Japokuwa leo ni siku ya pili,
But sijachelewa story ndio inaanza ,
Nimewahi siti za katikati kisha nakunja nne naifuta miwani yangu na kuiweka vyema,
Naanza kutoa like kwanza kama apreciation,
Mwisho naanza kuperuzi taratibu huku nikiwa nashushia juisi ya ukwaju.