The Death of Prof. Malima 1995

The Death of Prof. Malima 1995

Status
Not open for further replies.
Inaeleka wewe sio cultured enough,sio Mkuu!?

"Watu weusi" woote duniani humu hawana asili ya kuvaa viatu vya aina yoyote ile na wala hata kuvaa nguo!...distinguished/reputable Scholars of modern history,middle ages and/or the so called "Black Civilization" wamethibitisha hayo yoote na upuuzi/unyama mwangine mwingi mno wa nyinyi/sisi watu weusi!?

Embu tupe mfano kiduchu...hivi kwa mtazamo wako dhaifu/ulivyokaririshwa...embu tuambie,katika hizo muitazo nchi hivi sasa hapo East Afrika...je kabla ya kufika Wakoloni/wageni wa Kiarabu na wa Kizungu...hivi wale muitao ati ndo "Mababu zenu",walikua wanakunya na kukojoa wapi,au kwa mtindo upi!?

Hakuna,asilan abadan any documented/written records kuonyesha ati hao muitao leo ndo "watu weusi"/"mababu zetu",ya kwamba walikua wakifahamu nini hata maana ya choo,sembuse kujua matumizi ya choo!? Daah!

Sasa weye ati leo kustaajabu yakua hao NSSF(kama ni kweli!? Duuh!) kufuata nyayo za hao "mababu zenu"/zao!? Teeh! Teeh! Teeh!

Embu msitafute watu tuzungumze msoyajua,khalaf mseme ati "tumetukana"!

Ahsanta sana.
Gombesugu naona umejikakamua kuonyesha una ufahamu kuduchu ingawa nashindwa nikusaidie vipi kwa kuwa point zako ziko ndivyo sivyo na shaghala baghala kiasi kwamba nashindwa kukuelewa ulitaka kuongelea kitu gani?But kiufupi aha nikuambie tu kuwa babu na bibi zetu walikuwa na utashi wao,sio kwamba kwa kuwa walishindwa kuweka maandiko basi walikua hawajui wafanyalo la hasha, vinginevyo mimi na wewe na yule leo tusingekuwepo hapa duniani....linapokuja suala la dini kubali au ukatae ni kwamba limemvuruga kabisa mtu mweusi kiasi kwamba anashindwa hata kujitambua na kupelekea hata kuchukiana na kuuana wenyewe kwa wenyewe kwa imani tu za kidini tena kwa dini ya muarabu au myahudi/muisraeli ambao hao mitume na miungu ilikuwa ya kwao.
 
Nilisema na nitaendelea kusema,though sometimes truth hurts.MS kama anataka threads zake zipate attention/acclaim value ile ya siku zile within jf, amuombe ALLAH baadhi ya members hawa warudishe mioyo yao nyuma na wa-comment .
Mzee Mwanakijiji
Nguruvi3
Jasusi
Yericko Nyerere
JokaKuu
Son of Alaska
Mag3
Gwalihenzi
Pasco
Kichuguu
et al.
otherwise i will consider his current threads as equal to those i read in chitchat forum.


Si uwalete hao jamaa zako??

kwan mjadala hawauoni huu??

kwanin wanashindwa kuingia humu??

waingie tuwalipue,unacheza na vijana wa madrasa??

mziki wetu wanaujua sana hao jamaa zako
 
Moh Said na waislamu wengine ingependeza kama wangesoma alichosema mwanazuoni wa kiislamu.

Sasa Mkuu,

Hivi wewe binafsi au Taifa lako linafaidika vipi na huo ujumbe wa matusi na hoja dhaifu,unaotaka hao walengwa wausome!? Hivi unafahamu hizo ni mojawapo ya zile Jewish Lobby Propagandist!?

Wewe unafahamu source/s ya uharo huo lakini Mkuu!?...unafahamu nani alieandika na kusaidia kuusambaza,na madhumuni yao!? Daah!

Hivi mnafahamu kinachoendelea kiundani pale South Sudan!? Au bado ile myth ilobuniwa ya kwamba ilikua ni vita baina ya ati "Wakristo" na Waislam mlokaririshwa haijakutokeni, jamani!? Daah!

