olele
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 1,303
- 1,559
jamaa mmoja alikuwa anataka kuwa Lion Tamer (mchezo fulani wa kucheza na simba kwenye maonyeso)
rafiki yake akamuuliza,
basi ilikuwa hivi
rafiki: je simba akiangusha ile stuli ndefu wanayopanda utafanyaje?
jamaa: si nitadandia kamba
rafiki: na kamba ikikatika
jamaa: nitamchapa na mjeledi
rafiki: na aking'ata huo mjeledi
jamaa: nitampiga na ile fimbo ndefu
rafiki: na akiing'ata hiyo fimbo ndefu
jamaa: nitachukua ile bastola na kumpga risasi
rafiki: na kama risasi ikimkosa
jamaa: nitachukua mavi na kumpiga nayo usoni
rafiki: na kama kutakuwa hakuna hayo mavi je?
jamaa: sasa kama simba ameangusha stuli, kamba ikakatika, akang'ata mjeledi, akang'ata fimbo, na risasi imemkosa
we unafikiri kutakosekana mavi kwenye suruali yangu kweli!
rafiki yake akamuuliza,
basi ilikuwa hivi
rafiki: je simba akiangusha ile stuli ndefu wanayopanda utafanyaje?
jamaa: si nitadandia kamba
rafiki: na kamba ikikatika
jamaa: nitamchapa na mjeledi
rafiki: na aking'ata huo mjeledi
jamaa: nitampiga na ile fimbo ndefu
rafiki: na akiing'ata hiyo fimbo ndefu
jamaa: nitachukua ile bastola na kumpga risasi
rafiki: na kama risasi ikimkosa
jamaa: nitachukua mavi na kumpiga nayo usoni
rafiki: na kama kutakuwa hakuna hayo mavi je?
jamaa: sasa kama simba ameangusha stuli, kamba ikakatika, akang'ata mjeledi, akang'ata fimbo, na risasi imemkosa
we unafikiri kutakosekana mavi kwenye suruali yangu kweli!