Mulhat Mpunga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 27,650
- 16,722
just put yourself in their shoes,ungependa na wewe...lijitu lisambaze ukuda on your bitter divorce?:shocked:
Hahahaa ukuda unaeza ua atii
just put yourself in their shoes,ungependa na wewe...lijitu lisambaze ukuda on your bitter divorce?:shocked:
Habari wakuu,
kitambo kidogo nimekuwa kimya sana kutokana na sababu kadhaa zilizo nje ya uwezo wangu.!
nafahamu wengi mnashauku ya kutaka kujua ukweli juu ya mtoto wa Florah na kama kuna uhusika wowote wa "mzee wa chopa", na pia nini kinachoendelea nyuma ya pazia kati ya Emma VS Florah, Emma VS "mzee wa chopa", na Florah VS "mzee wa chopa".!!
Naomba niseme kuwa kuna masuala ya kisheria ambayo kwa sasa yananibana kutosema lolote au kuzungumzia juu ya masuala hayo hadharani au kwenye media! changamoto hii imetokea baada ya zile nyundo nilizoshusha kipindi kile, kuna mambo mengi sana hasa yahusuyo sheria yalitokea ambayo sina uhuru wa kuyazungumzia hapa kutokana na terms za hayo makubaliano..
kwa ufupi naomba niseme hayo tu ili nisije kunogewa nikavuka mipaka! ila naomba mfahamu kuwa TUKO PAMOJA, na muda muafaka ukifika mambo yakikaa vizuri, "ntamwaga mchele" wote..!!
Mbarikiwe sana.
THe Bold
Wewe uko zaidi ya majuha na mapum.bavu wote duniani kama hujitambui. Pu.baff kabisa tumishi la shetani wa kuzimu!.
Weweeee kamaunahisi umembetowa kaa kimya wenzio wakusaidie!!storyza kilasiku ooh chops ophfloraa!!!tulia mjimkubwa huu uamini kapime nawatoto wako ulionao kamaHabari wakuu,
kitambo kidogo nimekuwa kimya sana kutokana na sababu kadhaa zilizo nje ya uwezo wangu.!
nafahamu wengi mnashauku ya kutaka kujua ukweli juu ya mtoto wa Florah na kama kuna uhusika wowote wa "mzee wa chopa", na pia nini kinachoendelea nyuma ya pazia kati ya Emma VS Florah, Emma VS "mzee wa chopa", na Florah VS "mzee wa chopa".!!
Naomba niseme kuwa kuna masuala ya kisheria ambayo kwa sasa yananibana kutosema lolote au kuzungumzia juu ya masuala hayo hadharani au kwenye media! changamoto hii imetokea baada ya zile nyundo nilizoshusha kipindi kile, kuna mambo mengi sana hasa yahusuyo sheria yalitokea ambayo sina uhuru wa kuyazungumzia hapa kutokana na terms za hayo makubaliano..
kwa ufupi naomba niseme hayo tu ili nisije kunogewa nikavuka mipaka! ila naomba mfahamu kuwa TUKO PAMOJA, na muda muafaka ukifika mambo yakikaa vizuri, "ntamwaga mchele" wote..!!
Mbarikiwe sana.
THe Bold
Emmanuel Mbasha mume wa Flora Mbasha amekuwa akilalamika kuchukuliwa mke na Gwajima.Kumaliza ubishi aombe mtoto aliyezaliwa karibuni akapimwe DNA ili kumaliza ubishi kama huyo mtoto ni wa Gwajima au wa Mbasha.
Emmanuel Mbasha mume wa Flora Mbasha amekuwa akilalamika kuchukuliwa mke na Gwajima.Kumaliza ubishi aombe mtoto aliyezaliwa karibuni akapimwe DNA ili kumaliza ubishi kama huyo mtoto ni wa Gwajima au wa Mbasha.
Emmanuel Mbasha mume wa Flora Mbasha amekuwa akilalamika kuchukuliwa mke na Gwajima.Kumaliza ubishi aombe mtoto aliyezaliwa karibuni akapimwe DNA ili kumaliza ubishi kama huyo mtoto ni wa Gwajima au wa Mbasha.
.....wewe jamaa umemkomalia Gwajima utadhani amezaa na wewe au unataka na wewe akupe Mimba?
kwani huyo emanuel bado anamtaka flora?
mbona tunajua kuwa huyo mtoto wa gwajima.
Na kama itasibitishwa
sio wa Gwajima. wazushi wote ukijumlishwa na wewe mtatakiwa mlipe faini ya milioni 100 kila mmoja wenu ili iwe fundisho kwa uchonganishi wenu