The Boss, Sorry for your loss...

The Boss, Sorry for your loss...

Kazi ya mungu haina makosa na kila nafsi itaonja mauti, pole sana mkuu The Boss
 
Last edited by a moderator:
I exactly know what The Boss is passing through, coz i too lost both parents!
Its one of the worst tragedies that strikes humans!
Mkuu,
Pole sana.
Ni wakati sasa wa kukaa na kutafakari kazi zote za mzee, huku mkijihakikishia kuwa hakuna itakayosimama kwa kukosa uangalizi...Hii ndiyo itakuwa namna bora kabisa ya kumuenzi.

Namwombea mzee yule mapumziko mema. Dunia hii ni pahala pa taabu na masumbuko, nadhani sasa anajisikia nafuu!

@TB, elekeza watu wafike kumsindikiza Mzee.


RIP MZEE WETU.
 
The Boss mwenyezi Mungu akupe nguvu kuyashinda machungu yote uyapitiayo sasa,sisi tupo pamoja nawe kwa maombi.
 
Mkuu TB,

Pole sana mwenyezimungu akupe nguvu kwenye kipindi hiki kigumu.

Nielekeze mkuu nije msibani
 
Nakumbuka nilipompoteza Baba yangu mpenzi,it was very very painfull.
"
Na wakati huo alikua ndo mzazg wangu pekee alienilea kwani mama yangu hakunilea kwa kuwa alinikimbia kisa alipata bwana mwingine tofauti na baba.
"
Kumpoteza baba yangu kulimaanisha hasara kubwa,nilijipa moyo.Nimesema haya kumpa moyo ndugu yangu The Boss,usijali,maisha wakati mwingine yana maumivu na changamoto ambazo hatuwezi kuzibadili,hatuna jinsi zaidi ya kuzikubali.
"
The Boss ,pole sana,najua sana maumivu uliyonayo,nakupa pole na Mungu akupe nguvu.
"
Stay strong!
 
Last edited by a moderator:
The Boss pole sana kaka. Nafahamu maumivu ya kipindi unachopita sasa maana mwaka jana nilimpoteza kipenzi baba. Jambo la kumshukuru Mungu ni rehema yake anayotupatia nayo ni ya kuyakabili magumu na kusonga mbele. Mwenyezi Mungu na awape nguvu. Baba apumzike kwa amani.
 
Last edited by a moderator:
Nakumbuka nilipompoteza Baba yangu mpenzi,it was very very painfull.
"
Na wakati huo alikua ndo mzazg wangu pekee alienilea kwani mama yangu hakunilea kwa kuwa alinikimbia kisa alipata bwana mwingine tofauti na baba.
"
Kumpoteza baba yangu kulimaanisha hasara kubwa,nilijipa moyo.Nimesema haya kumpa moyo ndugu yangu The Boss,usijali,maisha wakati mwingine yana maumivu na changamoto ambazo hatuwezi kuzibadili,hatuna jinsi zaidi ya kuzikubali.
"
The Boss ,pole sana,najua sana maumivu uliyonayo,nakupa pole na Mungu akupe nguvu.
"
Stay strong!
Pole na wewe Eiyer, story yako ina kionjo kinachogusa hisia.
Dunia Gunia,
Dunia Duara,
Dunia uwanja wa fujo!
 
Last edited by a moderator:
Pole sana ndugu,mwenyezi mungu akupe nguvu na ujasiri katika kipindi hiki kigumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom