KakaJambazi
JF-Expert Member
- Jun 5, 2009
- 18,830
- 12,292
Ila mkuu kule juu (mwanzo) umetaja j7 ya mwaka 2016, na hapa umetaja ya mwaka 2017, sijakusoma ipi nzuri.all around namaanisha
-camera
-ukaaji chaji
-uimara wa simu
-perfomance ya kutosha matumizi ya kila siku
-support ya simu
simu kama j7 ya 2017 ina tick box zote hizo. lakini ndio matumizi ya kawaida tu ukitaka matumizi makubwa itakuwa slow