The Death of Prof. Malima 1995

The Death of Prof. Malima 1995

Status
Not open for further replies.
A thieving professor


Mbona wewe kila mara unadai yakua ati "huthamini" maandiko ya Sheikh Mohamed Said...ya kwamba ati yamejaa "urongo","chuki" na mangineyo usoyapenda!?

Kwani si pana majukwaa mangi mno humu-JF,tena yenye kuzungumzia interests/mada mbalimbali!? Au hayo yoote nayo pia hayakidhi haja yako!?

Hiyo "thieving Professor" umeitoa wapi!?...nime-BOLD hapo kwenye hiyo bayana yako isokua na adabu!

Au ndo ulivyokaririshwa!?

Mimi nakupa challenge ulete ushahidi woote ulionao/uliokaririshwa...na sources zake! Uanike hapa hapa jamvini,khalaf sisi Wanajamvi soote tutanyambua kwa undani/kitaaluma na objectively!?

Ukishindwa fanza hivyo,tafadhali jitahidi utumie busara japo kiduchu za kuazima...yaani peleka mdomo wako mchafu huko huko vijiweni kwenu na uendelee tu kua msikilizaji mtiifu kama vile sisi wangine,Ok!?

Calling Mkuu NHIC....tafadhali Mkuu angu,kama kipata fursa nyangine,embu jongelea hapa jamvini kuja kuweka ukweli sawa japo kiduchu kama ulivyofanza awali! Maana pana dalili za misukule fulani kutaka kuzidi kumchafua Mzee wa watu maskini Prof. Ali Malima,kwa assumptions na insinuations zao,bila hata chembe ya direct eveidence/s! Daah!

Ahsanta sana.
 
Yale yale tunayasema siku zote.

Watu hawataacha kuyasema wanayoyajua eti kwa kuhofia lawama za mwenye kulaumu

Basi bora mngekuja na data au hoja zenye mashiko za kuzipinga hoja zilizoletwa mbele yenu??

Mwenzenu kaja na hoja na viambatanisho nyinyi mnakuja na vilio na mapozu??nani atawaskiliza??

Hoja hupingwa kwa hoja siku zote,hoja hazipingwi kwa malalamiko na vilio vya mbwa koko kama hivyo.

Mkuu ningependa unisaidie kuona nini maneno yalichofanya maana kuna watu wanajikita kufikiria ndoto za alinacha na kupiga makelele from morning to the time they go to sleep bila kufanikiwa kwa lolote. Wengine wanahangaika kufanya kwa vitendo mambo mema wanayofikiri, wengine wanatumia muda wao kupiga sound. Akili ni nywele kila mtu anazo za kwake. Maneno matupu hayavunji mfupa. Tuanzishe shule kwa wingi, tuanzishe biashara kwa wingi, tuanzishe kazi za kiuchumi zenye kuleta maslahi kwetu binafsi na kwa Taifa. Nyumba ya wapiga mdomo lazima iwe nyumba ya waganga njaa na mwisho wa yote ni hizi hotuba za miaka 100 iliyopita na kutegemea misaada ya wajomba wajomba inayokuja na masharti ambayo mengine yanawasukuma watu kuwatendea wenzao mambo yasiyoweza semekana.Somalia na Sudan ni mifano hai ya akili finyu za baadhi yetu.
 
Mkuu hawa jamaa ni wendawazimu san

Hawa bado wanadhani kwamba watu wataacha kuzungumza kile wanachokifaham eti kwa kisa cha kuogopa kuitwa wadini au extrimist..!!

Yan watu waache kuandika historia na kuujuza umma wawaogope wao??wao kina nani njaa kali??

Then ukikaa kimya kila siku hawaachi matusi dhidi yetu na kejeli,vipi sasa imekuaje tena wanalilia na kusaga meno??

Watulie walambishwe dawa,hata kama ni ngumu kumeza waimeze tuh hivyo hivyo.

teh teh teh teh me nawashauri wameze sukari guru na wawe wanamungunya huku wanasoma dawa itapita bila shida.
 
Mbona wewe kila mara unadai yakua ati "huthamini" maandiko ya Sheikh Mohamed Said...ya kwamba ati yamejaa "urongo","chuki" na mangineyo usoyapenda!? Sasa kipi kikufanzacho kuleta hayo m.a.k.a.l.i.o yako kila mara mwenzio aletapo mada zake!?

Kwani si pana majukwaa mangi mno humu-JF,tena yenye kuzungumzia interests/mada mbalimbali!? Au hayo yoote nayo pia hayakidhi haja yako!?

Hiyo "thieving Professor" umeitoa wapi!?...nime-BOLD hapo kwenye hiyo bayana yako isokua na adabu!

Au ndo ulivyokaririshwa!?

Mimi nakupa challenge ulete ushahidi woote ulionao/uliokaririshwa...na sources zake! Uanike hapa hapa jamvini,khalaf sisi Wanajamvi soote tutanyambua kwa undani/kitaaluma na objectively!?

Ukishindwa fanza hivyo,tafadhali jitahidi utumie busara japo kiduchu za kuazima...yaani peleka mdomo wako mchafu huko huko vijiweni kwenu na uendelee tu kua msikilizaji mtiifu kama vile sisi wangine,Ok!?

Calling Mkuu NHIC....tafadhali Mkuu angu,kama kipata fursa nyangine,embu jongelea hapa jamvini kuja kuweka ukweli sawa japo kiduchu kama ulivyofanza awali! Maana pana dalili za misukule fulani kutaka kuzidi kumchafua Mzee wa watu maskini Prof. Ali Malima,kwa assumptions na insinuations zao,bila hata chembe ya direct eveidence/s! Daah!

Ahsanta sana.


Hao wahuni tuh Mkuu
then tukikaa kimya na kuwajibu kiupole wanapotutukana wanadhani kuwa sisi hizo kauli hatuzijui,

Na dawa ya hao wanaojitia tia kuwa wahuni ni kuwa wahuzi zaid yao,

Wakilete jeuri na kiburi sisi tunawaletea ngebe na jeuri kushinda zao,mwisho wa siku watashika adabu zao hawa pumb.avu, zao
 
We mwita ke mwita nyie si ndio wale mnaokunywa kinyesi kilicho changanya na damu( kichuri) kwa kuwa na imank kuwa kitawaongezea nguvu na akili!

Sasa mnywa kinyesi kweli anaweza andika kitu cha maana!??
I wonder!! 😕😱🙄:sly:
anzisha thread ya kichuri nikujibu, soma hizo nondo uelimike acha kulaumu, kama ngeli inakushinda nikutafsirie kwenye kiarabu
 
Usimsingizie Kikwete!

Ukweli ku kwamba alikufa kwa pressure baada ya kukuta account yake imekaushwa na mwanaye aliyemwamini na kumfanya signatory. Kipindi hicho mwanaye huyo alikuwa akisoma huko London na alikuwa na maisha ya anasa kupindukia akiwa ni pamoja na kumiliki magari ya kifahari ambayo yalishangaza wengi wakati huo.

Mwanaye ni huyu huyu alikutwa na silaha ya vita SMG hotelini pamoja na bastola?? Huyu huyu aloibiwa madola huko hotelini Morogoro?? akitazama TV receiption hotelini kana kwamba Hotel za Moro hazina Tv vyumbani??

Hii nchi haiishi maajabu. Labda badae Mohamed Said au wa aina yake atakuja na threads nyingi kumzungumzia huyo mwanaye
 
Mohamed said,Udini hautakusaidia sana.Wenzako katika alliance yenu walau wamefanikiwa kidogo kwa sababu walijali elimu.mmoja akawa mbunge na waziri ingawa karibuni aliishia kubaka binti aliyepaswa kumlea.
Mwingine ni mkurugenzi mtendaji wa shirika la umma,kwa udini wake analaumiwa kuajiri 90% waumini wa dini yake na ni ruksa kwa mfanyakazi kwenda ofisini na malapa.
Hahahahaha...hii kwa kweli ni kali sana,jamaa wanakwenda ofisini na MALAPA?kweli hizi dini za kuletewa zimeharibu ubongo wa mtu mweusi...!!
 
anzisha thread ya kichuri nikujibu, soma hizo nondo uelimike acha kulaumu, kama ngeli inakushinda nikutafsirie kwenye kiarabu

Nondo za copy and paste kutoka redio kifua!
Teh teh teh .

Nyie wakurya watu wa ajabu sana!

Huko kwenu Mnachinjana kama hakuna serikali.

Hapa jukwaani watu wanapata elimu yenye mashiko. Hizo ngonjera za copy and paste peleka tarime kwa wanywa vinyesi.
 
Teh teh teh!
Thats right galatian!

And if you dont like it!
Kiss my .......!

What do you thing of me!
Some kind of a church priest??

I am a truth seeker! And where ever there is a truth I WILL BE THERE!.

Live with it, or go hang yourself!

It shows that most Muslims do like spending most of their time whining and shrilling than actually working to improve their miserable lives and this the reason why you keep falling behind in terms of everything!No wonder you hate everyone who doesn't share your religious belief thinking that they are responsible for your miserable lives.It's time to own up to your own failures you Muslim shrills.What a bunch of Whiners!
 
Hahahahaha...hii kwa kweli ni kali sana,jamaa wanakwenda ofisini na MALAPA?kweli hizi dini za kuletewa zimeharibu ubongo wa mtu mweusi...!!

sasa wewe si unaabudu misukukuke na mizimu imekusaidia nini,zaidi ya kuuwa maalbino na kuchuna watu ngozi.Mmekalia kushinda kwa waganga na mashuka mekundu.
 
Kama ukiijuwa vyema historia ya marehemu mwamedi basi huwezi kushangazwa na chuki za wafuasi wake kama hiki kizee hopeless.

wewe Injili ya Barnaba huijui na hata hujawai kuiona na bado unJiita mgalatia.shame on your rotten mind
 
sasa wewe si unaabudu misukukuke na mizimu imekusaidia nini,zaidi ya kuuwa maalbino na kuchuna watu ngozi.Mmekalia kushinda kwa waganga na mashuka mekundu.
sasa wewe mvaa MALAPA ofisini mbona unatoa povu namna hiyo?nini shida?punguzeni JAZBA....
 
It shows that most Muslims do like to spend most of their time whining and shrilling than actually working to improve their miserable lives and this the reason why you keep falling behind in terms of everything!No wonder you hate everyone who doesn't share your religious belief thinking that they are responsible for your miserable lives.It's time to own up to your own failures you Muslim shrills.What a bunch of Whiners!

I think you got swine flu!!

Read my lip you low life individual!

For your info I have over 32 galatians working for me!

And more over we Muslim's in that land of yours we employ your fellow galatians than anybody else!

So stop wind me up! Or I will kick all these galatians out!

Blody cucumber daughter of a garbage!
 
Hahahahaha...hii kwa kweli ni kali sana,jamaa wanakwenda ofisini na MALAPA?kweli hizi dini za kuletewa zimeharibu ubongo wa mtu mweusi...!!


Inaeleka wewe sio cultured enough,sio Mkuu!?

"Watu weusi" woote duniani humu hawana asili ya kuvaa viatu vya aina yoyote ile na wala hata kuvaa nguo!...distinguished/reputable Scholars of modern history,middle ages and/or the so called "Black Civilization" wamethibitisha hayo yoote na upuuzi/unyama mwangine mwingi mno wa nyinyi/sisi watu weusi!?

Embu tupe mfano kiduchu...hivi kwa mtazamo wako dhaifu/ulivyokaririshwa...embu tuambie,katika hizo muitazo nchi hivi sasa hapo East Afrika...je kabla ya kufika Wakoloni/wageni wa Kiarabu na wa Kizungu...hivi wale muitao ati ndo "Mababu zenu",walikua wanakunya na kukojoa wapi,au kwa mtindo upi!?

Hakuna,asilan abadan any documented/written records kuonyesha ati hao muitao leo ndo "watu weusi"/"mababu zetu",ya kwamba walikua wakifahamu nini hata maana ya choo,sembuse kujua matumizi ya choo!? Daah!

Sasa weye ati leo kustaajabu yakua hao NSSF(kama ni kweli!? Duuh!) kufuata nyayo za hao "mababu zenu"/zao!? Teeh! Teeh! Teeh!

Embu msitafute watu tuzungumze msoyajua,khalaf mseme ati "tumetukana"!

Ahsanta sana.
 
Haya mwisho huu mjadala utafungwa! mada mnaanzisha nyie na mnashindwa kujikita kwenye hoja mnaanza kejeli na mwisho matusi.
 
It shows that most Muslims do like spending most of their time whining and shrilling than actually working to improve their miserable lives and this the reason why you keep falling behind in terms of everything!No wonder you hate everyone who doesn't share your religious belief thinking that they are responsible for your miserable lives.It's time to own up to your own failures you Muslim shrills.What a bunch of Whiners!
very very very very true..!!
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom