Asaalam, karibu katika mahojiano ya moja kwa moja hapa JF. Mhojiwa leo ni mshana jr mimi mwanzisha uzi ndiye Host.
Labda niseme tu leo mshana jr atahojiwa kila kitu, hasa kipaji chake alichojaliwa na bila kupepesa macho majibu atakayotoa angalau Yatatufungua macho tujue ulozi, uganga, uchawi umekaa vipi.
Naomba mshiriki kwa kusoma tu. Narudi tena kwa kusoma tu hadi pale muda wa kuuliza maswali utakaporuhusiwa. Karibuni.
Mimi ningependa kujua kama kweli hii sehemu inaitwa gamboshi ipo au ni story tu za kutengeneza? na kipi ni cheo kikubwa zaidi katika uchawi? ni qualification zipi anatakiwa kua nazo mkuu wa wachawi?
Mimi ningependa kujua kama kweli hii sehemu inaitwa gamboshi ipo au ni story tu za kutengeneza? na kipi ni cheo kikubwa zaidi katika uchawi? ni qualification zipi anatakiwa kua nazo mkuu wa wachawi?
Gamboshi ipo ni kijiji cha kawaida machoni pa wengi ila kwenye dunia ya giza ni habari nyingine
Vyeo vya wachawi vipo kutegemeana na makafara lakini kuna ranks zinazotambulishwa na bangili ya shaba mkononi