We asali Kongosho waeza tupa taratibu za msiba? Kumfariji kwa pole za hapa si sawa na kumfariji Live na misura yetu. Hebu weka mwongozo tafazali kama hutajali.
Hahaha, mama wa kambo unanchekesha msibani. Tumekuachia sefuria zako kubwa uje kuosha, usisahau steelwire tafadhali.
Pole mwaya kwa kufiwa na baba mkwe, umfariji the boss akirudi awe na akili timamu
Mwenyezi Mungu muweza wa yote awape nguvu, ujasiri na faraja za kukabiliana na huu msiba, kwako wewe rafiki na familia yote. Pia ailaze roho ya mzee wetu mahali pema peponi, AMINA!
We asali Kongosho waeza tupa taratibu za msiba? Kumfariji kwa pole za hapa si sawa na kumfariji Live na misura yetu. Hebu weka mwongozo tafazali kama hutajali.
Hahaha, mama wa kambo unanchekesha msibani. Tumekuachia sefuria zako kubwa uje kuosha, usisahau steelwire tafadhali.
Pole mwaya kwa kufiwa na baba mkwe, umfariji the boss akirudi awe na akili timamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.