Mwakilishi
JF-Expert Member
- Jan 31, 2007
- 483
- 32
Koba,
Ni kweli viko vyuo kweli ambavyo sio accredited lakini hii Almeda wala siyo Chuo kabisa, kulikuwa na story on 60minutes kama sikosei walifanya undercover stint, jamaa akawasiliana na Almeda, akalipa hela kataja jina la Mbwa wake na degree anayotaka, tarehe ya graduation akachagua basi wakamtumia in a few days. Hicho sio chuo wala nini ndio ukweli huo!
Mkuu Koba na wengine.... Heshima mbele.
Ni kwamba sheri ipo na tume ilianzishwa (anagalia post yangu ya nyuma nime refer to the thread) inaitwa Tanzania Council of Universities. So sisemi wale majamaa hawafanyi kazi lakini ninachotaka ni kwamba mwaka 2006 nadhani Julai ilikuwa ni "mstari mfu" wa watu wote kufanya a"accreditation ya vyeti vyote vya nje". Sasa issue kwenye post yangu hapo nyuma ni kwamba, Je ni kweli hawa "maDokta" na "maMBA" yote yemepitishwa pale TCU??
Tukishajibu hilo then tunarudi kwenye main issue ya ile thread yangu kule kwenye "Hoja Mchanganyiko", Is TCU as sucessful and foolproof as one would like/insist it to be??"
Naomba kuwakilisha!!!
Kumbe mmajua kuwa ni fisadi mbona hamkusema kabla hajachaguliwa? Aliyeficha hili ndiyo fisadi zaidi. Huyu bwana alikuwa Naibu Waziri wa Fedha lakini mkashabikia Zakia ajiuzulu, afukuzwe, hakuna aliyetaja ufisadi wa naibu waziri. Kapandishwa cheo ndiyo mnakuja kusema na huyu naye ni fisadi
Watu tulishamsema Mkullo sana alivyochaguliwa kuwa Naibu Waziri.
Tatizo hapa linaenda zaidi ya Mkullo, tatizo ni uongozi mzima wa CCM pamoja na Rais mwenyewe unanuka rushwa.Na watu tulishasema hata kabla ya uchaguzi kuwa Kikwete ni rais bomu.
That Onion article aside, it probably is objective (The Onion being The Onion) Mkulloa ameshashiriki katika mkopo mwingine usio collateral kama huo, the other time kwa Sumaye.Ameshiriki kufanya maasi na watoto wa shule wa kike ambao ni wadogo kuliko umri unaotakiwa kuwa wa wanawe, amenunua shahada ya uzamili na listi inaendelea.Haya ni yale tunayoyajua kwa bahati tu sisi watu wa mbali.Sijui walio na info za ndani.
usiseme hatujasema, ukitaka kuwapangua Mawaziri wa CCM kwa ubadhirifu na ufisadi hamna hata mmoja atakayebaki maana wote wametumia fedha za ufisadi kupigia kampeni, kuanzia rais mpaka wabunge.
Tuondoe CCM labda tunaweza kuwa na nafasi.
Wametoa fisadi mmoja wametuletea mwingine!!! JK ameweka mtu wa kumchotea mahela 2010. Si unajua tena mambo ya CCM. Lakini nafikiri is better than Meghji!!!
Kwa nini tunatawaliwa na wezi? Mtu ambaye miaka ya nyuma alichukua shilingi milioni 250 za walalahoi, kwa nguvu, na kufikisha CCM milioni 10, ni mwizi. Hizo milioni 240 zilizobaki labda aligawana na akina John Kapinga, Marehemu Horace Kolimba, na baadhi ya viongozi wakuu wengine wa CCM, lakini anabaki kuwa ni mwizi, tena wa kutisha.
Ni nchi ya aina gani inachagua watu walioiba fedha za nyuma kuwa Mawaziri wa Fedha? Mwizi wa fedha za umma asimamie fedha za umma?
Inaelekea sehemu kubwa ya viongozi wetu ni watu wenye asili ya wizi, na wameshaiba bila kukamatwa mara kadhaa. Hatutaendelea mpaka tutakapokuwa na uwezo wa kukataa kutawaliwa na wezi.
Kwa sasa nasema hivi: Hatumtaki Mustafa Mkullo awe Waziri wa Mipango na Fedha. Sababu yetu ni kwamba ameshaiba mamilioni ya fedha za uma. Tunataka afunguliwe mashtaka, na sio awe waziri mwandamizi.
Ukitaja nguo za ndani tutakuambia uache matusi. Ukieleza kisa cha mzee Mkulo kuopoa vibinti vya miaka 20 na kuvibamiza kwa mtindo wa Sandwich tutakuambia wivu huo, unaona gele.Kwetu mzee mzima kujiweka wazi mbele ya vijuu ni sehemu ya utamaduni, hakuna matusi wala nini.
Mustafa Mkullo pamoja na kuwa na track record mbovu imekuwaje akapewa wizara ya fedha? JK must be jocking kwani kumpa Mukulo wizara ile ni sawa na kumpa fisi kondoo