The Engineers tafadhali msaada wa haraka

Kama unakiwanja anza kujenga, hiyo pesa itakapoishia utapumzika uvute nguvu kidogo uanze tena. Lakini ukitaka ushauri wa watu wengi mwishowe watakukatisha tamaa, watakupigia mahesabu ya juu mpaka hiyo pesa utaitumia, uchungu wa kujenga utauhisi unapoanza, na raha yake ni pale inapokua imenyanyuka kidogo, hata pesa ikiisha utafanya juu chini ili umalizie. Kila la kheri mkuu nijambo jema sana umeamua.
 
Kama unakiwanja anza kujenga, hiyo pesa itakapoishia utapumzika uvute nguvu kidogo uanze tena. Lakini ukitaka ushauri wa watu wengi mwishowe watakukatisha tamaa, watakupigia mahesabu ya juu mpaka hiyo pesa utaitumia, uchungu wa kujenga utauhisi unapoanza, na raha yake ni pale inapokua imenyanyuka kidogo, hata pesa ikiisha utafanya juu chini ili umalizie. Kila la kheri mkuu nijambo jema sana umeamua.[/QU thankx all of you
 
acha kumpotosha mwenzako wewe,,, ni dhambi ya mauti

Mkuu Architect I kno its ur pro lkn kwa sis waswazi kum-hire akitect ni ngumu labda mafisadi,mkuu tembelea morogoro/mbeya uone m2 anajenga nyumba nzuri kwa mil 3.5 Kiwanja sehemu nzuri iliyochangamka unaweza ukapata kwa laki 2,simpotoshi hata kidogo:::Hyo mil 5 akinipa niisimamie namuingizia hadi umeme,yeye ni kuamia tu.Me mwenyewe najenga so I kno everythin kibongo bongo
 
Wewe unaonekna upo morogoro au mbeya:::

5mil inatosha na chenji inabaki..Tofali za kuchoma moja sh 50/= na chumba kimoja kinachukua matofali 2000,kwahyo vyumba vi3 blocks 6000;::Ukijumlisha matofali 4000 kwa ajili ya sebule na store/kitchen

1.Matofali=500000/=
2.Ufundi hadi juu 400000/=
3.Andaa bati 30:;;450000/=
4.Nondo 10(12mm,10mm);;;170000/=
5.Mifuko ya cement 25:::350000
6.Mchanga Loli 5::::300000

Mpaka hapo ushatumia Apprx:;;2.1mil hiyo chenji utanunulia mbao na Gypsum wiring na kuvutia umeme na chenji inabaki kama upo moro au mbeya ni PM

Aseee......
 
Mkuu Architect I kno its ur pro lkn kwa sis waswazi kum-hire akitect ni ngumu labda mafisadi,mkuu tembelea morogoro/mbeya uone m2 anajenga nyumba nzuri kwa mil 3.5 Kiwanja sehemu nzuri iliyochangamka unaweza ukapata kwa laki 2,simpotoshi hata kidogo:::Hyo mil 5 akinipa niisimamie namuingizia hadi umeme,yeye ni kuamia tu.Me mwenyewe najenga so I kno everythin kibongo bongo

Huwezi kuwa siriaz mkuu....5m? Hadi umeme????
Ufundi wote 400k???
Matofali 5000???
Sementi mifuko 25???
Labda usaidiane na kina mwingira waweke na miujiza yao.....
 
Wewe unaonekna upo morogoro au mbeya:::


5mil inatosha na chenji inabaki..Tofali za kuchoma moja sh 50/= na chumba kimoja kinachukua matofali 2000,kwahyo vyumba vi3 blocks 6000;::Ukijumlisha matofali 4000 kwa ajili ya sebule na store/kitchen

1.Matofali=500000/=
2.Ufundi hadi juu 400000/=
3.Andaa bati 30:;;450000/=
4.Nondo 10(12mm,10mm);;;170000/=
5.Mifuko ya cement 25:::350000
6.Mchanga Loli 5::::300000

Mpaka hapo ushatumia Apprx:;;2.1mil hiyo chenji utanunulia mbao na Gypsum wiring na kuvutia umeme na chenji inabaki kama upo moro au mbeya ni PM
Kwa mtindo huu na mahesabu haya, kila mtu lazima atajenga wallah!
 
Mkuu Architect I kno its ur pro lkn kwa sis waswazi kum-hire akitect ni ngumu labda mafisadi,mkuu tembelea morogoro/mbeya uone m2 anajenga nyumba nzuri kwa mil 3.5 Kiwanja sehemu nzuri iliyochangamka unaweza ukapata kwa laki 2,simpotoshi hata kidogo:::Hyo mil 5 akinipa niisimamie namuingizia hadi umeme,yeye ni kuamia tu.Me mwenyewe najenga so I kno everythin kibongo bongo


Mkuu,
Mtu anapoomba ushauri anahitaji msaada. Usimpotoshe. Its better you tell him/her the truth halafu aamue. Wewe unamdanganya mwenzio. Na ki ukweli ni bora ungekaa kimya. I'm an Engineer who have been ni this industry for more than six yrs. Nakubaliana kabisa na Architect. Hiyo hela ni ndogo sana kwa aina ya nyumba anaxotaka. Hata msingi sidhani kama utamalizika. Bei ya tofali, cement, mchanga, kokoto, ufundi for 3bedroom self containing housi, nakuhakikishia hata msingi haumaliziki!
 
Habar zenyu wana jf nakuombeni msaada wa haraka tafadhalini! Ninataka kuanza ujenzi wa nyumba ya kawaida self ya room 3 nina shilingi mil.5 tofali nitatumia za kuchoma! Nawasilisha

5 M hardly unaweza kuishia kwenye Msingi tu
 
Kama unakiwanja anza kujenga, hiyo pesa itakapoishia utapumzika uvute nguvu kidogo uanze tena. Lakini ukitaka ushauri wa watu wengi mwishowe watakukatisha tamaa, watakupigia mahesabu ya juu mpaka hiyo pesa utaitumia, uchungu wa kujenga utauhisi unapoanza, na raha yake ni pale inapokua imenyanyuka kidogo, hata pesa ikiisha utafanya juu chini ili umalizie. Kila la kheri mkuu nijambo jema sana umeamua.

in red, nina jamaa yangu huwa ananiambiaga huwezi kufikiria kujenga wakati huna kiwanja...
nakuunga mkono umeweka ushauri mzuri, kibongo bongo ni wachache mno wanaoanza ujenzi na kumaliza bila kusimama...
wengi wetu tunakwenda kwa hatua, hivyo basi ukiwa na kiwanja inakuwa rahisi kwako kujenga koz kila pesa utakayoingiza utakuwa unafikiria ufanye nini kwenye kiwanja chako!
mkuu naomba ufanyie kazi wazo lako, anza ujenzi taratibu utafanikiwa...
 
million 5 seriously kwa residential ya 3 bedrooms, na other facilities like sitting, dining, kitchen,store, baraza, n things like those, 4 sure hata msingi humalizi,, gharama za ujenzi zimepanda sana,,,, unless unaongelea room tatu as rooms kabisa bila chochote cha ziada, mayb 5 million itakupeleka kwenye ringbeam.,, but 4 sure bro, mimi ni mtaalamu wa ujenzi, nakushauri professionally, i have a lot of experience kwenye ujenzi,,, 5 million ni kidogo sana

mkuu nakubaliana na wewe hapo kwenye red...
lakini kwa pesa hiyo, kama ana kiwanja anaweza kufanya kitu ambacho atakapoishia atakuja kuendeleza atakaposhika pesa nyingine...
kwa gharama za ujenzi jinsi zilivyo ukianza kuzipigia hesabu huwezi jenga, koz kukamata l/s ya kukamilisha ujenzi wengi wetu ni ishu...
hivyo tumshauri aanze, hata akiishia kwenye msingi atakuja aendeleze ujenzi pindi atakaposhika pesa tena na mwisho wa siku atajikuta amemaliza ujenzi huo...(wangu mtazamo)
 
Simple calculation
450,000/- per square metre of building
3 bedroom house is approx. 120 sqm
thats give 54,000,000/
Including evrything unaingia tu
 
Habar zenyu wana jf nakuombeni msaada wa haraka tafadhalini! Ninataka kuanza ujenzi wa nyumba ya kawaida self ya room 3 nina shilingi mil.5 tofali nitatumia za kuchoma! Nawasilisha Nyumba nimejenga nimevuta umeme na ndani nilishaingia kwa kiasi ya sh milion 5na nusu!
 
Back
Top Bottom