The Death of Prof. Malima 1995

The Death of Prof. Malima 1995

Status
Not open for further replies.
Do you even know the meaning of "apply knowledge"!
Or you just puke here cause it sound very nice!!

How could you apply knowledge from (copy and paste) from individuals feelings.?

There is NO any authentic sources to those word's what so ever!

I think KICHURI is doing you NO FAVOUR!
Just stop.using that kinyesi drink!
It may harm you thinking capacity!
An your health too.

You proud to be Englishman? And not Arabic?
 
Mkuu kahtaan.

Ebu msome huyu jamaa hapa chini anadhani sisi wote tuna akili za nyumbu kama Bavicha.


Hapo kwenye bold ameandika kituko hivi kuna mtu yeyote anaweza kwenda nchi ya watu na kwenye benki za watu na ku-freeze account ya mtu, basi kama ndiyo hivyo Dr.W.Slaa asingekuwa analalamika kuwa kuna mafisadi wameficha pesa nje angemtuma Mbowe au Lema, kwenda ku-freeze hizo account za hao mafisadi.
nilipobold pameonyesha wewe nad the likes how foolish you are,kwani hao wana serikali?
 
You proud to be Englishman? And not Arabic?

Hey hoo! The doggy pop up from nowhere!
Teh teh teh!

I think I told you before! I only speak to the Dog owner!

Shuushhh! Bwaty boy! You stinks!!
 
Wanajamvi,

Post ya mwisho ya Prof. Malima haikuondolewa na hii ndiyo sababu
iliyonitia moyo niweke post hii ambayo kwa muktadha wetu hapa ni
ya mwisho.

Hiki ni kitabu kizima...
Mkipenda tutaendelea na kumbukumbu za Malima Insha Allah.

Mzee,

Hivi pale kwako Mwananyamala karibu na uwanjani naweza kupata Nyumba ya kupangisha ule upande wa mbele? Nimeskia yule jamaa anakaribia kutoka.
 
If I was you I will stick to BANTU!

The way you try to send the message here cause confusion! And catastrophe!
Some1 might bite their tongue off try to read your comments!

What is BOMB SUICIDE COMMITTING ISLAMIC THUGS? ?

teh teh teh teh!

Bless you miss sunshine!

You need to wake up and smell the coffee!

Gongo without food always hit you back badly! !

And please,We don't use IF I WAS YOU....Ha ha ha ha!What the hell is that Swahili Boy?
 
Kama hili darsa au darasa mshauri huyu radical muslim apeleke hili darsa kwenye muslim university morogoro nadhani kule ndio kuna akili ukwaju za kuwaingiza huu ujinga wake.

Halafu kumbe chuo kikuu umesoma Tanganyika? Vipi mbona huwa hamwendi kusoma uarabuni?

We kusomeshwa na kanisa na wazee kupata hizo lishe za paroko basi unadhani kila mtu kama wewe!

Sisi tunajivunia ardhi yetu. Sio we mtu weusi unakosa haya na kujiita myahudi!
We wapi umeona myahudi ana sura kama yako!

Teh teh teh teh! Halafu unafahamu maana ya matola kifipa??

Nikiiandika hapa ntapigwa ban!
Nakutumia kwa posta!

Teh teh teh teh!
Bwaty boy!
 
We kusomeshwa na kanisa na wazee kupata hizo lishe za paroko basi unadhani kila mtu kama wewe!

Sisi tunajivunia ardhi yetu. Sio we mtu weusi unakosa haya na kujiita myahudi!
We wapi umeona myahudi ana sura kama yako!

Teh teh teh teh! Halafu unafahamu maana ya matola kifipa??

Nikiiandika hapa ntapigwa ban!
Nakutumia kwa posta!

Teh teh teh teh!
Bwaty boy!
? ? ? ......hapo kwenye nyekundu

 
Alichokifanya kikwete kwa kipindi hicho ndicho kilifanya mwl Nyerere amuamini jakaya kuwa anaweza kuongoza nchi hii.
 
Anayemsema Prof malima kuwa mdini, anasahau kuwa kiongoz wa kwanza wa nchii hii aliwadhurum watu fulan waliokuwwa na nguvu kwa kubun ki2 kilichoitwa Azimio la Arusha, mashule yao yakachukuriwa, lakin cha kushangaza mashule mengine yalirudishwa kwa waleeeeee waliokuwa na iman yake..
Prof malima wa genius man alietaka usawa kwa kila m2, na sio kukandamiza wa2 wa iman fulan kama mtawala wa kwanza alivyofanya.

Sent from my BlackBerry 9790 using JamiiForums
 
Hey hoo! The doggy pop up from nowhere!
Teh teh teh!

I think I told you before! I only speak to the Dog owner!

Shuushhh! Bwaty boy! You stinks!!

