The Death of Prof. Malima 1995

The Death of Prof. Malima 1995

Status
Not open for further replies.
Keep it up Mohamed Said, otherwise what else you can do!!??
Your daily bread depends on how much you induce religious hatred.

Fanya kazi ya kuchochea udini uliyotumwa ili mkono uende kinywani, ongeza bidii.
 
Mkuu kahtaan.

Ebu msome huyu jamaa hapa chini anadhani sisi wote tuna akili za nyumbu kama Bavicha.


Hapo kwenye bold ameandika kituko hivi kuna mtu yeyote anaweza kwenda nchi ya watu na kwenye benki za watu na ku-freeze account ya mtu, basi kama ndiyo hivyo Dr.W.Slaa asingekuwa analalamika kuwa kuna mafisadi wameficha pesa nje angemtuma Mbowe au Lema, kwenda ku-freeze hizo account za hao mafisadi.
Hahahaa, Ritz usitumie bastola kuua sisimizi hawa. Akili za
Kifuu wanazogaiwa na babu yao muuza gongo ndizo zinawafanya kwenda kufunga accnt ya mtu nje ni kama kwwenda kunywa viroba. Hawa jamaa wanahitaji shule japo wana vyeti
 
Last edited by a moderator:
Post kama hizi ndizo zinadhihirisha ni jinsi gani uchochezi wa MS unazaa matunda, huko aliko sasa hivi meno thelathini na nje yote mbili.
Teeeh teeh teeh teeh!
Mkuu gombesugu hawa wagalatia kama hujawazoea watakushangaza sana!
Yaani hizo biashara za sodomi ni family business!
Na kila wakizeeka ndio wanatamani zaidi kuingia ktk chama!
Duhh! Mi siku hizi natembea na ile disinfectant spray nikiona kuna sura ya mgala imekaa kisodomi tu! Nampulizia machoni!

Manake hawa wabaya kuliko wale mbu wa mararia!
Wamejaa najsi kila kona.
 
Usimsingizie Kikwete!

Ukweli ni kwamba alikufa kwa pressure baada ya kukuta account yake imekaushwa na mwanaye aliyemwamini na kumfanya signatory. Kipindi hicho mwanaye huyo alikuwa akisoma huko London na alikuwa na maisha ya anasa kupindukia ikiwa ni pamoja na kumiliki magari ya kifahari ambayo yalishangaza wengi wakati huo.

Yote ni rumours...kuna mnaosema hivyo..
Kuna wanaosema alishughulikiwa na system.
Kwanini ? Wanazo sababu wakizinga zina mshiko kuliko hizo za account.
Kwani wanajua kuwa Marehemu Malima alikuwa msafi.
Kwani aondolewe? Wakati ule Mkapa anapambana na Mrema na lobby ya kichaga ilikua kubwa kama ya sasa ua slaa.
Hivyo kuingia malima kwenye kinyanganyiro cha urais ni sawa na kuzichukua kura zaid ya 90% kwenda kwa malima na kuwaacha mkapa na mrema kugawana zilizobaki.
Hivyo walidhani ni wazi ccm itaanguka.
Njia za kuinusuru ccm ilifanyika sana uchaguzi ule. Kule znz walikua taabani.
Huku nako walikua hawajiamini mpaka ikabidi Nyerere na uzee wake aingie kwenye kampeni
Hivyo zipo dhana nyingi kuhusu kifo chake.
 
Keep it up Mohamed Said, otherwise what else you can do!!??
Your daily bread depends on how much you induce religious hatred.

Fanya kazi ya kuchochea udini uliyotumwa ili mkono uende kinywani, ongeza bidii.

Sioni udini hapa. Hebu tuoneshe upo vipi.
Hii ni historia ....na ya kweli tupu...tabu yenu ukweli unakuumeni na hampendi utajwe..
 
Wewe shangazi mpika vitumbua una nini cha kuwapa watu zaidi ya hayo matumbua unayo jipikilisha hapo uswahilini.?

Nyie vi bibi vizee haya majukwaa hayawafai!
Mnakuja speedy kama mmeona zile harusi zisizo na mialiko!
Hebu rudi jikoni wewe usijeunguza ukachapwa bure na mumeo!
kahtaan tusijibu matusi na kejeli za kidini. Lengo lao kuhamisha kujadili mada iliyopo.
Tujadili maisha na kifo cha Almarhum Malima.
Alikukua na maadui wengi kwenye chama chake na kutoka wakuu wa makanisa.
Kuna watu wali kunywa kifurahia kifo chake. Hivyo tujadili hoja ya msingi na dhana mzima ya sababu ya kifo chake.
 
Last edited by a moderator:
Keep it up Mohamed Said, otherwise what else you can do!!??
Your daily bread depends on how much you induce religious hatred.

Fanya kazi ya kuchochea udini uliyotumwa ili mkono uende kinywani, ongeza bidii.

Mjuni Lwambo
,
Mbona ndugu yangu unanifedhehesha?
 
Nyuzi zingine bwn, yaani zina bore kweli! Sasa Nyerere aje kwenye mazishi ya Malima ndio iweje? Angekuja, mngesema mnafiki, alipokua pembeni bado mnalalamika! Anyway, Malima alikufa Mwinyi akiwa ndio rais, kipindi hicho pia kuna mawaziri waliokua madarakani pia walikufa (naomba kutoa mfano wa waziri wa elimu, Charles Kabeho) hivi Nyerere alihudhuria mazishi yake!? Naanza kuamini kua dini yenu hi kumsingizia mtu maadamu tu sio wa dini yenu kwenu ni thawabu, tofauti na Ukristo, huo ni unafiki wa hali ya juu cause imeandikwa "Usimshuhudie jirani yako uongo" Suala la Kadinary Pengo limerudi tena hapa, hivi tunaweza kurudisha kumbukumbu nyuma miaka hiyo huyu Pengo alikua wapi na pia alikua na cheo gani kwenye hilo dhehebu la Katoriki!? Jamaani, hivi hua hamuoni aibu kudanya hata vitu vilivyo dhahiri kama hili kweli! Hi dini itakua ni ya UONGO hi, sio bure!
 
Mada ni nzuri sana imejaa kweli tupu.lakini pia nipende kuwashauri ndugu zangu katika Imani (waislamu) kuwa hawa ndugu zetu wameshaona hii mada ni ya ukweli wanachojaribu kufanya ni kufanya vitimbi na kebehi ili tupanic tuanze kuwarudishia maneno ili wafanikishe lengo lao la kuufunga mjadala.Binafsi nashauri ingekuwa busara tusitukanane nao na tuendelee kujikita kwenye mnakasha huu muhimu.hao ni kaka kuku wetu hatuna haja ya manati watajileta tu wenyewe.

Nakuunga mkono...tusijibu hoja za matusi..tujadili hoja ilio letwa. Akitukana mtu au aki kashif tuachane nae
 
kahtaan tusijibu matusi na kejeli za kidini. Lengo lao kuhamisha kujadili mada iliyopo.
Tujadili maisha na kifo cha Almarhum Malima.
Alikukua na maadui wengi kwenye chama chake na kutoka wakuu wa makanisa.
Kuna watu wali kunywa kifurahia kifo chake. Hivyo tujadili hoja ya msingi na dhana mzima ya sababu ya kifo chake.

Mkuu crabat hawa wana laana ya wazazi wao.
Na wengi humu ni watoto waliokosa malezi ya baba!
Sasa tusipowakumbusha kidogo watavua mpaka nguo hadharani.
 
Last edited by a moderator:
jamani punguzeni matusi,ili sisi maimuna tupate elimu-kuna WATAALAM wa thread kama hizi,sijawaona wakichangia labda matusi yanawafanya wasite-nimejaribu kuwa pm,na wameaihidi punde mjadala utakapokuwa constructive,watajimwaga with all guns blazing
 
Post kama hizi ndizo zinadhihirisha ni jinsi gani uchochezi wa MS unazaa matunda, huko aliko sasa hivi meno thelathini na nje yote mbili.

Mbona nyie binaadamu mnakuwa wanafiki sana!?

Mzee Mohamed Said anajaribu kuelimisha umma kwa data ambazo wewe na mnafiki mwengine yyt humu ana haki ya KUZICHUNGUZA na kutazama je! ZINAUKWELI NDANI YAKE AU LA!
Kinyume cha hapo wanaingia watoto wa haramu humu na kuanza matusi na kashfa.

Na wewe unaejifanya ni mwenye kutoa ushauri wa maana! Sijakuona ukiwakataza hao walio laaniwa na wazee wao kuacha hayo matusi!

Hivi nyie viumbe hata haya hamna??

Mnfnsssssssssss!
 
Don't play a fool,Answer my question you islamic lunatic!


what questions missy eliot?? and i never know there is a game called "FO.OL"

you need a chill pill! you know those temper are the signs of pregnancy!! go check it out, you might have been carrying a little galatian on you!!

teh teh teh teh !
 
Jamani kama kuna kitu kimerahisishwa hapa Tanzania ni hii serekali ya Mh. JK. Kiila mtu anayejua kuandika anajiandikia chochote anachotaka na anapeta tu. Bora awe wa hiyo dini tu
Kweli, weye mleta hii thread, kama ningekuwa na kauwezo tu, ningekukamata nikuwezeshe uwaeleze Watanzania wote huo ukweli wako ulio ugundua wa mtu kuuawa halafu serekali ikae kimyaa kama haioni.
Adam Malima mpaka amekuwa waziri asiweze hata kumlipa Private Investigater kumtafutia aliye muua huyo Babake, weye umeukalia ushahidi tuu. Hivi hujui kuukalia ushahidi kama huu ni kosa la jinai?? Hakuna hata Policcm mmoja mwenye haja ya kuongezwa kacheo tu afe na huyu mtu mpaka amwonyeshe huo ushahidi??
Jamani, hata kama mnataka kuanzisha vita, msitumie njia hizi butu hivi. Inaonesha hii dini ya huyu mleta hoja hata wangepewa dola yoote waimiliki bado wangelalamika. Hamuoni jinsi JK alivyowawezesha?? Mawaziri wenye wizara nyeti zote, Makatibu wakuu, Wakuu wa mikoa na wilaya, bora wawe na kaelimu hata ka kuungaunga tu. jamani hata hao wenzenu makafiri nao wana macho ya kujionea hayoooo
Nisameheni, ni mawazo yangu tu
 
Jamani kama kuna kitu kimerahisishwa hapa Tanzania ni hii serekali ya Mh. JK. Kiila mtu anayejua kuandika anajiandikia chochote anachotaka na anapeta tu. Bora awe wa hiyo dini tu
Kweli, weye mleta hii thread, kama ningekuwa na kauwezo tu, ningekukamata nikuwezeshe uwaeleze Watanzania wote huo ukweli wako ulio ugundua wa mtu kuuawa halafu serekali ikae kimyaa kama haioni.
Adam Malima mpaka amekuwa waziri asiweze hata kumlipa Private Investigater kumtafutia aliye muua huyo Babake, weye umeukalia ushahidi tuu. Hivi hujui kuukalia ushahidi kama huu ni kosa la jinai?? Hakuna hata Policcm mmoja mwenye haja ya kuongezwa kacheo tu afe na huyu mtu mpaka amwonyeshe huo ushahidi??
Jamani, hata kama mnataka kuanzisha vita, msitumie njia hizi butu hivi. Inaonesha hii dini ya huyu mleta hoja hata wangepewa dola yoote waimiliki bado wangelalamika. Hamuoni jinsi JK alivyowawezesha?? Mawaziri wenye wizara nyeti zote, Makatibu wakuu, Wakuu wa mikoa na wilaya, bora wawe na kaelimu hata ka kuungaunga tu. jamani hata hao wenzenu makafiri nao wana macho ya kujionea hayoooo
Nisameheni, ni mawazo yangu tu

Hajasema kama kauliwa.amelezea mtiririko wa wa siku zake za mwisho.hajasema kuwa ameuliwa
Hata anapomtaja pengo anamtaja kama mtu mmoja aliyemchukia..pengine alifurahia kufa kwake
Hata Nyerere ambaye walikua wote serikalini hamtaji kama sababu ya kifo..ila amesema kama hakuguswa na kifo chake labda kuna hisia za kugurahia.
Hata kolimba watu wanajadili humu humu na kusema mengi au kombe pia mengi yanesemwa.sasa kusema kifo cha malima iwe nongwa?
Adam ni mwana siasa kama baba yake... siri ya yeye kufika hapo anaijua yeye na kikwete...
 
'tatizo Nanren anafkiri kwa kutumia nyama za makalio Ritz sio kosa lake hata kidogo asee,teh teh'

Wewe na wenzako akina ''ng'ombe sugu'' na hao jamaa wenye picha ya mini-kabang Malcomx mna-share malezi mabovu. Mawazo yenu ni huko huko kwenye makalio. matusi yenu wakati wote yanaegemea huko huko. Yaelekea mna uzoefu sana ama wa kulawiti au kulawitiwa. Jifunzeni kwa mzee wenu mfitini wa kimanyema, huwa hatukani ovyo- labda kwa vile ana asili ya bara... tofauti na nyie wamanga koko.
 
Last edited by a moderator:
what questions missy eliot?? and i never know there is a game called "FO.OL"

you need a chill pill! you know those temper are the signs of pregnancy!! go check it out, you might have been carrying a little galatian on you!!

teh teh teh teh !

Teh teh teh! huu msumari lazima umemchoma ku moyo huyu kauzu.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom