Yeah ni kweli.Mi naonaga price ya A series ni bora zaidi ukajiongeza kwenye S series....
A7 ya 2017 ni nzuri pia japo sio flagship
Because you love it?mtoa mada unachuki inafsi na iphone,,,
by the way i love iphone...na itabaki kua cm ya kipekee no matter wat..
Roughly 1.7MS8 ni sh ngap kwa hapa bongo?
Mkuu Mimi sijatoa hoja kwa mapenzi binafsi nimetumia reference ya tech radar ambayo pengine ni reliable kuliko wengine labda mkuu Chief-Mkwawa atuambie kwake ni forum ipi ipo more accurateHapana,nahisi wewe unaichukia iphone...
Ukweli ni huu hapa jombaa...
10 best smartphones: iPhone X bumps Galaxy Note 8 from top spot | ZDNet
Hivi ni kwanini wateja wa apple huwa mna mitizamo ya ajabu sana!!!ana chuki na iphone kivipi wewe unaweza kuwa na chuki na kifaa kisichopumua??mtoa mada unachuki inafsi na iphone,,,
by the way i love iphone...na itabaki kua cm ya kipekee no matter wat..
2,700,000/= Tsh.Hivi iPhone X iko arround bei gani kwa sasa?
Acha nisubiri subiri ifike hata 2m niweze kuidaka2,700,000/= Tsh.
Acha nisubiri subiri ifike hata 2m niweze kuidaka
Kweli nipambane na hali yangu tu.2,700,000/= Tsh.
Nokia ndio walionanzisha hii idea ya simu na computer kutumika pamojamkuu kwa mara ya kwanza wametumia Quad HD hao Huawei kwenye mate ya mainstream na kirin imekuwa exposed batterylife ni ya kawaida sana japo ina 4000mah,
![]()
s8 plus yenye 3500mah
![]()
hivyo sidhani kama hio 4000mah ni advantage.
kuhusu hio android kwenye desktop, samsung ndio alianza, japo samsung wao wanatumia dex acessory, na samsung yao si android tu inarun na distro za linux (soon)
![]()
hivyo hapo utaweza run kina ubuntu na wengineo na kutumia software ambazo kwenye simu usingezipata.