Kamanda
Senior Member
- Dec 5, 2007
- 150
- 176
Jamani Mungu Mkubwa atakuwa upande wetu Watanzania, naona tena mafisadi kadhaa wamerejeshwa na wao, wake zao, na watoto wanajua kuwa ni wezi, wanatuibia, wanatuua sisi na watoto wetu. Siku itafika tutawatumbua matumbo yao kwa mali walizokula na kutafuna mali zetu kwa manufaa binafsi