The bold: Kuhusu Mtoto wa Flora

The bold: Kuhusu Mtoto wa Flora

Status
Not open for further replies.

Habibu B. Anga

JF-Expert Member
Joined
May 7, 2013
Posts
6,557
Reaction score
25,748
Habari wakuu,

kitambo kidogo nimekuwa kimya sana kutokana na sababu kadhaa zilizo nje ya uwezo wangu.!
nafahamu wengi mnashauku ya kutaka kujua ukweli juu ya mtoto wa Florah na kama kuna uhusika wowote wa "mzee wa chopa", na pia nini kinachoendelea nyuma ya pazia kati ya Emma VS Florah, Emma VS "mzee wa chopa", na Florah VS "mzee wa chopa".!!

Naomba niseme kuwa kuna masuala ya kisheria ambayo kwa sasa yananibana kutosema lolote au kuzungumzia juu ya masuala hayo hadharani au kwenye media! changamoto hii imetokea baada ya zile nyundo nilizoshusha kipindi kile, kuna mambo mengi sana hasa yahusuyo sheria yalitokea ambayo sina uhuru wa kuyazungumzia hapa kutokana na terms za hayo makubaliano..

kwa ufupi naomba niseme hayo tu ili nisije kunogewa nikavuka mipaka! ila naomba mfahamu kuwa TUKO PAMOJA, na muda muafaka ukifika mambo yakikaa vizuri, "ntamwaga mchele" wote..!!

Mbarikiwe sana.

THe Bold
 
wewe ni nani au ni Mume wa Flora?mind your business waache waendelee na maisha yao kwani wewe watoto ulio nao unafikiri wote ni wako?????
 
Okay nashukuru kwa kutukumbusha tukukumbuke kuwa bado upo! Looooh!
 
Sijajua wewe ni nani unataka nini na kwa faida ya nani/nini.
Kifupi hujasomeka kabisa.
.
 
wewe ni nani au ni Mume wa Flora?mind your business waache waendelee na maisha yao kwani wewe watoto ulio nao unafikiri wote ni wako?????

logo2.png
 
Kama ni wewe ni mbasha shame on you na kama siyo basi yako yamekushinda ya wengine utayaweza?
 
Sijajua wewe ni nani unataka nini na kwa faida ya nani/nini.
Kifupi hujasomeka kabisa.
.

Asiye jua maana haambiwi maana.
Hii ID ni maarufu sana hapa jf na ilipata umaarufu sana kupitia hizo nyundo alizozishusha kipindi cha nyuma.
Mimi nilijua walishakunyamazisha kama ulimboka,kama upo hai karibu tena The bold
 
Last edited by a moderator:
Mambo ya ndoa hata upigije kelele Kwa watu nikujidhalilisha tu sanasana unafadisha watu nakuharibu future yake.

Kama wameamua wao iwe ivo wewe kinakukerA nini? Kama walianza na publicity watamaliza ivo ivo
 
wewe ni nani au ni Mume wa Flora?mind your business waache waendelee na maisha yao kwani wewe watoto ulio nao unafikiri wote ni wako?????

Wewe Utakuwa Mwanamke Malaya Kabisa,tabia Yako Chafu Unadhani Kila Mwanamke Anayo,halafu Wewe Utakuwa Mhaya Tu,maana Ndo Zenu.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom