ni historia nzuri kuijua... shukran
shida yangu na mleta madaz huwa ni ile chuki aliyonayo kwa wasio waislamu...
You can hate half the people in your country or anywhere in this world
Hongera sana kwa kuliona hilo mkuu hata mimi huwa napata tabu sana unapoona mtoa historia hii nzuri anapohusiha udini kwenye maelezo yake
Kwanini tuwe na hisia za udiniudini we waeleze watu kwamba fulani alifanya hivi then fulani akafanya hivi na fulani poia alitenda haya na yale bila kuhusisha imani zao