Mr Penal Code
JF-Expert Member
- Jul 9, 2012
- 823
- 213
jamani japo kuwa utandawazi umerahisisha mambo mengi unaweza uka Download fomu mbalimbali..na vitu vingine vingi..sasa..kwa NN tusi Download Hata maFedha au Mnaxemaje.
Hapo ulipoandika double N yaani NN unamaanisha NYANI NGABU au?
Umeamka nazo eeh!
Hapo ulipoandika double N yaani NN unamaanisha NYANI NGABU au?
jaribu kwenye mashine za atm nasikia zina download noti