The bold: Kuhusu Mtoto wa Flora

The bold: Kuhusu Mtoto wa Flora

Status
Not open for further replies.
Emmanuel Mbasha mume wa Flora Mbasha amekuwa akilalamika kuchukuliwa mke na Gwajima.Kumaliza ubishi aombe mtoto aliyezaliwa karibuni akapimwe DNA ili kumaliza ubishi kama huyo mtoto ni wa Gwajima au wa Mbasha.
unatoa mapovu sana du umeachwa na gwj niniaana kila kona mipovu yako unakera
 
Mijitu mingine kazi wanazofahamu ni kuwaambukiza balaa wengi tu. Inatuhusu nini mtoto aliyezaliwa huko hata sipajui? Si ni mtoto ka wengine waliozaliwa siku hiyo?
Wa kulalamika ni Emanuel sio weye. Yaonekana una beef flani na Flora au Gwajima. Na inavyoonesha, huenda umezidiwa kete na Flora.
Jamani, vidume ni vingi nenda barabara ya Samora karib na saa ukitulia pale dk 5 utaonekana nawe ulopolewe. Acha kumdhalilisha mtumishi wa Mungu aliye hai weye. Ana wanao mwamini hata usipo mwamini
 
Na kama itasibitishwa
sio wa Gwajima. wazushi wote ukijumlishwa na wewe mtatakiwa mlipe faini ya milioni 100 kila mmoja wenu ili iwe fundisho kwa uchonganishi wenu
Ni hilo hilo zinzi ndiyo limehusika na mtoto huyo wa flora...linamtukana His Eminence (PhD) cardinal Pengo hivi hivi...kisa siasa....
 
Majungu na umbea ndo huu.. Ingekuwa Flora ni dada yako ungekuja kuanika ujinga huu hapa..? Akili za kimagamba utazijua tuu..
 
  • Thanks
Reactions: BAK
haya matatizo yao waachieni wenyewe wayasolve, we ulifunga nao ndoa ya watatu?? if No then mambo ya familia yao waachie wenyewe watayamaliza, wakishindwa wataomba msaada.....
 
Emmanuel Mbasha mume wa Flora Mbasha amekuwa akilalamika kuchukuliwa mke na Gwajima.Kumaliza ubishi aombe mtoto aliyezaliwa karibuni akapimwe DNA ili kumaliza ubishi kama huyo mtoto ni wa Gwajima au wa Mbasha.

Sasa ni kwa nini zinaletwa huku JF hizo personal issues?
 
Swala si kumtaka Flora ni huyo mtoto kujua ni wake au sio wake.Huwezi kuwa na mtoto asiye wake halafu abebe jina la ukoo la Mbasha badala ya Gwajima.Flora alishajiharibikia issue si Flora ni mtoto.

Hivi pilipili usizokula zinakuwasha je? Some people bana... Mh!
 
Watu Wajifunze Kufanya Yao,Habari Za Watu Zinakuhusu Nini?
 
Siioni tatizo la mtoto kupima DNA, kama kuna malalamiko ya Mbasha kuwa mke wake anatembea na Gwajima. Embu mchangiaji jiweke upande wa Mbasha, utaumiaje!!!!!!
 
Mbasha kanyanyasika kimwili, kiakili na kiroro. Kuna wapuuzi humu wanatetea ujinga. Atuwezi kumuona Mbasha ananyanyaswa kisa tu hana pesa, tukanyamaza.
 
Kweli ni muhmu ili kuondoa mzizi wa fitna
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom