bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,862
Bongo movies, most of them are complete shambles!
Anyways ni gud ajira lakini kwao...
wanaganga njaaaa
kibongobongo hivo hivo............
Bongo movies, most of them are complete shambles!
Anyways ni gud ajira lakini kwao...
boss sijawahi na wala sijui nani na kwa njia gani atanishawishi kupoteza (achilia mbali kununua au ku-pirate) muda wangu kutazama upuuzi huu wa akina Kanumba and company...
simply there is nothing to watch.....wandesa mpaka title bana agrrrrrrrrrrrrr!!
nipo bosssikujua kuwa bado upo.
i miss u,
na nini tena??sijui niku overdose hapa hapa
au nije kule ,,,,,,,
na nini tena??
kwinini au sp??
ha ha haa
weweee sp tena,,,,
haya...
naona lile tangazo la haki elimu limepata mwenyewe...
kumbe nini kama si sp boss??? sema basi
ni lipi hilo maan ayapo mengi ya haki elimu
hahaaaaaaaa mayo weeeeeeeeeekwani last time kule pm nilikuwa
naku overdose na nini?
umesahau ukatka kushindwa kula?
hahaaaaaaaa mayo weeeeeeeeee
nimekumbuka duh!!!!
leo si ijumaaaaa???
dozi inafaa sana leo
we hapa utaharibu thread ya mwenyewe kanumba aaenze kulalamahapa hapa?
naona bora nije kuleee.
we hapa utaharibu thread ya mwenyewe kanumba aaenze kulalama
ok,naona we unaogopa kuzidiwa hapa hapa na dose.lol
ha ha ha.
hapo sasa nikianguka watasema nina pepo
ukianguka nakudaka
au tuna anguka wote....
Mhhhhhhhhhh!!!!
ha ha ha ha,teh,teh ni muda huu huu nimetaka kumstua kwamba ntakutonya uje fumania naona umenusa,ndege alikua anaenda kwenye tundu la boss.Mhhhhhhhhhh!!!!
ha ha ha ha,teh,teh ni muda huu huu nimetaka kumstua kwamba ntakutonya uje fumania naona umenusa,ndege alikua anaenda kwenye tundu la boss.