Ipo hivi.
Kila mtu ana preferences na priorities zake in life.
Kuna vitu ambavyo mtu fulani huona ni vya muhimu lakini visiwe vya muhimu kwa wengine.
Since tupo MMU,
Kwangu mimi an ideal woman, encompasses a number of traits.
Disclaimer
This has nothing to do with love connect, sio tangazo.
Halafu wale wenye povu, hii sio serious thread. Nitashangaa nikiona mtu anatoa povu.
1. Smart: asiwe kiazi. A good brain, sio lazima awe masters au PHD holder lakini awe anaweza kuprioritize vitu vya muhimu katika maisha na kuinvest effort huko. Sio wale wa kupenda show off, kupenda maisha ya kuiga . Ajue anachokisimamia na kwa nini anakisimamia.
2. Spiritually strong. Awe anamjua Mungu wake anayemuamini na anamtumikia kweli kweli sio maigizo na wala sio kupumbazwa vile vile.
3. Preferrably a virgin
4. Awe ana uwezo wa kusimama mwenyewe. Sitaki wale wa "Bila wewe siwezi ishi". Get a grip woman! Have a life have hobbies, interests, have dreams for yourself and pursue them. Sio kila muda wewe ni kuniganda mimi tu. Inafika chooni twende wote, ukienda sokoni kununua vitunguu twende wote sio issue. (Hii nna experience nayo)
5. Mimi sipendi outing kabisa. Siendi bar, wala sehemu za starehe. Mpira naangalia kwenye flat screen yangu.
Starehe yangu ni movies, books and documentaries na nikitoka nje ni kupiga tizi au church au mishe za hapa na pale kuleta pesa. Sio lazima awe kama mimi lakini arespect hiyo na asijaribu kunibadilisha maana ataangukia pua.
6. Kudeka ni okay ila deka kwa kiasi. Kuwa straight forward. Itakuokoa muda na energy. Say what you mean and mean what you say.
7. Ajue nafasi ya mume katika nyumba na aiheshimu. Likewise ajue nafasi ya mke na mama katika nyumba na aiheshimu akiact accordingly
8. Awe mkweli. Sipendi uongo aisee. Niambie ukweli hata kama unauma ila don't comfort me with a lie
9. Awe msiri na mwenye kujua kuchagua kipi cha kuongea na nani, wakati upi.
10. Awe mwenye kuridhika
How about you?
Ladies pia mnaweza mkaitwist na kuzungumzia upande wenu
Uzi tayari.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kila mtu ana preferences na priorities zake in life.
Kuna vitu ambavyo mtu fulani huona ni vya muhimu lakini visiwe vya muhimu kwa wengine.
Since tupo MMU,
Kwangu mimi an ideal woman, encompasses a number of traits.
Disclaimer
This has nothing to do with love connect, sio tangazo.
Halafu wale wenye povu, hii sio serious thread. Nitashangaa nikiona mtu anatoa povu.
1. Smart: asiwe kiazi. A good brain, sio lazima awe masters au PHD holder lakini awe anaweza kuprioritize vitu vya muhimu katika maisha na kuinvest effort huko. Sio wale wa kupenda show off, kupenda maisha ya kuiga . Ajue anachokisimamia na kwa nini anakisimamia.
2. Spiritually strong. Awe anamjua Mungu wake anayemuamini na anamtumikia kweli kweli sio maigizo na wala sio kupumbazwa vile vile.
3. Preferrably a virgin
4. Awe ana uwezo wa kusimama mwenyewe. Sitaki wale wa "Bila wewe siwezi ishi". Get a grip woman! Have a life have hobbies, interests, have dreams for yourself and pursue them. Sio kila muda wewe ni kuniganda mimi tu. Inafika chooni twende wote, ukienda sokoni kununua vitunguu twende wote sio issue. (Hii nna experience nayo)
5. Mimi sipendi outing kabisa. Siendi bar, wala sehemu za starehe. Mpira naangalia kwenye flat screen yangu.
Starehe yangu ni movies, books and documentaries na nikitoka nje ni kupiga tizi au church au mishe za hapa na pale kuleta pesa. Sio lazima awe kama mimi lakini arespect hiyo na asijaribu kunibadilisha maana ataangukia pua.
6. Kudeka ni okay ila deka kwa kiasi. Kuwa straight forward. Itakuokoa muda na energy. Say what you mean and mean what you say.
7. Ajue nafasi ya mume katika nyumba na aiheshimu. Likewise ajue nafasi ya mke na mama katika nyumba na aiheshimu akiact accordingly
8. Awe mkweli. Sipendi uongo aisee. Niambie ukweli hata kama unauma ila don't comfort me with a lie
9. Awe msiri na mwenye kujua kuchagua kipi cha kuongea na nani, wakati upi.
10. Awe mwenye kuridhika
How about you?
Ladies pia mnaweza mkaitwist na kuzungumzia upande wenu
Uzi tayari.
Karibuni.
Sent using Jamii Forums mobile app