Sheikh Kahtaan,Mchukia wakristu lakini anaupenda utamaduni wao na mtindo wao maisha.Anaupenda Uislamu lakini hathubutu kwenda Arabuni kwasababu haupendi utamaduni na mtindo wa maisha wa Waarabu.Huyu mtu na Waislamu wengine wengi tu wapo njia panda.They are simply living in lies,They are neither honest with themselves nor in touch with the reality.
 
Pasco anaishia kulike tuh,anajua hawez kutia maguu hapa

Aje kuzungumza nin kwa vijana wa madrasa kama ssi??

Futuhi??nani anataka kuskia comedy zake

Hapa si pahala pake, ukimtaka hoja zake ni za akina MAMA kule jukwaa la Mahusiano, kwasababu hana uwezo wa kuhoji, alishatujuza humu kuwa yeye si mtu wa kuhoji bali ni kutukua mambo mazima kama yalivyo.

Na kwa kweli katusaidia sana, na kulithibisha hilo, ndo utajamkuta kaziye ni hapa ni "KULIKE" tu.
 
Last edited by a moderator:
Sasa Mkuu,

Hivi wewe binafsi au Taifa lako linafaidika vipi na huo ujumbe wa matusi na hoja dhaifu,unaotaka hao walengwa wausome!? Hivi unafahamu hizo ni mojawapo ya zile Jewish Lobby Propagandist!?

Wewe unafahamu source/s ya uharo huo lakini Mkuu!?...unafahamu nani alieandika na kusaidia kuusambaza,na madhumuni yao!? Daah!

Hivi mnafahamu kinachoendelea kiundani pale South Sudan!? Au bado ile myth ilobuniwa ya kwamba ilikua ni vita baina ya ati "Wakristo" na Waislam mlokaririshwa haijakutokeni, jamani!? Daah!

Sasa nanyi Watanzania endeleeni tu kucheza "ngoma" msoijua na mtakiona "cha mtema kuni" soon!...nilishayasema haya kitambo kingi,ndo leo narejea tu kiduchu!...si unafahamu yakua nanyi pia hivi sasa mna Oil na Gas,Mkuu!?

Sasa mbona hatujaona "mtu mweusi" wa aina yoyote mle kutajwa/kusifiwa,kwenye ile post ya kashfa na matusi aloleta huyo Mwita Ke Mwita!?...ambayo nawe yaeleka umeipenda mno Daah!

Au nyinyi magalatia kwa akili zenu za Sunday Schools...yaani yakutosheni tu pale right wing Jews,Zionists and/or White Supremacists,wakichajisifia kwa zile interests zao za kinyama...basi nyinyi inakutosheni kubeba mabango/slogans na kuanza/kuendeleza kuwachafua watu weusi/Waafrika wenzenu!?

Jamani,hivi hii mental Slavery itakuondokeni lini ndani ya hayo mabichwa yenu mabovu yalojaa funza nyinyi Waafrika,jamani!? Teeh! Teeh! Teeh!

Salaam zao!

Ahsanta.

Ndugu yangu Gombesugu
Nimetaka Moh Said na Waislamu wengine waisome makala ya mwanazuoni Muislamu kwa sababu ya kusaidia tabia ya kulaumu watu wengine badala ya kutazama mbele.

Moh Said na makala za Malima anazungumzia kuwa alifanyiwa visivo na Christian Loby, lakini sijui Osca Kambona,Horace Kolimba nao pia walifanyiwa visivyo na Christian Loby au la?? Mbona hao hawazungumzii au wao sio Watz au kwa kuwa hawakua Waislam?? Kwanini asiseme kama wamefanyiana visvyo baada ya kutofautina kwenye maslahi yao?? kwa nini anahusisha UDINI, au ndio kichaka kirahisi cha kujificha??.

Ukiangalia matatizo ya Sudan ya Kusini na sehemu mbalimbali Afrika na Duniani kwa upana utaona suala la UDINI linahusika kwa kiwango kidogo sana, hao mapepari hawajali dini ya mtu wanachoangalia wao ni uchumi na watanufaikaje tu. Unakumbuka Nigeria majimbo ya kusini mashariki yenye Wakristo wengi walitaka kujitenga kutoka Nigeria??? unajua Waingerza ndio walikuwa wanaisaidia serikali ya Nigeria ilokuwa inaongozwa na Waislamu wengi dhidi ya wakristo wa Biafra??. Ukiangalia vita ile kwa jicho la DINI hupati jibu.

Mwandisi wa makala ile mwanazuoni wa Kiislamu aliandika kujaribu kuwanasua waislamu wenzake na wimbi la kutafuta mchawi badala ya kutatua matatizo yao.

Kama mipango ya Prof Malima ilikuwa kuchukua nchi kwa kuwatetea waislamu basi wengine wasio waislamu hawakua na sababu ya kusimama pamoja naye, ila kama nia yake ilikuwa kuchukua nchi kwa ajili ya Watz alipaswa kuzikwa na Watz wote kitu ambacho Moh Said hajakiona au hajakiandika katika makala zake.
 
