Hata Yanga Mkifanya Mchezo, kesho mnapasuka, no joke

Megalodon

JF-Expert Member
Apr 9, 2021
2,259
4,125
Mimi ni muumini wa Investment kwenye Soka, ninaimba sana hapa JF, siamini katika uchawi na maisha sio rahisi hivyo.

Siamini porojo za media zinazofanywa na SSC na Yanga.

Naamini katika pure investment kwenye watu wenye uwezo. There is no way Yanga anaweza kumtoa Mamelodi hata kama Kesho atashinda goli 1. Chances ni ndogo but it can be done.

Hivyo hivyo kwa SSC hata kama angeshinda, there is no way atamtoa Ahly.

hajawahi kufanya hivyo na sio mara ya kwanza kuchezea nae hatua hii, sisi watu wa probability tunasema Common things happen commonly , asimilimia 97 , Simba atatolewa kama kawaida.

The knocking stage huwa inaamuliwa na uwezo binafsi wa wachezaji.

Angalau Yanga ameshaona a glimpse, Yanga anaweza kuja kuwa timu ya ushindani in the near future barani Aftica kwa sababu huwa wanatulia sana kwenye sajili na wnaatumia hela.

Unlike SSC, haina cha kujifunza na mwendo ni uleule wa kufa kiume.

Yanga ndio robo yake ya kwanza tangu 98, hata akitoka naamini watakuwa wamejifunza kitu, tofauti SSC .

Siwezi kuijadili SSC wala kuipa ushauri, ni timu inayoongozwa na mbumbumbu na wapo kwenye comforts zone yao na pia hawana accountability structure kwa viongozi.

mashabiki wa mbumbumbu mkipiga snaa kelele, atafukuzwa kocha, au baadhi ya wachezaji watatolewa kafara kama kina baleke na phiri, mtaletewa uharo, ataitwa Ahmed Chizi awafanyie promo….. imeisha.

But the real problem halipo hapo, the real problem ni management ya SSC and these people need to get out.

Nasema na nyinyi Yanga, ili muweze kuamua mechi kama hizi za knocking out , ni lazima muwe na wachezaji angalau 3 wenye uwezo binafsi na hapo pesa inawatoka sio wale ambao wamekosa timu wapo wapo kama wanavofanya mambumbumbu.

Ninaamini uwezo wa Said , kama Rais wa Yanga, he is always a good learner.

Naambiwa Ahmed Chizi kaja na mpya, kwamba ataenda kufanya maajabu Cairo , huyu jamaa alisoma Hadi level gani?
 
Mimi ni muumini wa Investment kwenye Soka, ninaimba sana hapa JF, siamini katika uchawi na maisha sio rahisi hivyo.

Siamini porojo za media zinazofanywa na SSC na Yanga.

Naamini katika pure investment kwenye watu wenye uwezo. There is no way Yanga anaweza kumtoa Mamelodi hata kama Kesho atashinda goli 1. Chances ni ndogo but it can be done.

Hivyo hivyo kwa SSC hata kama angeshinda, there is no way atamtoa Ahly.

hajawahi kufanya hivyo na sio mara ya kwanza kuchezea nae hatua hii, sisi watu wa probability tunasema Common things happen commonly , asimilimia 97 , Simba atatolewa kama kawaida.

The knocking stage huwa inaamuliwa na uwezo binafsi wa wachezaji.

Angalau Yanga ameshaona a glimpse, Yanga anaweza kuja kuwa timu ya ushindani in the near future barani Aftica kwa sababu huwa wanatulia sana kwenye sajili na wnaatumia hela.

Unlike SSC, haina cha kujifunza na mwendo ni uleule wa kufa kiume.

Yanga ndio robo yake ya kwanza tangu 98, hata akitoka naamini watakuwa wamejifunza kitu, tofauti SSC .

Siwezi kuijadili SSC wala kuipa ushauri, ni timu inayoongozwa na mbumbumbu na wapo kwenye comforts zone yao na pia hawana accountability structure kwa viongozi.

mashabiki wa mbumbumbu mkipiga snaa kelele, atafukuzwa kocha, au baadhi ya wachezaji watatolewa kafara kama kina baleke na phiri, mtaletewa uharo, ataitwa Ahmed Chizi awafanyie promo….. imeisha.

But the real problem halipo hapo, the real problem ni management ya SSC and these people need to get out.

Nasema na nyinyi Yanga, ili muweze kuamua mechi kama hizi za knocking out , ni lazima muwe na wachezaji angalau 3 wenye uwezo binafsi na hapo pesa inawatoka sio wale ambao wamekosa timu wapo wapo kama wanavofanya mambumbumbu.

Ninaamini uwezo wa Said , kama Rais wa Yanga, he is always a good learner.

Naambiwa Ahmed Chizi kaja na mpya, kwamba ataenda kufanya maajabu Cairo , huyu jamaa alisoma Hadi level gani?
Umejaza kashfa kwa Simba na dharau nyingi.

Uchambuzi wa mpira haipo hivi.
 
Simba jana wachezaji wa viungo wamecheza vizuri bhana tatizo ni Inonga na washambuliaji sikutehemea yule Sarr kucheza ule mpira sasa watu wanakosa kosa magoli wao mlitaka beki ndio apande akabutue yule Kapombe atafute Timu ya kustaafia jamaa walikua wanapita kwake kama wametengeneza Uchochoro hivi Kanoute ni mtu ila mpira ndio hivyo una matokeo tofauti kabisa kwa maana Al jana walikua Unga bhana hakuna mpira walicheza hao wakina Percy Tau ndio hamna kitu kabisaa na huyo Kahraba wake...
 
Mimi ni muumini wa Investment kwenye Soka, ninaimba sana hapa JF, siamini katika uchawi na maisha sio rahisi hivyo.

Siamini porojo za media zinazofanywa na SSC na Yanga.

Naamini katika pure investment kwenye watu wenye uwezo. There is no way Yanga anaweza kumtoa Mamelodi hata kama Kesho atashinda goli 1. Chances ni ndogo but it can be done.

Hivyo hivyo kwa SSC hata kama angeshinda, there is no way atamtoa Ahly.

hajawahi kufanya hivyo na sio mara ya kwanza kuchezea nae hatua hii, sisi watu wa probability tunasema Common things happen commonly , asimilimia 97 , Simba atatolewa kama kawaida.

The knocking stage huwa inaamuliwa na uwezo binafsi wa wachezaji.

Angalau Yanga ameshaona a glimpse, Yanga anaweza kuja kuwa timu ya ushindani in the near future barani Aftica kwa sababu huwa wanatulia sana kwenye sajili na wnaatumia hela.

Unlike SSC, haina cha kujifunza na mwendo ni uleule wa kufa kiume.

Yanga ndio robo yake ya kwanza tangu 98, hata akitoka naamini watakuwa wamejifunza kitu, tofauti SSC .

Siwezi kuijadili SSC wala kuipa ushauri, ni timu inayoongozwa na mbumbumbu na wapo kwenye comforts zone yao na pia hawana accountability structure kwa viongozi.

mashabiki wa mbumbumbu mkipiga snaa kelele, atafukuzwa kocha, au baadhi ya wachezaji watatolewa kafara kama kina baleke na phiri, mtaletewa uharo, ataitwa Ahmed Chizi awafanyie promo….. imeisha.

But the real problem halipo hapo, the real problem ni management ya SSC and these people need to get out.

Nasema na nyinyi Yanga, ili muweze kuamua mechi kama hizi za knocking out , ni lazima muwe na wachezaji angalau 3 wenye uwezo binafsi na hapo pesa inawatoka sio wale ambao wamekosa timu wapo wapo kama wanavofanya mambumbumbu.

Ninaamini uwezo wa Said , kama Rais wa Yanga, he is always a good learner.

Naambiwa Ahmed Chizi kaja na mpya, kwamba ataenda kufanya maajabu Cairo , huyu jamaa alisoma Hadi level gani?
Ulianza vizuri, ila mwisho wa siku umepuyanga sana, baada ya kuonekana ni mshabiki wa UTOPWINYO.
 
Simba jana wachezaji wa viungo wamecheza vizuri bhana tatizo ni Inonga na washambuliaji sikutehemea yule Sarr kucheza ule mpira sasa watu wanakosa kosa magoli wao mlitaka beki ndio apande akabutue yule Kapombe atafute Timu ya kustaafia jamaa walikua wanapita kwake kama wametengeneza Uchochoro hivi Kanoute ni mtu ila mpira ndio hivyo una matokeo tofauti kabisa kwa maana Al jana walikua Unga bhana hakuna mpira walicheza hao wakina Percy Tau ndio hamna kitu kabisaa na huyo Kahraba wake...

Haya ndio Maneno yenu na mtakuja tena hapa tumekufa kiume. Mpira mkubwa hauhitaji kucheza vyema, mpira mkubwa unahitaji matokeo full stop .

Goli mmefungwa dakika ya 5 , daki tisini nzima mmeshindwa kurudisha hata goli moja?

Kufungwa ni kawaida ni sehemu ya mpira but did you come back ? Mnaruka ruka tu na forward butu isiyokuwa strategically , 7 chances no goal , how do you say mna mshambuliaji?

shida mnaokota wachezaji wanaokuja kujifunzia mechi kubwa kwenu, mnatakiwa kuchukua wachezaji wenye uwezo na experience kwa match za CAF, vunjeni mikataba wachezaji wa maana wapo wengi Africa .

Niliwahi kuwaambia you can’t solve problems kwa kutumia the same level of people . SSC robo fainal kwenu sio tatizo tena , ni robo fainal ya 6 consecutively , na hakuna hata moja hata kwa bahati mbaya mliwahi kuvuka hapo; tuna conclude nini ?

Mnahitaji wachezaji sasa hata watatu wenye uwezo wa kuwavusha hapo. Level ya wachezaji mnao nunua sio tatizo tena kwao kufika robo fainal . Tatizo ni kutoka robo kwenda Mbele , shida ipo hapo.

Sasa watafutwe wengine hata 3 , mshambuliaji ambaye katika chance 3 anapata mbili, tunaita accuracy , kiungo wa maana na beki ya maana ili waweze kusaidiana na hao waliokiwepo.

Tatizo ikiingia sokoni inakuja na wachezaji level ile ile. That means haijifunzi.

Muda mwingi unapotezwa kwenye social media. Mpira ni investment.Na kwa kuwa viongozi ni mbumbumbu, hamjui ni kiasi gani cha fedha mnapoteza kwa kushindwa kufika nusu fainal .

Timu kubwa zimekuwa financial stable kwa sababu mara kwa mara zinafika hadi fainal , mpunga wanapata mkubwa.

Ila SSC nawaambia, msiwe na shaka, huu mwiko wa kuishia robo fainal klabu bingwa UTAKUJA KUBIKIRIWA na Yanga. Mimi ni Shabiki wa SSC, lakini nina iman sna na consistency ya Yanga na itakuwa ni timu ya ushindani Africa
 
Simba jana wachezaji wa viungo wamecheza vizuri bhana tatizo ni Inonga na washambuliaji sikutehemea yule Sarr kucheza ule mpira sasa watu wanakosa kosa magoli wao mlitaka beki ndio apande akabutue yule Kapombe atafute Timu ya kustaafia jamaa walikua wanapita kwake kama wametengeneza Uchochoro hivi Kanoute ni mtu ila mpira ndio hivyo una matokeo tofauti kabisa kwa maana Al jana walikua Unga bhana hakuna mpira walicheza hao wakina Percy Tau ndio hamna kitu kabisaa na huyo Kahraba wake...
Al ahly walicheza kama hawakucheza
Na wakicheza sijui itakuwaje
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom