au
kuoneshwa jambo lililofichwa kupitia jumbe,alama,katuni,muvi,miziki, michezo, watu mashuhuri na maarufu,mambo ya kidini n.k

Njia nyingine ambayo inaweza kutumiwa na pande zote mbili yaani white na black witches kukamilisha kuadaa au kuwafanya mateka wafuasi wao nikupitia kufanya MANUIZI (CASTING SPELLS) hapa nguvu ya maneno ufanya jambo lolote kuwezekana.

Hivyo manuizi haya hayaishii tu hapo kuna pia yale ya the HEX ambayo lengo lake huwa ni kudhuru na INCANTATIONS ambayo hutumika kuongea au kuimbwa kama sehemu ya kufanya maajabu.

Na mwisho ni kuhalalisha 3D ambayo umficha mwanadamu kujua zaidi ya hapo au kuona uhalisia uliopo nje ya kile alichoaminishwa kujua au kukiishi kwa mazoea kuwa ndivyo ilivyo na zaidi ya hapo atamkosea supernatural being nakukumbana na chamtema kuni.

Mathayo 7:13 "ingieni kupitia mlango mwembamba, kwa maana lango ni pana na njia ni pana ielekeayo upotevuni nao ni wengi waingiao kupitia lango hili."

Tamati; Ujumbe tunaoupata hapa kwa kifupi ni kuwa haya mambo ni idea za watu wachache ambao kwa mapenzi yao wameamua kuficha wanachokijua kwa malengo yao binafsi ambayo ni wazi kuwacontrol wanadamu wenzao kwa kuwa

wanasiri za ulimwengu na nguvu zinazosababisha cause and effect hivyo uzitumia kumunipulate fikra zetu nakututawala kirahisi, kwa lugha nyingine utawala huu ndiyo serikali ya kimabavu inayoongoza ulimwengu huu nakuanguka kwake ndiyo kujikomboa kwa human races duniani.
Mpaka unaongozwa na Lucifer
 
Next time nkipata muda nitaelea jinsi gan awa secrets societies wanatumia media kufikisha ujumbe kupitia Hollywood movies such as avengers, super man, Spider-Man, wonder women, Avatar, life of jesus, Jesus of Nazaren ya 1977, the passion of the chrst ya 2004, the choosen ya 2017, na pia nitaeleza njia wanazotumia kuaminisha watu uwepo wa fake christ kupitia movies kama hizo nilizotaja za Jesus's life, pia fake pastors, apostles, bishops, teachers, coming of aliens and fake demon miracles such as presents of heaven&hell, la mwisho ni fake coming of jesus through the displayed image of white guy in the sky by super technology called blue beam projection.

Haya yote yanafanyika kuwadanganya wanadamu kuhusu uwepo wa hawa viumbe wao ambao ni wahusika ktk vitabu vya uongo mnavyoviita quran&bible, mujue kuwa ipo siku wale waliotabiiwa kuja, nikweli watakuja, na watakuja kwa njia ambazo hamtategemea maana mtakuwa mmeshawaamn waongo ambao watakuja kwa njia za uongo ambazo mnatabiliwa na wachungji zenu makanisan na misikitini haya yoote yatatokea chini ya utawala wa technolojia ya hali ya juu sana ambayo ipo tangu sasa
Mkuu, kuna kitu nitakupinga kuhusu dini ya Kiislamu.

Katika Uislam kuna elimu inaitwa Tazkiya au Zuhud ina majina mengi. Lakini sharti ya hii elimu udumu na sheria (waislam hapa watakuwa wamenielewa). Kwa sababu hili somo ukidili na elimu ya sheria (fiqh) pasipo na somo la tazkiya basi huyo mtu atakuwa ni fasiq! Na akidili peke yake na somo la tazkiya pasipo na sheria (fiqh) huyo mtu atakuwa ni mzandiki. Na atakaye jumuisha hivyo vyote viwili huyo mtu atakuwa kwenye hakki.

Elimu ya tazkiya roho nayo ifanye ibada. Elimu ya sheria ni elimu ya nje, yaani ya kiwiliwili. Swala ni kiwiliwili kinashughulika lakini roho inaweza pakubwa isishugulike, yaani mtu anaswali huku anawaza biashara zake na mambo mengine. Swaum, kuhiji, na mengineyo. Hayo mtu anaweza asiathirike nayo kabisa! Na ndiyo maana mtu anaweza kuyatimiliza hayo na bado akawa na roho mbaya, ukatili, dharau, kiburi, n.k. Ijapokuwa huyo mtu ana elimu ya sheria ila kakosa elimu ya tazkiya hivyo huyo mtu anakuwa ni fasiq.

Ikiwa mtu atadumu kihaki na elimu ya sheria na tazkiya kwa maana mwili na roho inatakasika. Tazkiya hii elimu kwa jina jengine inaitwa tarbiya yaani malezi. Kwa tafsiri nyengine unaikandamiza nafsi, kwa sababu nafsi yako usipoishughulisha kwenye haki basi itakushigulisha yenyewe kwenye maasi. Hivyo nafsi inabidi uikandamize. Yaani matamanio yasikuendeshe kwa maana utende chochote kama Mungu anavyopenda. Ukifanya hivi unakuwa katika hali ya zuhd, yaani unaipa nyongo/nyongo dunia. Yale yoyote yanayowaendesha watu katika hii dunia wewe unayapa mgongo na hata nafsi yako ikitamani bado unaishinda na kutokuwa mtumwa wa matmanio bali unakuwa mtumwa wa Mungu kwa maana unafanya yale yanayompendeza Mungu. Ukiwa hivi unakuwa kwenye tazkiya yaani unajitakasa. Na silaha kubwa ya Tazkiya ni kudumu kwenye adhkar/dhikr (kumtaja Mungu), kumswalia Mtume na kuleta istighfar(kumuomba Mungu msamaha) na kuihugulisha nafsi yako kufanya mema pasipo mpaka ya dini,rangi wala kabila au mipaka ya kijiografia, au kwa viumbe vengine kwa sababu viumbe vyote ni vya Mungu nawe unampenda Mungu unakuwa na heshima na viumbe vyake.

Kufupisha haya nini lengo langu. Lengo la tazkiya ni kufika kwa Mungu salama na wala si kuweka matarajio ya kuwa rafiki wa Mungu. Ukifanya haya kuna ada/kanuni za ukawaida wa ubinadamu zinavunjika kwako kwa mapenzi yake Mungu. Unakuwa na uwezo wa kusikia mpaka anayowaza mtu, anaona ambayo wengine hawayaoni, unakuwa na uwezo wa kuzungumza na wadudu, mimea na wanyama. Unazungumza na hivi elimu yetu inasema havipo hai.

Siri za viumbe vyake Mungu anakupatia, demons unawaona na hawatoweza kukudhuru bali wao ndiyo watakaodhurika na wewe. Mambo mengi ya ajabu utayaona na mengine hutoweza kuyaamini. Na ikiwa mwanafunzi wa walimu wa kidini wa namna hii popote pale ulipo anakuona na anajua unawaza nini na unataka kufanya nini! Hii elimu ina mambo ambayo binadamu mwenzako ukimwambia mwenzako anaweza asikuamini.

Na ukidumu na hii Lucifer mwenyewe unamuona na akugwaya! Kwa ufupi Uislam ni mpana! Unapinga hayo wanayoyafanya! Na wanayoyafanya umeyazungumzia na kuwataja hao watu na kukizungumzia hicho kizazi A-Z na kuonesha nguvu yao inatokana na nini! Na imetuelezea hulka zao ni nini na imetuelezea ni watu ambao ni waharibifu......

Muda mchache, mambo mengi..

Naishia hapa kwa Leo!
 
Back
Top Bottom