Mzee,

Hivi pale kwako Mwananyamala karibu na uwanjani naweza kupata Nyumba ya kupangisha ule upande wa mbele? Nimeskia yule jamaa anakaribia kutoka.

Babu yenu tulimpa stara ya mji tena BURE wakati huo, huku akijitahidi kutuonesha kuwa ati naye ni MSTAARABU kama WAZEE WETU WA MWAMBAO, alichowatendea baada ya FADHILA zote alizopewa hata weye KAUZU wazijua japo AKILI yako hata ubongo wa SISIMIZI ni MKUBWA.

Nenda kule KIMARA utapata na ni bora sana kwako maana MNYAMA ASOSHIKIWA KISU pia utawapata kirahisi mno, kwani shurti nawe uonekane wa mjini?!

Kupafahamu nyumbani kwa mtu japo kwa kusontewa inakusaidia nini katika MADA ngumu kama hii...!!?

Lakini huo ndo uwezo wako wa maropoko kama mwendawazimu, kwanini usiwe msomaji tu ama m-"LIKE" kama afanyavyo Pasico baada ya kuona hana hoja za akili katika MADA ngumu kama hizi?!
 
Sheikh Kahtaan,Mchukia wakristu lakini anaupenda utamaduni wao na mtindo wao maisha.Anaupenda Uislamu lakini hathubutu kwenda Arabuni kwasababu haupendi utamaduni na mtindo wa maisha wa Waarabu.Huyu mtu na Waislamu wengine wengi tu wapo njia panda.They are simply living in lies,They are neither honest with themselves nor in touch with the reality.

Ulitaka akaishi kule ambako weye watarajia kwenda funga NDOA ya jinsia moja ili kutekeleza NEW TESTAMENT aloweka BABAAKO DAVID CAMERON ?


Kwa hivo huo Ukirisito wako ulo nao ndo umeuona upo sahihi...?!
Kama ndivo nisaidie yake ASILI na unambie mbona hujaenda ishi huko?

Hivi kila aishiye KILIMANJARO ni MCHAGA au CHADEMA...?!!
 
? ? ? ......hapo kwenye nyekundu


We huna habari huyo mbulula anajiita Matola binti netanyahu!??

Teh teh teh teh!

Eti mama yake alikwenda kutembea huko! Aliporudi kamzaa yeye!

Duhh! Dunia hii vioja! Ukimuona jamaa mwenyewe anaejiita myahudi mweusi kama saa nane usiku!

Teh teh teh teh!
 
Last edited by a moderator:
Sheikh Kahtaan,Mchukia wakristu lakini anaupenda utamaduni wao na mtindo wao maisha.Anaupenda Uislamu lakini hathubutu kwenda Arabuni kwasababu haupendi utamaduni na mtindo wa maisha wa Waarabu.Huyu mtu na Waislamu wengine wengi tu wapo njia panda.They are simply living in lies,They are neither honest with themselves nor in touch with the reality.

We wakati mwingine unakuwa na hamu sana ya kutuma ka ujumbe kako kwangu lkn naapa vile ukichanganya lugha unaharibu raha yoote ya ujumbe!

Hivi aliyekwambia uislamu ni UARABU ni nani!
Au Pasco! Manake yule ameshasema kuwa mungu yesu kuwaachia wanawake kugawa ngono no NEEMA!
.sasa kama wewe mwanamke kweli unatakiwa umwambie asimtukane mungu wako wa kizungu!
Labda wa kwake wa kisukuma!

Teh teh teh
 
Last edited by a moderator:
Wangeweka nini wakati ilikuwapo; Malima alikuwa Wizara ya elimu mwaka 1987, mimi nilisoma kabla hajawa waziri wa elimu na nina vyeti vinavyoonyesha namba zangu za mitihani; ngoja nivitafute tuachane na uongo na uzushi usiokuwa na maana hapa.

UPDATE:

Vyeti hivi nilivipata kabla Malima hajawa Waziri wa Elimu je hiyo system ya Index numbers ilisababishwa na yeye? In fact wakati huo ndipo alipokuwa akijaribu kujitutumua tena kurudi kwenye siasa tena akiwa anasaidiwa na Nyerere kwenye kamati kuu ya CCM.

Asante sana mkuu, wazushi waendelee kuzusha kama wanapenda!
 
Well,.

Sisi tunapenda kujadiliana na watu kama nyinyi kwa muktadha kama huo huo,

Hivi ni nani anaweza kuwa mdini kushindwa nyerere hadi kufikia hatua ya kuwaanzisha waislam chombo cha bakwata bila hiyari yao ili mradi tuh awaratibu mambo yao bila hiyari yao??

Ukiweza kujua udini wa nyerere huwez pata shida kuhusu udini wa Prof Malima wewe mgalatia usie na akili

lakini likija suala la mali mnatambua kuwa Bakwata ipo!
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom