around 300,000 hadi 400,000 china plaza wanavitangaziaprice please! je bongo zipo?
asante mkuu kwahiyo nikiwa na stream mpira ktk simu yangu kwa mfano naweza kuangalia live kupitia hiyo monitor/flat screen? maana nimeona link hii ( totalsportek.com )ni reliable kwenye mambo ya streaming na gem zingine huchezwa usiku sanaaround 300,000 hadi 400,000 china plaza wanavitangazia
CHINA PLAZA | First Gadget Shopping Mall in Dar Es Salaam -Tanzania
Mp za camera zisikubabaishe sana mkuu. Iphone na Samsung unakuta wana 12/8MP lakini wana technology kubwa katika swala la image processing.still naona huawei mate 10 pro itakuwa kuwa ya kwanza kwa sababu
-design yake ni nzuri bila kusahau glass on the back,camera na fingerprint scanner zipo sehemu stahiki
-chip,huyu jamaa na kirin 760 ambayo ndani yake kuna Neural-Network Processing Unit (NPU)....
-camera ya ukweli kwa nyuma ni dual camera 20 by 12 MP
-Betri kubwa kabisa 4000mah
-desktop mode....inaweza kuwa connected kwenye screen kubwa kwwa njia ya usb......unlike samsung lazima ununue dock yake ili iwe connected
hii huna haja na dex, kama una smart tv huhitaji kifaa chochote utaangalia kwa kutumia miracast au widi, na kama una tv ya kawaida unanunua dongle ya miracast ya hdmi then unaichomeka kwenye tv halafu tv yako itakuwa na wifi ya kuconect simu.asante mkuu kwahiyo nikiwa na stream mpira ktk simu yangu kwa mfano naweza kuangalia live kupitia hiyo monitor/flat screen? maana nimeona link hii ( totalsportek.com )ni reliable kwenye mambo ya streaming na gem zingine huchezwa usiku sana
na ukizingatia dstv zanyewe gharama.
Flagship maana yake nini wapendwa?Mi naonaga price ya A series ni bora zaidi ukajiongeza kwenye S series....
A7 ya 2017 ni nzuri pia japo sio flagship
Sorry nimepitia thead yote nimeelewa asanteniFlagship maana yake nini wapendwa?
Iko vizuri sana ndio nayotumoa hapa kiujumla kimwonekano ziko vizuri sanaSasa mimi najipanga kununua Xiaomi note 4x vipi hapo wakuu
starehe gharamaHivi Mkuu Lusungo Ukiacha S8, kuna hii Simu nyingine toka kampuni ya Samsung ambayo ni Galaxy A5(2017) ninayoona kama ni nzuri hasa Ukizingatia pia na suala la gharama....... vipi Unaweza Kunikomentia vipi Kuhusu hii Simu?
Maoni yako tafadhali Mkuu!
tafuta simu yenye snapdragon 625 au 450 au kirin 650 series kwa hio budget. kwa huawei ni simu kamaHuawei ipi ni kali ya walui nikiwa na laki nne ?@Chief-Mkwawa
Over my dead body! 2.7m hii ni ada kwa ajili ya vijana wangu wawili kwa mwaka mmoja. Siwezi kunua. Labda niwe nimevuta2,700,000/= Tsh.