Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,906
Kama hakuna katiba mpya lazima kuwe na plan B.Piganieni Katiba mpya yenye tume huru ya uchaguzi badala ya hadithi za kufikirika!
Ni kweli CHADEMA NA UKAWA waanze kujiandaa mapema.
Mzee Lowasa tumuombe kwa heshima ngoma hii awaachie vijana, yeye aendelee kuchagiza!!
Lissu ni Best.