Jamani kwanza nimefurahi kukutana na hii topic..mimi nina VISTA Aldeo engen D4 lakini kiukweli inanitesa sana maana inakula mafuta sanaa..yaani inanipa shida..nifanyaje jamani??
haya sasa mi nauza gari yangu RAV 4 mafundi wa ilala wanaita kilitime engine yake D4. KAMA VIPI ni PM. tutaelewana.
The two engine types are quite different however. While both have similar internals, the big difference is the way the fuel is injected into the engine.
With the VVTI engine, fuel is injected into the inlet manifold to mix with the air prior to entering the combustion chamber.
In the D4 engine, fuel is injected under very high pressure into the combustion chamber itself (direct injection). During the combustion process, air is compressed and at a very precise moment fuel is injected directly into the combustion chamber. The idea behind this concept is to allow the engine to run leaner producing less emissions and lower fuel consumption.
In theory the D4 engine is very good and is an advancement on the VVTI however, history has shown it does not take much to upset the engine performance and issues such as surging, rough idle and engine stutter are not unusual.
Unfortunately these problems are not that easily sorted out with little product knowledge on these engines available within the industry. This often leads to expensive, unnecessary and time consuming repairs.
VVTI stands for "Variable Valve Timing Induction". This engine type is a lot more conventional and improves performance by optimising valve timing. It is a proven system, effective and very trouble free.
The D4 can be recognised by a large plastic cover over the engine with embossed D4 lettering.
If I recall correctly, the VVTI engine has the lettering cast into the aluminium rocker cover on top of the engine.
nimetaka kununua gari ambalo ni fuel efficient, high performance, and very comfortable, then I came accorss vehicles with D4 VVTI! Nilipoingia Jua kali huko Mtaa wa Lindi hapa DSM kwa mafundi nikifanya utafiti duh! Chaka! Mafundi wetu wote walilalamikia engene hii na kusema ina matatizo. Ila nilijifunza jambo moja, sidhani kama kuna fundi anayerudi shuleni inapotokea technologia mpya ya magari. kwakuwa kwenye sources nyingine wameisifia sana hii engene. Muhimu inataka nidhamu ambayo kwa kawaida ni muhimu kwa mtu yeyote. Mda si mrefu akina mafundi wa mtaa wa Lindi watakuwa wamejua nini cha kung'oa na nini cha kuacha au kumodify kama kawaida yao.
I am just making an order next week for the vehicle with this particular engene. Na nimeshajua wapi wanafanya maintanance hizi, kwa wasomi. Ni gari zilizofungwa sensors ambazo hukujulisha hali ya vifaa vya gari kadri unavyotumia kukuhakikishia uslama, starehe na kudumu kwa gari lako.
Niliwahi kununua D4 licha ya kushauriwa nisinunue gari ya engine hiyo, niliipenda zaidi design yake. Yaliyonipata baadae yamenifanya nichukie gari zote.
ushauri; km una D4 na umeitumia angalau miaka 3 iingize sokoni mapema.
Duh! hapa inaonekana wengi wako chaka. Ina maana mkuu gari zote sasa hivi zitakuwa na d4 engine, maana gari yenye carburator niliyowahi kuishuhudia ni zile landrover 109. Kwa maana hiyo gari ambayo injini yake haijaandikwa vvti itakuwa ni fixed valve, ambazo wengi humu wanasema injni zake zinasumbua. Naomba unifafanulie pia kuhusu hizi aina za injini, kwani kuna wengine humu wamesema kuna injini ya 3S, aina zingine ni zipi. Nitashukuru sana.Japokuwa mtoa mada alikuwa na lengo la kuelimisha, inaonesha hajui mengi kuhusiana na technology za magari, sio source zote kwenye mitandao zinaaandikwa na wataalamu waliobobea , nyingine zinaandikwa na watu wa kawaida ambao wengine hawajui lolote au ni Just tech wanna be!!! tuwe waangalifu sana na sources za kulink la sivyo tunaweza jikuta tunafanya kazi ya kupotosha badala ya kuelimishana..
Heading yenyewe tu inapotosha !! "difference between toyota vvti and d4 engines" huwezi ukalinganisha mifumo miwili yenye kazi tofauti katika engine , ni kama unasema' chungwa la muheza si tamu kama embe la kibada', watu hawatakuelewa japokuwa yote ni matunda !!! If you want to compare then compare like to like systems. kwa ajili ya jukwaa nitaeleza to the best of my knowledge...
Vvti ,vvti-l dual valve ni mifumo ya valve kwenye cylinder head , inahususha jinsi hewa inavyoingia na kutoka kwenye combustion chamber, hapo zamani magari yalikuwa na valve moja ya inlet na moja kwa ajili ya exaust , ie 2valve per cylinder, kadiri engine zilivyowa zinaongezeka performance iliuja kuonekana hewa ilikukwa haiingii nyingi kwa mtindo wa vavle mbili ,idea behind ni kuongeza hewa ili uongeze mafuta then performance , ikawekwa valve nne kwa cylinder , nadhani mnayaona madari mengi tu yameandikwa 16 valve - 4 cylinder , 24 valve - 6cylinder.. e.tc.. ok hizi zote tunaziita fixed valve timming!, variable valve ni mfumo wa valve ambao una adjust air intake kadiri ya mizunguko ya engine .
D4 ni mfumo wa jinsi mafuta( petroli) yanavyoingia na kuungua kwenye cylinder ,hapo kabla kulikuwa na EFI , kabla yake kulikuwa na carburetor.. kwa kusema hivyo namaanisha kuwa unaweza kuwa na d4 ambayo ni Vvti , Vvti-L au fixed valve , na unawezakuwa na Efi ambayo nayo ni VVti ,Vvti-L au fixed valve
kama lengo la mtoa mada lilikuwa ni kufanya comparison ya d4 ilikuwa ni vema ku compare with the predecessors systems that is EFi au Carburetors, sio d4 na vvti, nadhani utaelewa jinsi ulivyochanganya mambo !!!!
nimetaka kununua gari ambalo ni fuel efficient, high performance, and very comfortable, then I came accorss vehicles with D4 VVTI! Nilipoingia Jua kali huko Mtaa wa Lindi hapa DSM kwa mafundi nikifanya utafiti duh! Chaka! Mafundi wetu wote walilalamikia engene hii na kusema ina matatizo. Ila nilijifunza jambo moja, sidhani kama kuna fundi anayerudi shuleni inapotokea technologia mpya ya magari. kwakuwa kwenye sources nyingine wameisifia sana hii engene. Muhimu inataka nidhamu ambayo kwa kawaida ni muhimu kwa mtu yeyote. Mda si mrefu akina mafundi wa mtaa wa Lindi watakuwa wamejua nini cha kung'oa na nini cha kuacha au kumodify kama kawaida yao.
I am just making an order next week for the vehicle with this particular engene. Na nimeshajua wapi wanafanya maintanance hizi, kwa wasomi. Ni gari zilizofungwa sensors ambazo hukujulisha hali ya vifaa vya gari kadri unavyotumia kukuhakikishia uslama, starehe na kudumu kwa gari lako.
Nauza gari yangu aina grand vitara v6.anayetaka tuwasiliane 0769881984,0783085858,0715075858 bei maelewano.
[FONT=宋体][/FONT]Vipi bwana Professor! Unaweza nisaidiafeedback ya gari lako? Nimenunua RAV4 ya hiyo engine D4 haina hata week, baadatu ya kubadilisha hydraulic oil ,engine oil na filter imeanza kuleta matatizo?plznaomba nijuze. Nashukuru
[FONT=宋体][/FONT]