The Interview: mshana Jr.

Daby

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
34,961
Reaction score
80,193
Asaalam, karibu katika mahojiano ya moja kwa moja hapa JF. Mhojiwa leo ni mshana jr mimi mwanzisha uzi ndiye Host.

Labda niseme tu leo mshana jr atahojiwa kila kitu, hasa kipaji chake alichojaliwa na bila kupepesa macho majibu atakayotoa angalau Yatatufungua macho tujue ulozi, uganga, uchawi umekaa vipi.

Naomba mshiriki kwa kusoma tu. Narudi tena kwa kusoma tu hadi pale muda wa kuuliza maswali utakaporuhusiwa. Karibuni.
 
Mimi ningependa kujua kama kweli hii sehemu inaitwa gamboshi ipo au ni story tu za kutengeneza? na kipi ni cheo kikubwa zaidi katika uchawi? ni qualification zipi anatakiwa kua nazo mkuu wa wachawi?
Gamboshi ipo ni kijiji cha kawaida machoni pa wengi ila kwenye dunia ya giza ni habari nyingine
Vyeo vya wachawi vipo kutegemeana na makafara lakini kuna ranks zinazotambulishwa na bangili ya shaba mkononi
 
Mshana jr karibu kaka ulipotea nikaamua niupotezee uzi maana watu kwanza waliuharibu ila kwasababu tulishapanga kufanya basi hatuna budi. Karibu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…