Sasa nanyi Watanzania endeleeni tu kucheza "ngoma" msoijua na mtakiona "cha mtema kuni" soon!...nilishayasema haya kitambo kingi,ndo leo narejea tu kiduchu!...si unafahamu yakua nanyi pia hivi sasa mna Oil na Gas,Mkuu!?

Sasa mbona hatujaona "mtu mweusi" wa aina yoyote mle kutajwa/kusifiwa,kwenye ile post ya kashfa na matusi aloleta huyo Mwita Ke Mwita!?...ambayo nawe yaeleka umeipenda mno Daah!

Au nyinyi magalatia kwa akili zenu za Sunday Schools...yaani yakutosheni tu pale right wing Jews,Zionists and/or White Supremacists,wakichajisifia kwa zile interests zao za kinyama...basi nyinyi inakutosheni kubeba mabango/slogans na kuanza/kuendeleza kuwachafua watu weusi/Waafrika wenzenu!?

Jamani,hivi hii mental Slavery itakuondokeni lini ndani ya hayo mabichwa yenu mabovu yalojaa funza nyinyi Waafrika,jamani!? Teeh! Teeh! Teeh!

Salaam zao!

Ahsanta.
 
Teh teh teh!
Uuuuuwi! Sharif umenifanya nimwage chai kwa kucheka!
Mkuu kahtaan.

Ebu msome huyu jamaa hapa chini anadhani sisi wote tuna akili za nyumbu kama Bavicha.
quote_icon.png
By Nanren
Mwanaye gani huyu, aliyezima wenzake mapesa na ku-fake kaibiwa pale Morogoro?

Hapana. Usimsingizie huyu brazamen.
Ukweli ni kuwa Serikali ya Mwinyi ndio ilimtuma Kikwete kwenda ku-freeze account yake. Hiyo ninakupa ni kwa uhakika asilimia 100. Hata Moh Said anajua haya, ila hawezi kuwashambulia Jakaya na Mwinyi, you can rightly guess why.

Hapo kwenye bold ameandika kituko hivi kuna mtu yeyote anaweza kwenda nchi ya watu na kwenye benki za watu na ku-freeze account ya mtu, basi kama ndiyo hivyo Dr.W.Slaa asingekuwa analalamika kuwa kuna mafisadi wameficha pesa nje angemtuma Mbowe au Lema, kwenda ku-freeze hizo account za hao mafisadi.
 
Mkuu kahtaan.

Ebu msome huyu jamaa hapa chini anadhani sisi wote tuna akili za nyumbu kama Bavicha.


Hapo kwenye bold ameandika kituko hivi kuna mtu yeyote anaweza kwenda nchi ya watu na kwenye benki za watu na ku-freeze account ya mtu, basi kama ndiyo hivyo Dr.W.Slaa asingekuwa analalamika kuwa kuna mafisadi wameficha pesa nje angemtuma Mbowe au Lema, kwende ku-freeze hizo account za hao mafisadi.

'tatizo Nanren anafkiri kwa kutumia nyama za makalio Ritz sio kosa lake hata kidogo asee,teh teh'
 
Last edited by a moderator:
Watu wa system wanasema Kighoma Malima alikuwa CIA agent.
Bw.Mohamed Salim unajua hili?
 
Nilisema na nitaendelea kusema,though sometimes truth hurts.MS kama anataka threads zake zipate attention/acclaim value ile ya siku zile within jf, amuombe ALLAH baadhi ya members hawa warudishe mioyo yao nyuma na wa-comment .
Mzee Mwanakijiji
Nguruvi3
Jasusi
Yericko Nyerere
JokaKuu
Son of Alaska
Mag3
Gwalihenzi
Pasco
Kichuguu
et al.
otherwise i will consider his current threads as equal to those i read in chitchat forum.
[TABLE="class: infobox vcard, width: 22"]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"] [/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: lavender, colspan: 2, align: center"]5th Minister of Finance[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]In office
1994–1994[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Preceded by[/TH]
[TD]Steven Kibona[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Succeeded by[/TH]
[TD]Jakaya Kikwete[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]In office
1983–1985[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Preceded by[/TH]
[TD]Amir H. Jamal[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Succeeded by[/TH]
[TD]Cleopa Msuya[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="bgcolor: lavender, colspan: 2, align: center"]Personal details[/TH]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Born[/TH]
[TD](1938-12-15)15 December 1938
Kisarawe, Tanganyika[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Died[/TH]
[TD]6 August 1995(1995-08-06) (aged 56)
London, United Kingdom[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Nationality[/TH]
[TD]Tanzanian[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Political party[/TH]
[TD]CCM[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Children[/TH]
[TD]Adam[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Alma mater[/TH]
[TD]Dartmouth College (BA)
Yale University (MA)
Princeton University (PhD)[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Profession[/TH]
[TD]Economist[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH="align: left"]Religion[/TH]
[TD]Islam
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]


Waite hao watu wako waje wakutane na vitasa.
 
Gombesugu naona umejikakamua kuonyesha una ufahamu kuduchu ingawa nashindwa nikusaidie vipi kwa kuwa point zako ziko ndivyo sivyo na shaghala baghala kiasi kwamba nashindwa kukuelewa ulitaka kuongelea kitu gani?But kiufupi aha nikuambie tu kuwa babu na bibi zetu walikuwa na utashi wao,sio kwamba kwa kuwa walishindwa kuweka maandiko basi walikua hawajui wafanyalo la hasha, vinginevyo mimi na wewe na yule leo tusingekuwepo hapa duniani....linapokuja suala la dini kubali au ukatae ni kwamba limemvuruga kabisa mtu mweusi kiasi kwamba anashindwa hata kujitambua na kupelekea hata kuchukiana na kuuana wenyewe kwa wenyewe kwa imani tu za kidini tena kwa dini ya muarabu au myahudi/muisraeli ambao hao mitume na miungu ilikuwa ya kwao.

Mkuu,

Wewe ndo yaelekea hizo comments/argument yako ndo dhaifu pasi kiasi!...embu jaribu kujisoma upya! Daah!

Mie huwa situmii maguvu(kama ulivyodai) asilan,ninapozungumza na watu khasa wa sampuli nyinyi ya humu-JF!

Hayo niloyazungumza takriban yoote,nayafahmu kiundani na pia nayafundisha! Kwa hiyo nakuhakikisha yakua sibahatishi nisemacho/niandikacho,hasha!...au nikeletee references hapa hapa Mkuu!?

Kwa kifupi,labda nikiri yakua nakubaliana nawe japo kiduchu hapo nilipo-BOLD kwenye hiyo bayana yako dhaifu!...hata hivyo ukifuatilia tangia bayana yangu ya awali na mpaka hii hapa jamvini,mie asilan sijagusia dini/udini!?

Nalichofanza ni kuwarekebisha tu kiduchu baadhi ya Wanajamvi wenzetu,amabo nakhis mmedhamiria kumuharibia Mwanajamvi mwenzenu Sheikh Mohamed Said hii thread yake,maskini!? Dahaah!

Mkuu,umenichekesha kiduchu,ati umeshindwa kunifahamu!? Kweli,Yakhe!? Teeh! Teeh! Teeh!

Basi wakti mwangine,tajitahidi ku-amplify japo kiduchu,ili uezefahamu.

Ahsanta.
 
Watu wa system wanasema Kighoma Malima alikuwa CIA agent.
Bw.Mohamed Salim unajua hili?

'mmeshachanganyikiwa sasa hata unachokiongea hukitambui Mohamed Salim ndio nani asee au ndio povu za weekend hazijaisha nini asee,kweli kazi mnayo'
 
Mkuu,

Wewe ndo yaelekea hizo comments/argument yako ndo dhaifu pasi kiasi!...embu jaribu kujisoma upya! Daah!

Mie huwa situmii maguvu(kama ulivyodai) asilan,ninapozungumza na watu khasa wa sampuli nyinyi ya humu-JF!

