ingekua Linux kuna Command za kuifanya iweze ku write, lakini windows Inakua User katumia third party application kuzuia ku write data. Kwahiyo the same user ndo kuwepa permission ya ku write using the same app.
Sent from my TA-1020 using JamiiForums mobile app
ulitumia Power ISO or?Mkuu hii ya kwangu wala sikutumia third party application yoyote kuzuia ku write data,imejiweka yenyewe tu siku hiyo nilikuwa na burn Windows iwe bootable Flash.
Nenda kweny computer Management> Disk Management; choose iyo flash drive delete t then create new volume
Sent from my TA-1020 using JamiiForums mobile app
Hiyo zinakuwaga ni zile Usb àu SD card feki zikishaingia hatua hiyo hakuna solutio zaidi ya kutupa au kuwapa watoto wachezee.Nashukuru Mkuu kwa Maelezo yako..nineyafuata lakin imeshindikana.
kuna App inaitwa Disk Genius, format kwa hyoo app. Ikigoma apo jaribu kwenye linux.Nashukuru Mkuu kwa Maelezo yako..nineyafuata lakin imeshindikana.
Njia hiyo hata ile ya CMD zinafanya poa kwa Usb/SD original tu but hizi zetu fekelo zikisha jiingiza kwenye write protected no way outNenda kweny computer Management> Disk Management; choose iyo flash drive delete t then create new volume
Sent from my TA-1020 using JamiiForums mobile app
Jibu litabaki lile lile.kuna App inaitwa Disk Genius, format kwa hyoo app. Ikigoma apo jaribu kwenye linux.
Sent from my TA-1020 using JamiiForums mobile app
kuna App inaitwa Disk Genius, format kwa hyoo app. Ikigoma apo jaribu kwenye linux.
Sent from my TA-1020 using JamiiForums mobile app
Njia hiyo hata ile ya CMD zinafanya poa kwa Usb/SD original tu but hizi zetu fekelo zikisha jiingiza kwenye write protected no way out
Tafuta cracked version then Rudia hapa kuleta mrejesho.Hizo App Mkuu nimejaribu kuzi download tatizo nikitumia nikifika kati kati inataka niilipie kwanza ndio niendelee.
Ndo hivyo........!!!!Unachokisema itakuwa kweli..hii yangu ni zile SUNDAR,nimajaribu hadi CMD imegoma nimeamua tu ninunue nyingine mpya.