Hayo niloyazungumza takriban yoote,nayafahmu kiundani na pia nayafundisha! Kwa hiyo nakuhakikisha yakua sibahatishi nisemacho/niandikacho,hasha!...au nikeletee references hapa hapa Mkuu!?

Kwa kifupi,labda nikiri yakua nakubaliana nawe japo kiduchu hapo nilipo-BOLD kwenye hiyo bayana yako dhaifu!...hata hivyo ukifuatilia tangia bayana yangu ya awali na mpaka hii hapa jamvini,mie asilan sijagusia dini/udini!?

Nalichofanza ni kuwarekebisha tu kiduchu baadhi ya Wanajamvi wenzetu,amabo nakhis mmedhamiria kumuharibia Mwanajamvi mwenzenu Sheikh Mohamed Said hii thread yake,maskini!? Dahaah!

Mkuu,umenichekesha kiduchu,ati umeshindwa kunifahamu!? Kweli,Yakhe!? Teeh! Teeh! Teeh!

Basi wakti mwangine,tajitahidi ku-amplify japo kiduchu,ili uezefahamu.

Ahsanta.
sawa mkuu ila nilichogundua ni kwamba hatujaelewana kile tunachokizungumzia kati yangu na yako but unaweza kumtetea tu huyo sheikh mohamed said wala hukatazwi na mtu,ni uhuru tu wa maoni na vile uonavyo..karibu!
 
sawa mkuu ila nilichogundua ni kwamba hatujaelewana kile tunachokizungumzia kati yangu na yako but unaweza kumtetea tu huyo sheikh mohamed said wala hukatazwi na mtu,ni uhuru tu wa maoni na vile uonavyo..karibu!


Nimekusoma Mkuu na pia nimekupa LIKE kiduchu!

Huyo Sheikh Mohamed Said,mbona yeye binafsi ana uwezo mkubwa mno/intellect and brutal debating skills!

Kwa hiyo hana haja asilan na wala haitaji ati "kutetewa" na mie kama ulivyodai!?

Ahsanta.
 
Teh teh teh.
Respect mi broda! Respect

Dem bwaty boy no good man! Mi tell dem everyday man! Dem bum bum nooo nice, but dem bombocla never listen man!

Keep it real mi burjin!
Tanks man! Tanks!

Do you know the MAN who raped the under age child,The 14 year old girl?He is now regarded as second after God!He would have been in jail serving 30 year sentence if he would have done this child molest thing today in the civilised christian nations.What a pervert he was!!!
 
Nanren,

Mie situmii hayo majambo Ya-Illahi!

Mbona siku hizi huo uzee wako unakujia vibaya Mkuu Nanren! Daah!...yaani unaniomba/unanilazimisha nikulawiti mbele ya kadamnasi hapa jamvini!? Duuh! Hii dunia ishakwisha,jamani!

Kwa taarifa yako,mie situmii asilan hayo majambo,na nimeoa na pia kwa mujibu wa imani yangu ya kidini hiyo kitu siruhusiwwi hata kukurubia!

Ushindweeeee pepo wewe Nanren! Nasema ushindweeeee,tena kwa jina la Askofu Mtikila na mwenzie Bwan' Desmond Tutu!

Salaam zao!

Ahsanta sana.

Teeeh teeh teeh teeh!
Mkuu gombesugu hawa wagalatia kama hujawazoea watakushangaza sana!
Yaani hizo biashara za sodomi ni family business!
Na kila wakizeeka ndio wanatamani zaidi kuingia ktk chama!
Duhh! Mi siku hizi natembea na ile disinfectant spray nikiona kuna sura ya mgala imekaa kisodomi tu! Nampulizia machoni!

Manake hawa wabaya kuliko wale mbu wa mararia!
Wamejaa najsi kila kona.
 
Last edited by a moderator:
Nilisema na nitaendelea kusema,though sometimes truth hurts.MS kama anataka threads zake zipate attention/acclaim value ile ya siku zile within jf, amuombe ALLAH baadhi ya members hawa warudishe mioyo yao nyuma na wa-comment .
Mzee Mwanakijiji
Nguruvi3
Jasusi
Yericko Nyerere
JokaKuu
Son of Alaska
Mag3
Gwalihenzi
Pasco
Kichuguu
et al.
otherwise i will consider his current threads as equal to those i read in chitchat forum.

Mkuu,

Zatokea siku ile!?

Duuh! Hiyo list yako ya Ze Comedy,yaani imenifanza nicheke pasi kiasi! Teeh! Teeh! Teeh!

Hivi umetumia criteria gani/ipi ku-collate hayo majina!?

Hivi Mkuu,weye binafsi unaamini kwa yakini kabisa ,yakua wachovu kama Yericko Nyerere na yule bingwa ya matusi wa nguoni aka Gwalihenzi, ati ndo wanaweza kusimama japo kiduchu na Sheikh Mohammed Said kwa hoja za kitaaluma!? Daah!

Acha kuleta list za mahoka/comedians Mkuu,si unafahamu mie "nakustahi"!?

Labda ujaribu kumleta Mkuu JokaKuu,ndo labda huwa anajaribu kuwa na meaningful/intellectual arguments...na pia ana uungwana/staha ya mazungumzo!
Huyu pekee kwenye hiyo list yakohu ndo hukumueka,na ndie pekee angemudu kuzungumza na Mtanzania mwenzie distinguished Scholar Sheikh Mohamed Said kwa taadhima!

Ahsanta sana.
 
Unamshabikia Malima?Inavyoonyesha nyinyi mnadhani aliuawa wakati alikufa kwa mapresha yake baada ya kutoka Mecca na kwenda London ambako alitaka kwenda kulipia Landrover 200 alizokuwa ameagiza,alipofika bank akakuta Kikwete ameshapita na kuchukua hela zote alizokuwa amewaibia Watanzania.

Acheni kuwadanganya wadanganyika nyie mburula; huyo Kikwete wako angezichukua huko Malima alikozificha kwa authority gani? Ukweli ni kwamba Malima alikuwa anawatumia wahindi fulani aliokuwa amewaamini kama marafika zake kumuwekea hizo fedha alizokuwa amekwiba kwenye akaunti zao huko London; sasa siku ya siku alipokwenda kuangalia kiota chake cha pesa huko alikoficha na wahindi wake akakuta zile pesa zimeota mbawa na akaunti ilikuwa tupu ndio hapo presha ikapanda na kushuka na mwisho umauti ndio ukamfika!!! Hawa wahindi watawaliza wengi baada ya 2015 hawa magamba wakitoka madarakani, kwani wengi wao wamewekeza kwa wakina Patel!!!
 
Talking about 14 yrs old??
The problem you have is! All you know is bongo vijijini thats all!

Come to where I live! You will see plenty of 13-15 yrs old WITH CHILDREANS!

yeah! Thats right! WITH CHILDREANS and guess what! NO BODY WENT TO JAIL!

and I am not TALKING about a CORRUPT COUNTRY LIKE YOURS!

I'm talking about THE FIRST WORD where Dogs have more rights THAN YOU!

And how about those church priest who Rape LITTLE BOYS almost EVERYDAY!
Dont tell me you never saw on a telle!
Hundread of thousands of young boy have been raped and molested by CHURCH LEADERS! and they STILL ARE IN THIS DAY!

you people are SICK! and you will be SICK until the day you die!
And all of you will be rotten in the HELL FIRE.

So does this mean that you are now admiting that your SEMI GOD's sexual behaviors towards under age children were acceptable to you simply because the people of opposite faith who you are spending a lot your time to attack are doing the same?
 
Mada ni nzuri sana imejaa kweli tupu.lakini pia nipende kuwashauri ndugu zangu katika Imani (waislamu) kuwa hawa ndugu zetu wameshaona hii mada ni ya ukweli wanachojaribu kufanya ni kufanya vitimbi na kebehi ili tupanic tuanze kuwarudishia maneno ili wafanikishe lengo lao la kuufunga mjadala.Binafsi nashauri ingekuwa busara tusitukanane nao na tuendelee kujikita kwenye mnakasha huu muhimu.hao ni kaka kuku wetu hatuna haja ya manati watajileta tu wenyewe.
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom